Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

Bill nass ndo alianza kuwa na nandy, ila baada ya Ruge kutaka kumuinua Nandy kimuziki, ndo akaanzisha nae mahusiano, na bill nass kuachwaa, ila walikua wanaiba kisiri.

Baada ya Ruge kufariki ndo wakarudisha penzi lao upyaa na hadi kufunga ndo na kuanzisha familiaa.
 
Mimi nnachojua hata kama JF mnajifanyaga matajiri ila hakuna kati yenu aliyenunua iphone 16 [emoji1787][emoji1787]

Mleta mada acha umbea , basi Nandy aachike uolewe wewe utakayempa Billnas first priority
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu alikuwa wa billnas toka kitambo ila pesa ikamfanya ampige chini mshikaji ,akachukuliwa na ruge ...
 
Huu ndo ukweli...

Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.

Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...

Any way ndo imeshakuwa...
Kati ya hao uliowataja nani alimtoa bikira???
 
Huu ndo ukweli...

Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.

Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...

Any way ndo imeshakuwa...
This hit harder, any man cannot buy this
 
Unateseka ukiwa wapi????
Unatakaje?
Kwani Billnass alikua single kipindi Nandy anadate?

Kamfufue basi marehemu aje aendeleze alipoishia.

Narratives za kijinga kama mpo kwenye nafsi za watu
 
Bill nass ndo alianza kuwa na nandy, ila baada ya Ruge kutaka kumuinua Nandy kimuziki, ndo akaanzisha nae mahusiano, na bill nass kuachwaa, ila walikua wanaiba kisiri.

Baada ya Ruge kufariki ndo wakarudisha penzi lao upyaa na hadi kufunga ndo na kuanzisha familiaa.
Ko kusamaraizi kwa boss alifata maisha ila moyo upo kwa muhuni sio
 
Hii Real Love walio nayo Ni Fake... Ni kwavile Brother Ruge hayupo Hi
 
Huu ndo ukweli...

Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.

Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...

Any way ndo imeshakuwa...
Nandy alianza kuwa na Bilnas kabla ya kuwa na Ruge. Get your facts right.
 
Nandi angekufuata ww baada ya Ruge kufa, akakwambia tufanye maisha. ungekataa?
Tujaribuni kumuelewa Nenga.
 
Back
Top Bottom