Nandy alitoka kwa Bilnas kwenda kwa ruge kwa ajili ya career yake. Ruge amaefariki, nandy karudi kwa Bilnas ikomaanisha kuwa hapo ndipo moyo wake ulipo.Halafu watu wanaona noma kushea,Billnas alikua anammega Nandy na ilikua inajulikana,yaani ilikua ni MMF,lakini kwasababu Ruge alikua na hela,Billnass ilibidi akubaliane na hali,na hatimaye kamuoa.
Kuna ile video nand yupo na lichupi yuko kwa msela,Ruge alikuwa hajafa😂😂😂😂zaa ndanii kabisa ni kwamba ruge ndo alikuwa anachapiwa na mchizi
Wewe mwenyewe demu wako sio chaguo lake. Acha kufuatilia maisha ya watu mtoto wa kiume itashikwa T....koHuu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
Kwanini Marehemu unakuwa na wivu kabla hujafa?Kuna haja Kila mwanaume kuacha wosia kabla umauti hajakukuta
Ikumbukwe tu Mimi Nikifa MkeWangu Asiolewe
Hata mkeo au demu wako alikuwa hvyo kwa wanaume wengine kabla ya kumpata waliomgalagaza n wengi hawana idadiHuu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
Well SaidUkianza kushugulikia ya nani alimla nani na sasa yupo na nani?
Bado tuna Kazi ngumu mnoo
Wosia uheshimiweKwanini Marehemu unakuwa na wivu kabla hujafa?
Aaaaaaah wapi! labda wanaume wa hovyo wawe wameisha!Wosia uheshimiwe
Sa leo wakati watu wanasweemingpool la gitaa...we tulia ndgHuu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.
Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
Naunga mkono hoja nimejisikia aibu sana mwanaume baba wa familia kutamani kuolewa na BillnasSO UNATAKA HUYO BILICANAS AKUOE WEWE? NYIE MADEMU MNA WEKEANA WIVU SANA. ANYWAY HAO NI AKINA NANI? MUAMBIANE HUKO HUKO SALON MSIJE TULETEA BIF ZENU ZA KUCHUKULIANA MABWANA.