Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #161
HhhahahaLazima wewe utakua mwalimu unaandamwa na mikopo mbalimbali jumlisha bodi ya mikopo, nmb wachukue chao, salary laki na 30 kazi haina overtime, wala allowance yoyote hapo ndio utaona kivumbi na jasho
Mtoe usalama humo Hawa watu mishahara Yao wanalipwa Sawa na wakuu wa wilayaWhy mwl na boda
Why isiwe mwl na magereza?au zimamoto
Au nurse
Unamfahamu walimu wanalipwa mishara mizur sana kuliko unachokijua?
Wapo walimu wanalamba mpaka milion 1.6
Laki 9 ndo wengi sana laki 4 idara zote za selikal wapo
Afya
Ulinzi na usalama
Nk
Hasa kwa local government
Mshahara mkubwa unatokana na kiwango cha elimu
Muda wa kazini nk
Kwa idara zote
bodaboda kufikisha 50 kwa siku ni ngumu mnooooHawawez mzidi bodaboda hata iweje
Umeongea Kwa busara sana. Mungu akubarikiWakati nikiwa sekondari niliupenda ualimu. Baada ya kwenda high schoo niliuchukia. Chuo kikuu sikuchukuwa ualimu, lakini baadaye nilijikuta nimekuwa mwalimu, na hadi leo sijatamani kazi nyingine zaidi ya kufundisha, ndiyo maana nimefundisha zaidi ya miaka 40.
Ni kweli kuwa ualimu, hasa siku hizi hauheshimiwi kama kazi nyingione. Waalimu wengi hasa shule za msingi na sekondari za kata wanafanya kazi katika mazingira magumu. Lakini kudai kuwa hiyo kazi ni mbaya kuliko kuendesha bodaboda ni kuidhalalisha hiyo fani. Yeyote anayesema hii fani ni mbaya basi akumbuke kuna fani nyingi ambazo ziko chini ya hizo. Kuna watu wanaitwa clerical officer, messenger, typist, n.k. huwe kulinganisha na ualimu.
Watu wengi wanadhani ualimu ndiyo wenye kipato cha chini. Kwa taarifa yako kuna waalimu wa shule za msingi wenye mishahara mikubwa kuliko wakubwa wao makao makuu. Ualimu unaa ngazi na wengi hupanda na kufikia mishara inayoweza kuwakaribia makatibu wakuu, mameneja wa kati, n.k. Bodaboda anaweza kupata kipato kikubwa na kujiendeleza na kuwa na pesa nyingi (tajiri) kuliko hata engineer, daktari, n.k. Hiyo hutokea katika kada zote. Mimi nimeshuhudumia wahudumu ofisi waklifanikiwa na kutajirika, lakini hii haina maana wahudumu ofisi kazi yao/maisha yao ni bora kuliko maofisa wao. Ni mtu mmoja mmoja. Hii ndiyo maana tuna watu wana masters/Ph.D. lakini bado kati ya hao hali zao zinaweza kuwa duni kuliko wachache wa darasa la saba au la 12.
Mimi nakubaliana na wewe uwezekano wa bodaboda kumzidi mwalimu upo, lakini huwezi kumlinganisha au kuwalinganisha walimu na bodaboda. Mimi nimefanikiwa kwenye ualimu na hata siku mopja sitajilinganisha na bodaboda na bodaboda hawanikaribii kwa vyovyote vile (generally). Lakini nakubali kuna bodaboda mmoja mmoja ambao inawezekana kufanikiwa kuliko mimi. Pia huenda kuna wahudumu offisi weamepata kufanikiwa kuliko mimi. Na hao ni wale waliyopata pesa na kufanya investment zenye kulipa. Walimu nao wapo waliyotumia vipato vyao na kuytajirika!
Mbona unaruka [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa mkuu bora umefafanuaMfanyakazi ili arndelee nchi za dunia ya tatu ni lazima kwanza awe mwizi na aibe sana, ndio maana walikoendelea kwanza malipo kwa kazi nyingi ni kwa saa na sio mwezi wewe piga hesabu mwalimu anaelipwa kwa mwezi 470k ukigawa kwa siku 30 analamba elfu kumi na tano kwa siku, ukigawa kwa 22 siku baada ya kutoa siku nane za weekend analamba elfu 21 na kitu, sasa 15k au 21k kwa bodaboda mbona ni pesa ndogo sana na hapo huyo ana barchelor kabisa
Hhhahaha hayo mambo Tra utayapata wapiKwa macho yangu nikiwa mwanafunzi nilishuhudia walimu wakizichapa ofisini sababu ya chai...
Kweli kabisa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Walimu hawana hela,..bora mwalimu wa kike anaolewa!mwalimu anakopa mkopo ananunua gari atatumikia mkopo wake miaka 15 mpka amalize...kingine walimu wengi hawajipendi wanakuja shuleni hawabadili nguo...wanawaza kuwahi wanafunzi wawachape ...sio makosa Yao ila ilibidi serikali iwaangalie upya ...mwalimu amekadiliwa mshahara ili mradi isife na njaa tu!
Au naongea uwongo wakuu!
Bora huyu alijiongeza Hawa wengine akili HawanaMwalimu pekee Tanzania niliewahi kumkuta na kumuona anaakili ni mchaga mmoja yuko mpanda huko, alipofika kule wenzake wanahangaika kuhama kule yeye akaanza kutafuta mashamba akawa anapanda miti ya mbao, alivonihadithia haraka sana akaanza kutafuta mashamba akawa analima mpunga, kila mwaka anaongeza ardhi, kiasi miaka ile nafika kule yule mchaga alikua miti hajaanza kuvuna lakini mpunga ana stock hadi gunia 700, huyo nilikaa chini kumsikiliza nikaona hakuna mchaga fala hasa akikuta kuna ardhi sehemu, yule kwa sasa nadhani atakua mbali sana,
Acha ligi mkuubodaboda kufikisha 50 kwa siku ni ngumu mnoooo
kiwango cha matajiri wao isinge Kuwa elfu 10
Bora huyu alijiongeza Hawa wengine akili Hawana
Walimu hawana hela,..bora mwalimu wa kike anaolewa!mwalimu anakopa mkopo ananunua gari atatumikia mkopo wake miaka 15 mpka amalize...kingine walimu wengi hawajipendi wanakuja shuleni hawabadili nguo...wanawaza kuwahi wanafunzi wawachape ...sio makosa Yao ila ilibidi serikali iwaangalie upya ...mwalimu amekadiliwa mshahara ili mradi isife na njaa tu!
Au naongea uwongo wakuu!
Ila Kwa pesa mwalimu hanusiNi kweli kabisa,boda boda wanapata pesa nyingi halafu kwa mda mchache ila tatizo hawa binadamu wanapenda sana chini.Nashauri serikali iwape elimu hawa watu namna ya ku-manage pesa zao.
Boda boda kufika 50 n ngumu mnooo tofauti na hapo n dili za magendoAcha ligi mkuu