Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Sio kweli. Mbagala asilimia kubwa huko ndowamejenga
Kujenge kwa baadhi ya bodaboda, huko Mbagara, ndiyo tayari wanawazidi Walimu.
Ila yote kwa yote, Leo nikiwa maeneo ya kibaha, nilipanda bodaboda, nikamuuliza huwa kwa siku ana uwezo wa kupata Tsh ngapi, akanijibu, 26,000 mpaka 32,000, akaniambia yeye hufanya kazi, akijipa muda wa kupunzika.

Maana yeye, humka alfajiri ya 11, na hufanga kazi saa 3 usiku, kwa wanaofanya kazi, masaa zaidi yake, wanafikisha 50,000 hadi 60,000.

Ila tatizo la boda wengi, hawana malengo. Hii ikanikumbusha jamaa mmoja pale mbezi mwisho, kabla ya bomoa bomoa, alikua anauza kahawa kijiweni, baadae akanunu pikipiki, akaifanya bodaboda, na ile bodaboda ikazaa IST, akaifanya Tax.
 
Kujenge kwa baadhi ya bodaboda, huko Mbagara, ndiyo tayari wanawazidi Walimu.
Ila yote kwa yote, Leo nikiwa maeneo ya kibaha, nilipanda bodaboda, nikamuuliza huwa kwa siku ana uwezo wa kupata Tsh ngapi, akanijibu, 26,000 mpaka 32,000, akaniambia yeye hufanya kazi, akijipa muda wa kupunzika.

Maana yeye, humka alfajiri ya 11, na hufanga kazi saa 3 usiku, kwa wanaofanya kazi, masaa zaidi yake, wanafikisha 50,000 hadi 60,000.

Ila tatizo la boda wengi, hawana malengo. Hii ikanikumbusha jamaa mmoja pale mbezi mwisho, kabla ya bomoa bomoa, alikua anauza kahawa kijiweni, baadae akanunu pikipiki, akaifanya bodaboda, na ile bodaboda ikazaa IST, akaifanya Tax.
Gonga tano, that is truth
 
Haikutoshi wewe Mkuu kwangu Mimi it's ok ,,inyeshe mvua lije jua 23 mzigo utasoma kwa account,,, niwe mgonjwa niwe mzima mzigo utaingia!.. I am sastfied and happy nyie endeleen kuishi kwa ndoto!..
Akili huna, JITU Zima linalizika mshahara
 
Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Mpwayungu hujawahi kuwa na akili ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Mpwayungu aka kidagaa mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nahisi yale makofi ya uso uliyopata pale ulipofumaniwa na headmaster unatongoza binti wa ticha hayajakuacha salama .
Ndio maana unawachukia walimu
 
Mpwayungu aka kidagaa mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nahisi yale makofi ya uso uliyopata pale ulipofunaniwa na headmaster unaongoza binti wa ticha hayajakuacha salama .
Ndio maana unawachukia walimu
Hawakubali kabisa walimu [emoji1]

Ova
 
Unaongea kiwepesi sana unaijua 50000 wewe?
Sasa 50000 unaona ni hela kubwa ya kumuuliza mtu anaijua?? Ninaongea sababu ninawafahamu baadhi vizuri na wengi ni marafiki zangu na ninakesha nao usiku mzima kazini kwangu na niwateja wakubwa as ofisi yangu ipo pembeni ya kijiwe chao. So ninarudia tena bodaboda kupata 50000 kwa siku inawezekana ila mchawi wao ni hawana nidhamu ya pesa period.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona biashara yoyote inafanywa na watu wengi bai jua biashara hiyo inaleta pesa na faida ya haraka.
Fact:Bodaboda ni kama biashara zingine za road.....yaani ukitoka tuu wewe ni helaa. Kama wale yangeyange.[emoji4]
Biashara hii ina hela na inalipa saana tatizo liko kwa wanaoifanya.
Wengi hawana elimu ya shule,hawana elimu ya maisha,hawajawahi kushika pesa hivyo hupagawa kushika pesa za ghafla.
Hawajawahi kumiliki mademu wakali (tatizo kubwa liko hapa),atapakia bure,chips atamnunulia na pesa atampa na lodge atalipia plus muda alopoteza palee aaarrrgghhh!!!!
Wengi wao ni washamba,hawajapitia vyuoni hivyo kuna bata hawajazila so wako kwenye mshangao wa bata.
Wana matumizi yasiyo na mpangilio coz anajua akiingia road tuu mkwanja huo.
Ni bodaboda wachache saana wanaojielewa na ndo wanao make things happen.
Nimeifanya hii biashara kwa kuendesha road mwenyewe. Wanawake ndio wateja wakubwa wa hii biashara na ndo wauaji wakubwa wa hii biashara.
Ni kweli kabisa mkuu, wengi hawana exposure katika bodaboda 10 unakuta waliomaliza std 7 hata 3. Hata ukiongea nao unaona kabisa huyu hana malengo na maisha kabisa as anajua kesho ataingia road atapata tena hela so hana haja hata kuweka akiba hata akiumwa hana hela ya matibabu.

Kuna siku nilikuwa nawahi makumbusho kwenye training natokea mbezi mwisho, rafiki yangu alinipeleka na bodaboda na hakutaka hata mia kisa tuu ofisini kwangu ndio wanapokula na kupiga stori usiku wanavyokesha imagine ni sh ngapi kapoteza plus muda. Siku wakiwa na nidhamu ya hela ndio watakapofanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa mkuu, wengi hawana exposure katika bodaboda 10 unakuta waliomaliza std 7 hata 3. Hata ukiongea nao unaona kabisa huyu hana malengo na maisha kabisa as anajua kesho ataingia road atapata tena hela so hana haja hata kuweka akiba hata akiumwa hana hela ya matibabu.

Kuna siku nilikuwa nawahi makumbusho kwenye training natokea mbezi mwisho, rafiki yangu alinipeleka na bodaboda na hakutaka hata mia kisa tuu ofisini kwangu ndio wanapokula na kupiga stori usiku wanavyokesha imagine ni sh ngapi kapoteza plus muda. Siku wakiwa na nidhamu ya hela ndio watakapofanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo hesabu yeye hapigi kabisaa eti muda sijui nini.
Kuna mzungu nikiwahi mpakia(ni rafiki), nikimfikisha ananiuliza abiria wengine mpaka hapa unawalipisha sh ngapi kwa sasa kisha analipa.
Hakuna ushkaji kwenye biashara.
 
Mimi nilivyoanza mwanzo nilikuwa nashangaa,masaa mawili au matatu mfuko umetuna bila kuhesabu naanza asubuhi napiga supu chapati ya 4000+soda1000+maji 1000= ni 6000

Mchana nlikuwa nakula biriani ya 4000+ maji 1000+soda 1000 na kutokana na jua mchana nakunjwa maji mengi inafikia mpaka 2000 inakuwa =7000

Jioni mchemsho pale kijwangwani kwa halima wa 2000 na chapati mbili na soda ya 1000 na maji ya 1000= 4000
So nakuja kushtuka nimenenepeana na nimekuwa mzito sanaa kitambi paaa ila akiba ya pesa sinaaa.....
Hesabu ya boss 10,000 kila sikuu.

So biashara hii inakupa pesa ya uhakika na haraka haswa ukiwa muaminifu ila kama unaendekeza mambo utajikuta hakuna kitu unafanya.
 
Back
Top Bottom