homeland12
Member
- Aug 17, 2022
- 43
- 65
Kwahiyo unahamasisha walimu waache kufundisha watoto wetu, wawe bodaboda??? Wenda wewe unaishi kwa shemeji yako wala hauna uzoefu na hizo sekta 2 ulizotaja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki 4.....Unastaafu 2054, maana yake kwa sasa una miaka 29
Kwa miaka hiyo 32 iliyobakia utaingiza jumla ya Tsh 400,000
Hongera
TVs Ina 3.1mls kwetu KAHAMA mbabaHawana mtaji wa kununua pikipiki. Saizi boxer au tvs Mpya inakimbilia million 3
Familia ya watu 5 Mambo yanaendaNi kweli zinatosha sana hata bia utakunywa ila ukiwa na familia ni mziki mwingine kabisa labda kama uwe umeaciwa nyumba ya urithi.
Hahahahahaaa,umenikumbusha mbali sana.Sidhani kama nimeandika, hakuna bodaboda anaemiliki nyumba yake, kama nimeandika hivyo, nitakua nimeandika upuuzi.
Wapo watu leo ni bodaboda, kabla hapo alifanya kazi zenye kipato, kimuwezesha kujenga, na baadae hali ikawa mbaya, akajisalimisha bodaboda.
Lakini wapo bodaboda wana nyumba za urithi, na wapo waliojenga ila ni wachache mno, sema umesoma ukiwa umejiandaa kupinga.
Wangekuwa mbali sana niamini mimi nina vijana wangu boda ndugu boda naelewa sanaBodaboda anapata elfu hamsini Kwa siku manake Kwa mwezi ni million moja na nusu
Wewe akili zako za mpwapwa UNAJUA madaraja ya mishahara ya waalimu? Kwahyo mwalm mwenye darasa F,G,H au I nãe analipwa laki 5?Primary to sekondari
Hapo umetoka nje ya mada. Mwalimu pia ana pesheni, Bima ya Afya yeye na mke au mume, safari za kikazi semina Tunongelea kuishi kwa 600k wako maticha wanaopata zaidi ya milioni hasawa sayansiMwalimu anaweza kukopa milioni 20, bodaboda ni lini hadi apate milioni 20?
Hao WA namna hyo ni asilimia ngapi ya wote? Yaan bdbda wanachomwa juá unakuta anakaa massa 4 ndo wanagombania buku aje amzidi mwalimu? Hebu acha futuhi,waalimu wengi ndio wamenunua hizo boda na kuwaajiriKuna bodaboda wana vichwa vyao vya asubuhi na jioni yani go and return. Unakuta anapoamka tu saa kumi na moja ana vichwa vyake kumi vya kila siku kuwapeleka na kuwarudisha kutoka kazini.
Tufanye kila kichwa ni buku nne yani kwenda buku mbili kurudi buku mbili hapo sijapiga hesabu wa buku tano nawale wakudaka njiani na kijiweni
Hâta wewe unadharaulikaUmeharibu hapo mwisho. Ujinga wa walimu haunifanyi niwachukie Bali nawadharau
Hâta akimimiki hiyo Hela HAIPO mm Nina zangu Tano kwa Siku wanaleta hesabu 10k tu tena Siku nyingne anapitiliza anakopaKuna wengine wanamiliki bodaboda zao sio ya boss
Acha kufananisha maisha ya miaka ya 1980's na SasaUmeongea point. Chakula cha walimu ni ugali maharage tu tangu nikiwa mtoto. Mchele mpaka atoke town kuchukua mshahara anashuka kwenye bus na mkate mreeefuu
Takataka kivipi ? kwahyo shughuli anayo binadamu kujiingizia kipato, imekuwa takataka ?Mafanikio pia ndo utajir
Ukibisha nambie utajiri ni nini afu ndo ulete hizo takataka za uboda
Vipi kuhusu wenye madaraja E,FG,H,I? KWA akili zako unadhani anapoanza na hiyo laki 6 ndo inakuwa milele? Ma senior ndio wengi kuliko ma junior Hao wanaoanzaWa diploma take home ni laki tano degree ni laki Sita akikatwa loan board anarudi Kwa diploma
Unaota ndotoHawana mtaji wa kununua pikipiki. Saizi boxer au tvs Mpya inakimbilia million 3
Wewe ndio poyoyo WA mwisho Yani H mia Tisa? Na E itakuwa ngapi[emoji2][emoji2][emoji2]Labda awe hajakopa bank hata hivyo tgts H take home haizidi mia tisa
Kwahy mwl mmoja akiwa na Shida ni wote Wana Shida? Akili za kuvukia barabara hiziIam not bodaboda ila nakaa na mwalimu amepanga kwenye nyumba yangu najua shida anayopitia
Na ukishakuwa mwalimu huwez FANYA Kaz zingne? Waalimu wanamilik mashamba,mi south,NK wewe endelea kuishi kwa mazoeaSio kweli degree akikatwa akikatwa na loan board anapokea laki tano take home kama hakatwi loan board anapokea laki Sita