Uchaguzi 2020 Ukweli ni kwamba CCM tuliiba uchaguzi kishamba

Tunazidi kumlaani huko akijo achomeke kisawasawa na washirika wake nao walaanike wao na vizazi vyao. Hakumbukqi mtu hapa. Bali tunamlaani na ameshalaaniwa.
Wewe unajua Siri ya kaburini au nikujifariji TU like imagination?!!
 
MUNGU AKUSAMEHE BURE.
 
kwani wakuu wenyewe wa ccm wanasemaje?
 
Yaani Daniel Wa Karatu Hajui Hata Kujieleza Leo Hii Eti Kashinda Ubunge. Jambo Hili Limewatia Aibu Ccm Mpaka Wanatembea
Wanaona Aibu

Eti Tumeshinda Kwa Kishindo Kazi Wizi
NEC,Msajiri Ndiyo Mbeleko Ya Ccm
Huwezi ukaharibu uchaguzi kwa kiwango kile na ukabaki kuwa hai, never. Mtu ambaye hakupiga hata push-up moja ndiye Rais. Hili ni fundisho kubwa sana.
 
Baada ya uchaguzi wa 2015, sehemu kubwa ya wakurugenzi walioruhusu wapinzani washinde waliondolewa kwenye nafasi zao. 2020 walijifunza, namna pekee ya kubaki ni kuhakikisha mpinzani hashindi kwenye eneo lako.

Tunahitaji Tume huru yenye watendaji wasiotegemea huruma za Rais kubaki kwenye nafasi zao.
 
Pumbavu tu wala hujui kitu. Kwani hukuona kazi na uongozi wa magufuli jinsi ulivyowagusa waliyo wengi? Yaani watu wa kawaida. Pia hukuona kampeni ya magufuli na CCM?...
Mavi ya popo kabsa, Magufuli alikuwa na wasaniii wote, Tiss,pilisi,wakurugenzi,mambango nchi nzima,media zote,convey ya 30 V8, lakini Lissu hana msanii Hana bango, coverage ndogo lakini mziki wake mnaukumbuka
 
Mkuu wengne hawayaoni ayo
 
kwa lile lishetani Lijiwe fomu ungenyanganywa ukishafikisha ofsini hapo hapo na Mashetani wenzie wadogo MaDED wanakana hawajaiona fomu yako. Unakumbuka kile kisanga kilitokea Ubungo na Kibamba??
 
Ni mtu mjinga ndio ataamini ule ulikua uchaguzi..

Na pia ataamini CCM ilishinda kwa kura walizoziita za kishindo..
Ukiona mtu wa hivyo kama ni jirani yako basi ujue unakaa jirani na Jambazi na Muuaji. Anaweza kukutoa roho siku moja. Majitu yalikuwa hayana hata dhamiri yakutambua jema na baya
 
na alifanya jambo la maana sana,maana tofauti na kutumia matako kufikiri sijui mngetumia nini kingine.
Jiwe alitumia shithole kabisa. Sasa yuko kwenye hole ya kuzimu. Na wafuasi wake mtateseka sana na Mungu ameamua kuwaadhibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…