kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Wanafanana kwa vigezo vipi Sasa?? Watu wamepingana mpaka masasi zikalia Leo useme niwalewale kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa sawaMungu akimpa nafasi ya kuli9ngoza hili taifa kwa miaka 10 katika ubora wake tutapiga hatua sana kwani ile imani aliotupa Magufuli itarejea.
Huwezi elewa mpaka utulie sanaWanafanana kwa vigezo vipi Sasa?? Watu wamepingana mpaka masasi zikalia Leo useme niwalewale kivipi?
TL sio kitu cha hovyo mkuuUsimlinganishe Mwamba Jiwe Magufuli na vitu vya hovyo hovyo!
Kigezo ni kuwa Lissu hakubali ushauri kabisa,anahisi kila mtu ni msaliti kwake.Umetumia vigezo gani?, Hurka ya Lisu na Magufuli vinaendana sana mara zote wote husimama upande wa wananchi hasa wasioweza kujitetea dhidi ya Mabeberu weusi.
Kwako.TL sio kitu cha hovyo mkuu
Mkuu usimfananishe JPM na kibaraka wa wazunguBinafsi sijawahi ona tofauti ya jpm na lissu zaidi ya Chama
Lissu hana uzalendo wowote ni mla rushwa na opportunist.Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweliView attachment 2985467
Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .
Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .
JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .
2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui
3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .
Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .
Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .
kumfanisha JPM na LISU ni sawa na kufananisha DIAMOND na HAMORAPAUmetumia vigezo gani?, Hurka ya Lisu na Magufuli vinaendana sana mara zote wote husimama upande wa wananchi hasa wasioweza kujitetea dhidi ya Mabeberu weu
Una ushaidi ?Mkuu usimfananishe JPM na kibaraka wa wazungu
Hata Donald Trump yuko kama Lissu na Magufuli. Ukimkosoa anakubonda maana anajua unaleta unafikiHabari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweliView attachment 2985467
Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .
Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .
JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .
2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui
3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .
Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .
Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .
Huna ushahidi wowoteLissu hana uzalendo wowote ni mla rushwa na opportunist.
Watoto wake wote ni raia wa Marekani, anakuwaje anaipenda Tanzania?
HakikaHata Donald Trump yuko kama Lissu na Magufuli. Ukimkosoa anakubonda maana anajua unaleta unafiki
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Huna akili kabisa.kumfanisha JPM na LISU ni sawa na kufananisha DIAMOND na HAMORAPA
Magufuli alikubali ushauri wa nani?Kigezo ni kuwa Lissu hakubali ushauri kabisa,anahisi kila mtu ni msaliti kwake.
Aisee 🤣🤣Huna akili kabisa.
Wa BashiruMagufuli alikubali ushauri wa nani?
Upi?Wa Bashiru
Kazia mkuu.Aisee 🤣🤣