Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 425
- Thread starter
- #281
eti mtu kaenda exile mtu wanadai kumvua mchango wake kwa nchi hii na kumwita coward, fraud, hana balls na kadhalika. madai yanaendelea kwamba alikimbia "moto jikoni". sasa tizameni hoja
hii hapa chini ambayo mtu huyo huyo anayewakadia watu "waliokimbia moto jikoni" ameitoa sehemu nyingine
"Most of us knew his name by reading his articles and opinions in Mzalendo, Daily News and Uhuru; He was one of the leading nationalists of his time and indeed a patriot of Africa, a true son of our beloved motherland..." tukuitaje mwenzetu? http://mwanakijiji.podomatic.com/entry/2007-11-23T10_20_20-08_00
kama nilivyosema hapo awali mtu kuondoka nchini kwake hakuondoi uzalendo wake au uchungu kwa nchi yake. mifano wa wanamapinduzi wa aina hii wapo wengi na michango yao naiheshimu sana.
hii hapa chini ambayo mtu huyo huyo anayewakadia watu "waliokimbia moto jikoni" ameitoa sehemu nyingine
"Most of us knew his name by reading his articles and opinions in Mzalendo, Daily News and Uhuru; He was one of the leading nationalists of his time and indeed a patriot of Africa, a true son of our beloved motherland..." tukuitaje mwenzetu? http://mwanakijiji.podomatic.com/entry/2007-11-23T10_20_20-08_00
kama nilivyosema hapo awali mtu kuondoka nchini kwake hakuondoi uzalendo wake au uchungu kwa nchi yake. mifano wa wanamapinduzi wa aina hii wapo wengi na michango yao naiheshimu sana.