Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Hata Nyerere mwenyewe alishakiri kuwa aliwahi kufanya makosa wakati wake.Tena aliwashutumu wanaoiga makosa yake badala ya kufanya mazuri (ya kuboresha). Jambo moja, aliwaogopa watu wenye upeo wa kumzidi na hivyo alifanya kila awezalo kuwadhoofisha au vinginevyo.Wakati huo usalama wa taifa hawakuwa tiss ila kidogo zaidi ya tiss. Sasa haisaidii kumlaumu bali inapasa tujiulize na sisi tunafanya nini kwa wenzetu na nchi yetu? Nyerere asingependa uongozi kama wa Makinda na Ndugai bali kama wa Mbowe au Mnyika. Tafakari, chukua hatua.
 
Kifo cha sokoine nyerere alihusika asilimia 100 . Huyu mzee hakutaka mtu wa kutofautiana naye chochote . Alikuwa dikteta mmbaya sana.

Hayati Sokoine alimtia ndani Butiku kwa ajili ya kosa la Uhujumu uchumi. Nyerere alimtoa Butiku na akamtetea sana tena kwa hali iliyokuwa inamdhalilisha Sokoine. Haikupita mda Sokoine akatolewa roho yake. Huyu Nyerere hafai hata kupewa jina la kumbukumbu la mtaa uliopo Manzese kwa Mfuga Mbwa.
 

Kusema tu una makosa bila kuyataja ni makosa gani uliyoyafanya ni unafiki. Kwa nini asiyataje makosa yake aliyoyafanya ili Watanzania wasiyarudie? Maneno mengi yanayotumika kumnukuu Nyerere ni yale aliyoyazungumza baada ya kustaafu. Mtu mwenye akili timamu ukiyasikiliza unaona kabisa yanapingana na imani yake na matendo yake. Alipanga kuacha rekodi ya kisanii ya kuhubiri vitu ambavyo hakuvitenda. Na Watanzania wanaitumia kumsifia Nyerere kama mazuzu.
 



Kweli nimeamini Marehemu alikua na kaElement cha Uditekta flani hiv,,,unamuweka mtu kizuizini miaka 10?
Mkuu tupe na history ya Mwanaharakati Babu nae nasikia aliwekwa kizuizin:shut-mouth::shut-mouth:
 
Kweli nimeamini Marehemu alikua na kaElement cha Uditekta flani hiv,,,unamuweka mtu kizuizini miaka 10?
Mkuu tupe na history ya Mwanaharakati Babu nae nasikia aliwekwa kizuizin:shut-mouth::shut-mouth:
Ngoja niitafute hiyo! Soon itakuwa hapa jamvini

Nimetafuta kila namna ya ku - upoload article kuhusu Abdulahman Mohammed Babu nimeshindwa. So ninawawekea tu link, muisome. Kama Mods wataona ina umhimu basi wanaweza kuiupload hapa.

http://www.jpanafrican.com/docs/vol1no9/AbdulRahmanMohamedBabu.pdf
 
"A campaign by the
government was started to
vilify him again. First was the
claim that he was not a citizen
of Tanzania and had never been one even though
he had served as the country's
minister of home affairs,
minister of defence, and
minister of foreign
affairs, and even led the struggle for independence
with Nyerere in the 1950s. Yet
nothing was said in all those
years that he was not a citizen
of Tanganyika. It was only
decades later, in the 1990s, that the government said he
was not a Tanzanian but a
Malawian. Others said he was
a Mozambican.
The government even
withdrew his passport on the same grounds that he was not
a Tanzanian citizen.He could
not even travel
outside the country after his
passport was withdrawn. The
vilification campaign against him by the Tanzanian
government made the
government look bad and it
finally relented and gave the
passport back to him.
Kambona himself had his own "revelations"concerning the
national identities of other
Tanzanian leaders including
President Nyerere himself.
He said Nyerere's father was a
Tutsi from Rwanda who was a porter for the Germans and
settled in Tanganyika and that
he could prove it. He also said
Vice President Rashid Kawawa
came from Mozambique, and
John Malecela - who once served as Tanzania's foreign
affairs minister, prime minister
and vice president among
other posts at different times -
came from Congo where his
grandparents were captured as slaves before they settled
in Dodoma, central Tanzania.
But few people took any of
those claims seriously any
more than they did the claim
that Kambona himself was not a Tanzanian citizen but a
Malawian, from Likoma Island,
or a Mozambican"

Source:
en.m.wikipedia.org/wiki/
Oscar_Kambona/


NB:nimeirudisha hii mada kama ilivyo kutokana na modes kuiunganisha na uzi mwingine...tena content isiyo na uhusiano..
Ombi:Tafadhali kuweni makini na content na sio majina ya wahusika
 
Duu! Jasusi, sijui yupo wapi.
 
Last edited by a moderator:
nimewahi kusoma humuhumu kuwa eti asili ya ututsi ya nyerere ndo ilisababisha tz kuwabeba zaidi watutsi dhidi ya wahutu.
 
bora mtutsi aliyekuwa hatuibii. bora mtutsi aliyejitahidi kutuweka pamoja kwa kadri alivyoweza. bora mtutsi aliyejitahidi kutuwezesha tujitegemee wenyewe. ushahidi upo. rip kambona. rip nyerere. both were great men.
 
bora mtutsi aliyekuwa hatuibii. bora mtutsi aliyejitahidi kutuweka pamoja kwa kadri alivyoweza. bora mtutsi aliyejitahidi kutuwezesha tujitegemee wenyewe. ushahidi upo. rip kambona. rip nyerere. both were great men.

haya ni mawazo positive mkuu
 
safi sana ndugu,sema inabidi tujifunze mengi kutoka kwa viongozi wa miaka hiyobb
 
Kifo cha sokoine nyerere alihusika asilimia 100 . Huyu mzee hakutaka mtu wa kutofautiana naye chochote . Alikuwa dikteta mmbaya sana.

Labda unaweza kutuarifu kitu kimoja tu ambacho Nyerere alitofautiana na Sokoine.
 

Na waliomfuata ndio wameendekeza usanii kuliko alioufanya Nyerere. Ukiangalia yanayoendelea leo,bila wasiwasi yanathibitisha ukweli huo. Leo hii baba akiwa Rais na familia nzima imepata cheo hiko. Wizi wa mali ya umma,deal za upendeleo na za matumizi mabaya ya madaraka ndio kigezo cha kuongoza. Tuwe na uhakika tunapotoa hoja zetu. Nyerere had his problems so as the rest
 
yaKuna wtu ukimsema nyrere hata salamu hawakupi maana kwao bwana huyu hna makosa.Lkn nawambia na kuwashauri kuruhsu akili kufanya kazi ktk kuchambua mswala ya siasa ili kuelimisha wale wenye kufuata upepo.JMANI makosa ni sehemu kujifunza ili kutorudia makosa.Tukubali kukosolewa ili tujenge nchi yetu.
 
Kuna mtu hapa ananidokeza kua uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na watu wengi sana ila kwa bahati mbaya historia zao zilifunikwa makusudi na muheshimiwa mwalimu.
Jamani wenye data mtumwagie.

Mkuu ni kweli kabisa, waliopigania Uhuru wa Tanganyika ni wengi na hawatajwi popote. Nilipata bahati ya kuongea na Marehemu Bhoke Munanka akaniambia kuwa miongoni mwa watu walijitolea sana kufanikisha uhuru wa Tanganiyka alikuwapo Mzee mmoja wa Rufiji jina silikumbuki ambaye alikuwa anakuja Dar kwa baskeli kuchukua kadi za TANU na kwenda kuhamasisha wananchi wajiunge na pia kusaidia TANU kupata fedha za kujiendesha. Watu hawa hawatajwi popote.
 
Watu wenye akil timamu hatuwezi kuwaelewa kwa kutuambia "akakwaruzana na mwalimu,akajiuzuru,akakimbia",ebu wewe mjuzi wa mambo tuambie alikwaruzana nae nin.?ndio tutakuelewa..
Vinginevo mpo hapa kumponda mwalmu tu..
Mfano:-kuna watu wanadai vita ya uganda iliandaliwa na nyerere kwa nia ya kumrudsha obote madarakani,na kwakua amin n muislamu,lakin GT tunakumbuka kua mwaka 72 amin alirusha bomu mwanza lakin nyerere alitulia tu,angekua anataka vita c angelianzisha..
Mnapotaka kutuaminsha kua kambona alikua mtakatifu,pia twawakumbusha kua mbna alirud hapa na kutuambia anakuja kutuonesha mabilioni ya pesa yaliyofchwa na nyerere lakin hatukuyaona..

"Upumbavu ni kipaji,kuna watu wanazaliwa nacho"..Mwalimu Nyerere..

Cc.. Lukolo Zali la Mentali
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…