TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kupitia post zako hapa nimepata fununu ya grudges zako dhidi ya Baba wa Taifa na wengineo
1. it seems the hero is Kambona,
Yes, isipokuwa tu another hero, besides Mwalimu, Mwalimu bado ni the grande, lakini Kambona yuko right behind Mwalimu, or he should be!
2. unfortunately he was denied his spotlight.. na aliyemuonea wivu..
Definetely, by Mwalimu ambaye he never wanted any to share spotlight with him, katika kipindi chake chote cha utawala hakupenda kuwa na competition, ndio maana alizungukwa na all the mediocres, ambao sasa wanatupeleka pabaya, Mao alizungukwa na kuwakubali strong competitors, nina kitabu kinaitwa " The Privete Life Of Chairman Mao" kilichoandikwa na daktari wake private wa zamani, anaitwa Dr. Li Zhisui, kimechapishwa na Random House naomba mkuu wangu MMJ, kitafute uyaone mwenyewe live jinsi Mao alivyokuwa akipigwa mawe na viongozi wenziwe kila alipojaribu kuleta nonesense ideas, sasa itashangaa kwa nini China inayoyoma tu mbele na sisi kina Mkapa ndio wameishia kuwa mabepari sisi tunaimba nyimbo za kumsifu Mwalimu, na Azimio La Arusha tu!
3. by jamaa aliyekuwa hataki Watanzania waendelee
Mwalimu, alipenda sana ujiko wa siasa, alikuwa willing hata ku-sacrifice taifa letu kwa kujali ujiko wake binafsi, alitupelekea kwenye vita vya Uganda, just kuongezea tu ujiko wake kisiasa, alitaka wabongo tuendelee lakini hakuwa an vision ya how to do it na hakutaka kusikiliza wengine au the brain kama kina Professor Rweyemamu, matokeo yake ni here we are completely lost out!