Ukweli tuuweke hapa kuhusu Kassim Mganga!

Kassim anajua sana ..tunaopenda mziki mzuri tunajua hilo
 
Kwenye hiyo list Barnaba hayupo kweli?
Heahima kwako mkuu...barnaba bado sana...asubiri hawa mabwana watoke duniani au waache kazi ya muziki...
mpaka hawa wamefika hapo ni baada ya mzee gurumo na banza stone kuondoka...ila wangekuwapo bado wasingeeleweka kabisa kwenye ulimwengu wa watunzi mahiri wa muziki.
wafuatilie vizuri tokea enzi za mzimuni family utaelewa kwann chilla ni balaa...pia anapita kuanzia rege tags2 ridim mpaka mnanda ....jamaa ni balaa.
 
Aaaaaaah jamani, kwenye utunzi napo barnaba naye si mtu wa mchezo mchezo kabisa
 
Amini wewe ndiwe wa pekee
Niamini basi mimi
Niamini basi mimi
Niamini basi
Usije niacha mpweke
Nikaikosa nafasi kwako
Nikaikosa nafasi
Basi twende kwetu chumpana
Wakakuone wazazi nyumbani
Nivumilie mamii tabu zitakwisha baby

Tabu zitakwisha sijachoka kutafuta
 
Kwel huyu jamaa huwa ana mziki fulani mzuri........tatzo wabongo hatujuagi mziki mzuri,
 
Ulichokosea ni hiyo R kwenye WALAMBA MIDOMO
 
Aaaaaaah jamani, kwenye utunzi napo barnaba naye si mtu wa mchezo mchezo kabisa
Ni kweli mamaa ila ni lazima jua lizame ili nyota zionekaneee.

Ndio nikakuambia hata Q chilla na kassim nimewapa heshima ya kuwa watunzi mahiri Tanzania ni baada ya jua kuzama nikimaanisha kuondoka kwa mzee gurumo na ramadhan masanja banzastone.
 
Ni kweli mamaa ila ni lazima jua lizame ili nyota zionekaneee.

Ndio nikakuambia hata Q chilla na kassim nimewapa heshima ya kuwa watunzi mahiri Tanzania ni baada ya jua kuzama nikimaanisha kuondoka kwa mzee gurumo na ramadhan masanja banzastone.
Ooh nimekuelewa
 
Dah! na mimi kwenye kuhesabiwa nimo.
Fan wa Kassim Mganga toka kitambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…