Ukweli usemwe: Lissu yupo kwenye mission ya kuiua CHADEMA

Ukweli usemwe: Lissu yupo kwenye mission ya kuiua CHADEMA

Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Sasa akiua Chadema si ndiyo furaha yenu huko CCM? Mnaanza kumuogopa kabla hajawa Mwenyekiti.
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Duh。。。!。Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
P
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Mtu wa CCM awapangie au awashauri Chadema nini cha kufanya ili wakinusuru Chama chao ???! 😂😂😅 !

Haya maajabu unaweza ukayakuta Tanzania Bara pekee katika Afrika !
Au nasema uongo ndugu zanguni ???!

Mmeshaambiwa Lissu na Mbowe hawawezi kugombana Kamwe Mbona hamtaki kuwaelewa ??!!

Naona hao jamaa wanatisha kweri kweri 😳🧐 !
 
Vitu kama hivi ili viaminike ni lazima viseme utafiti huo umefanywa lini na na taasisi ipi. Aidha, ni njia gani imetumika kupata haya majibu.

Nje ya hapo ni upuusi mtupu.

Amandla...
Mkuu kuwa na subira kuanzia saa 5 utapata uthibitisho kama data ni za kweli au uongo. Si mlisema tunazusha chadema kupo shwari?
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Haahaa kutaka kugombea uwenyekiti? Au kufichua Ile tuhuma ya rushwa na askofu kuombewa gari kwa Samia? Chadema wakimwacha lissu watapoteza vingi, wafuasi na mashabiki wao, Hawa machawa wa kutukuza uongozi uliopo hawana jipya
 
Lissu ni kichaa, huwezi kwenda hadharani kusema madhaifu ya Chama chako wala kuwasema viongozi wa Chama chakoLikk hadharani badala yake unatakiwa kufikisha malalamiko yako ndani ya Chamar chako kulinda madhaifu yenu na kuepuka kuchekwa na Wapinzani wenu
Kwasababu wapinzani hawatamuona mtu wa maana zaidi ya kumchanganya yeye pamoja na Chama chake kuwa wote ni wehu

Anachokifanya Lissu ni sawa na kutoa siri za madhaifu yake na mpenzi wake kitandani
Kwa Ile Ngoma ya rushwa. Mwamba Yuko sawa 100%.Kwa taarifa yako lissu anaaminika nje na ndan ya chadema kuliko
 
CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Ndiyo sababu inao viongozi kama Lissu! Unakuwaje mjinga hata usilione hili?

Sema tu ni upofu wa maslahi unayo yapata kwa kuweka kampeni kama hizi ambazo sasa zimekwisha stukiwa na hazimtishi yeyote.
Kula tu hiyo pesa ya Abdul, lakini usitegemee matokeo chanya kwa kazi hafifu kama hii.
 
Angekuwa na shule angalau kidogo siku ile kajikuta anaandamana mwenye angejiuzuru!!
Duh!

Mkuu 'Makojo', huoni hili lina hitaji maelezo kidogo ili lieleweke vyema!
Mimi nina tafsiri yangu, na huenda siyo uliyo ilenga wewe.

Mi nadhani maana iliyo jificha nyuma ya maneno yako haya ni nzito zaidi na CHADEMA wanatakiwa kuijuwa vizuri kabisa.
 
Haahaa, wakati huo chuma lissu kazungukwa na mapolis nyumba yote asitoke
LaSalaleh!
LOooh! hata siku moja sikuwahi kuyawaza hayaaa...EEEeeeenHHeEEEE!

Hata kwa kweli sijui kama tafsiri yenyewe ndiyo hiyo. Lakini kama ndiyo yenyewe; basi itafunua mengi ambayo yamekuwa magumu kuyaelewa hadi sasa kuhusiana na mtindo wa uongozi anao utumia sasa Mwenyekiti wa chama.
 
Back
Top Bottom