Kuna vitu vinashangaza sana ktk hii dunia.
Kuna watu wanasikika wakisema Nchi haina maono na haina mipango ya maendeleo ya muda mrefu.
Nchi iliyojaa wala rushwa, wabadhilifu, wasioheshimu viapo vyao, wakanyaga katiba ya nchi na wafujaji wa mali za umma wanawezaje kuwa pioneers wa maendeleo?
How on the Earth Mtu anayeiba uchaguzi wa serikali za mitaa tu anaweza kuwa na maoni ya kuipeleka nchi mbele??
Mtu anayewaza uchaguzi tu mara baada ya kuchaguliwa ktk nyazifa mbali mbali?
Ukweli usemwe hatufiku popote chinu ya utawala wa ccm.
Ccm imefli hata kuwaletea maji na barabara wananchi wake kwa miaka 60 ya uhuru.
Kuna watu wanasikika wakisema Nchi haina maono na haina mipango ya maendeleo ya muda mrefu.
Nchi iliyojaa wala rushwa, wabadhilifu, wasioheshimu viapo vyao, wakanyaga katiba ya nchi na wafujaji wa mali za umma wanawezaje kuwa pioneers wa maendeleo?
How on the Earth Mtu anayeiba uchaguzi wa serikali za mitaa tu anaweza kuwa na maoni ya kuipeleka nchi mbele??
Mtu anayewaza uchaguzi tu mara baada ya kuchaguliwa ktk nyazifa mbali mbali?
Ukweli usemwe hatufiku popote chinu ya utawala wa ccm.
Ccm imefli hata kuwaletea maji na barabara wananchi wake kwa miaka 60 ya uhuru.