Ukweli Usemwe: Mtu ambaye anaiba uchaguzi anaweza kuwa na maono/ mpango wa maendeleo wa muda mrefu?

Ukweli Usemwe: Mtu ambaye anaiba uchaguzi anaweza kuwa na maono/ mpango wa maendeleo wa muda mrefu?

This is Afrika (TIA) kwa sauti ya kikaburu,!
Rushwa ndio kilakitu, tunapenda kupokea na hatuoni shida kutoa. Rushwa kwetu ni rafiki wa milele.
Rushwa kuanzia ofisi kuu hadi kwa mjumbe wa makumi, rushwa kwenye chaguzi mpaka za shule ya chekechea,
Rushwa mpaka kwenye ngazi ya familia, rushwa kuanzia utoto hadi uzee. Rushwa tunazaliwa nayo hadi tunakufa nayo.
Rushwa tunaipenda × 3.
 
Kuna vitu vinashangaza sana ktk hii dunia.

Kuna watu wanasikika wakisema Nchi haina maono na haina mipango ya maendeleo ya muda mrefu.

Nchi iliyojaa wala rushwa, wabadhilifu, wasioheshimu viapo vyao, wakanyaga katiba ya nchi na wafujaji wa mali za umma wanawezaje kuwa pioneers wa maendeleo?

How on the Earth Mtu anayeiba uchaguzi wa serikali za mitaa tu anaweza kuwa na maoni ya kuipeleka nchi mbele??

Mtu anayewaza uchaguzi tu mara baada ya kuchaguliwa ktk nyazifa mbali mbali?

Ukweli usemwe hatufiku popote chinu ya utawala wa ccm.

Ccm imefli hata kuwaletea maji na barabara wananchi wake kwa miaka 60 ya uhuru.
HAWEZI ZAIDI YA KUWAZA WIZI WAKE
 
This is Afrika (TIA) kwa sauti ya kikaburu,!
Rushwa ndio kilakitu, tunapenda kupokea na hatuoni shida kutoa. Rushwa kwetu ni rafiki wa milele.
Rushwa kuanzia ofisi kuu hadi kwa mjumbe wa makumi, rushwa kwenye chaguzi mpaka za shule ya chekechea,
Rushwa mpaka kwenye ngazi ya familia, rushwa kuanzia utoto hadi uzee. Rushwa tunazaliwa nayo hadi tunakufa nayo.
Rushwa tunaipenda × 3.
duuh laana tupu
 
Back
Top Bottom