Ukweli usemwe: Nandy ni msanii namba moja wa kike ambaye tumebarikiwa kwa sasa

Mkuu hivi Rubby alivyotoa wimbo unaitwa na Yule ulikuwa umesha anza kufatilia muziki?
Mkuu underground kuwa na hit song hakumfanyi kuwa ndiyo msanii mkubwa...
Mziki sijaanza kitambo sana.
Nimeanza kipindi wakina James Dandu,John Maganga wanaimba copy viwanja vya Leaders club.Dj akiwa Rankim Ramadhan R.I.P pembeni yupo Bony Love.

Kila zama zina watu wake waku-hits.
Ata enzi za Unique Sisters na Binti Comando walitisha kwa kipindi chao.
Aihitaji nguvu kubwa kutambulisha radha ya" Sukari"mkuu,mtu akilamba tu anajua radha yake.
 
Hapa nakubishia zuchu ana sauti nzuri Sana kuliko nandy Mara ngapi nandy anaharibu kuimba live au mzee baba ufuatilii labda uniambie Ruby sawa.
fatilia show za majukwaani utakuja kusema hapa. ZUCHU kuimba live bado sana anapiga kelele... kaangalie sho zake hata ile ya mlimani
 
Kwani kuimba taarabu ni kosa?

Tatizo lako Zuchu wewe umeanza kumsikia akiwa Wasafi.Zuchu ni mmoja ya mshiriki katika shindano la Tecno lilofanyika Nigeria 2015 la kusaka vipaji vya uimbaji Africa na akashika nafasi ya Tatu.

Tokea huko alikuwa anapiga show za live mpaka akafanikiwa kishika nafasi ya tatu na huko alikuwa anaimba hizo nyimbo za Afro pop hata zenye mahazi ya mbele kwani dogo ngeli inapanda.




Na ndio maana hata ktk nyimbo ya Nobody na Sukari ni Afro pop zipo vizuri.
Na sio taarab hata nyimbo zenye swaga za kizungu yupo vizuri (mf karantini).

Tatu Zuchu nyimbo anatunga mwenyewe,Nandy ndiyo ana CV kubwa ila Zuchu tokea mwaka jana na huu mwaka yupo juu mpaka hivi sasa.
 
Maua sana anajua sana Kishinda nandy, ila mzee wa kudaambuaa ni noumaa sana mda sio mrefu zuchu atawafunika wasaani wote wakike maana ni ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
Zuchu kidog anaweza kimbizana na Maua Sama , maua Sama fundiii yuleeee, Nandy hamnaaaa na mda utaendelea kuongea , Ruby ndo kabisaa takataka Ile , ifkie hatua tukubaliane na nguvu ya soko na sio maoni yetu ya kijuaji et msanii mkubwa wakat mshale unazd kushuka chini......
 
Zuchu anaimba taarabu mkuu , ???
 
Mi kusema kweli wasaniia wa Kike siwakubali kivile especially hawa wanaochepukia.

Ila kuna mpuuzi aliimba pini moja na Mafiq... "...[emoji445]Pesa hunaaaa, una magari mangapiii, yako mapozi tu mi nikupeleke wapii... [emoji445]".. yule demu anajua.
Ila wee kwahiyo mama harrier ni mpuuzi? Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa. Nandy ametulia. Yuko focussed. Ni mjasiriamali with business options. Nasubiri kwa hamu ngoma yake na Koffii Olomide
 
Hapo sasa.
 
Lady jay dee? Huko mbali mnoo mbona, nandy bado sana kumkuta vee money.
 
Rubby ana tatizo la kibri na hafugiki na wala haambiliki kwa hiyo kum manage Ruby ni liability muda wowote biashara yenu inaweza kufa lakini kwangu mimi sijaona mwenye uwezo kama wake hapa tz
Ruby ni next level, sema ana matatizo yake tyuuh binafsi na kukosa promo.
 
Maua sana anajua sana Kishinda nandy, ila mzee wa kudaambuaa ni noumaa sana mda sio mrefu zuchu atawafunika wasaani wote wakike maana ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Unaota wewe eti eeeeh? Poleeeeh sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inategemea wanamwimbia nani, Muzik wao umelenga kundi gani zaidi.Na hilo kundi linapenda kusikia nini.Kumbuka hii Ni biashara. Kundi kubwa la muziki wa bongo fleva Ni vijana siyo hao babu na bibi.Hao babu na bibi wana miziki yao.

Dunia yenyewe inaenda kasi,hicho unachoita matusi kwa sasa ni vitu vya kawaida sana kwa kizazi hiki. Huwezi kuusikiliza mezani na watoto lkn watoto wenyewe ndio wanapenda na wao ndyo soko la huo muziki.

Wanaimba kile ambacho sokoni kinauzika.Penda unachopenda usitake kujua kuhusu mwenzako anapenda nn.Kila mtu ana exposure yake ktk maisha.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Ruby ni next level, sema ana matatizo yake tyuuh binafsi na kukosa promo.
Sahihi kabisa mkuu,sijaona bongo mwanamuziki anaweza kuimba laivu km rubi na sauti ni ile ile.Namkubali sana sema ndiyo hivyo.
 
Hivi Vanessa ndio ameacha muziki kabisa? Ana kipaji level za mbali
Aache muziki wapi? Hakuna [emoji445]bila vee, mbna ana flows tyuuh verse, hujasikia kashirikishwa na vanny boy, song inaitwa "Twerk" na kaua vibayaaaah.
Vee hajawahi niangusha yaan. Sijutiii kuwa fan wake.
 
Sahihi kabisa mkuu,sijaona bongo mwanamuziki anaweza kuimba laivu km rubi na sauti ni ile ile.Namkubali sana sema ndiyo hivyo.
Ruby bhana analiza wengi ukweli usemwe tyuuh, promo hapati.
 
Nandy nilimkuabali sana kwenye Halleluya x Willy Paul.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ