Hapa nakubishia zuchu ana sauti nzuri Sana kuliko nandy Mara ngapi nandy anaharibu kuimba live au mzee baba ufuatilii labda uniambie Ruby sawa.zuchu
Hivi Vanessa ndio ameacha muziki kabisa? Ana kipaji level za mbaliKwa sasa Nandy yuko ktk ubora, ila hajawa hiyo level unayosemea weyee.
Ruby ni hatareeeh sana, ila sijui ana matatizo gan.
But mkaree wao Vanessa yuko on the top.
Mziki sijaanza kitambo sana.Mkuu hivi Rubby alivyotoa wimbo unaitwa na Yule ulikuwa umesha anza kufatilia muziki?
Mkuu underground kuwa na hit song hakumfanyi kuwa ndiyo msanii mkubwa...
fatilia show za majukwaani utakuja kusema hapa. ZUCHU kuimba live bado sana anapiga kelele... kaangalie sho zake hata ile ya mlimaniHapa nakubishia zuchu ana sauti nzuri Sana kuliko nandy Mara ngapi nandy anaharibu kuimba live au mzee baba ufuatilii labda uniambie Ruby sawa.
Kwani kuimba taarabu ni kosa?Kuanzia kuimba,stage , level za uimbaji, maadhi yao ni tofauti kbisa.
mmoja ni underground mwingine ni msanii mkubwa.
mmoja anaimba taarab mwingine anaimba afro pop.
mmoja kwenye stage ni mchovu kabisa mwingine ana jitahidi sana.
Mmmoja kuimba live awezi kabisa na anaimba vibaya mwingine ni fundi kabisa.
ZUCHU VS NANDY
Zuchu kidog anaweza kimbizana na Maua Sama , maua Sama fundiii yuleeee, Nandy hamnaaaa na mda utaendelea kuongea , Ruby ndo kabisaa takataka Ile , ifkie hatua tukubaliane na nguvu ya soko na sio maoni yetu ya kijuaji et msanii mkubwa wakat mshale unazd kushuka chini......Maua sana anajua sana Kishinda nandy, ila mzee wa kudaambuaa ni noumaa sana mda sio mrefu zuchu atawafunika wasaani wote wakike maana ni ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Zuchu anaimba taarabu mkuu , ???Kuanzia kuimba,stage , level za uimbaji, maadhi yao ni tofauti kbisa.
mmoja ni underground mwingine ni msanii mkubwa.
mmoja anaimba taarab mwingine anaimba afro pop.
mmoja kwenye stage ni mchovu kabisa mwingine ana jitahidi sana.
Mmmoja kuimba live awezi kabisa na anaimba vibaya mwingine ni fundi kabisa.
ZUCHU VS NANDY
Ila wee kwahiyo mama harrier ni mpuuzi? Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi kusema kweli wasaniia wa Kike siwakubali kivile especially hawa wanaochepukia.
Ila kuna mpuuzi aliimba pini moja na Mafiq... "...[emoji445]Pesa hunaaaa, una magari mangapiii, yako mapozi tu mi nikupeleke wapii... [emoji445]".. yule demu anajua.
Hapo sasa.๐๐ฌ๐๐ง๐ข๐ข ๐๐ฎ๐๐๐ฒ ๐ง๐ข ๐๐ฅ๐ฆ๐๐ฌ ๐ข๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ๐ญ๐๐ฆ๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ข ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ค๐ข๐ฐ๐๐ง๐๐ ๐๐ก๐ ๐๐ฎ๐ณ๐ข๐ค๐ข ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐ฐ๐๐ค๐!
๐๐ข ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ ๐ญ๐ฎ ๐ก๐๐ข๐ฃ๐๐ฉ๐ข๐ ๐ฐ๐ ๐ฉ๐จ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก ๐๐ฅ๐ฆ๐๐ฌ ๐ก๐ข๐ข, ๐๐ ๐ก๐๐ฅ๐๐๐ฎ ๐ข๐ง๐ ๐๐ฎ๐ณ๐ฐ๐ ๐๐๐ข ๐ค๐ฎ๐๐ฐ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ฅ๐ ๐๐ฎ๐ง๐ข๐!
๐๐๐ง๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ก๐๐ก๐๐๐ฎ ๐ฅ๐๐ค๐ข๐ง๐ข ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐จ ๐ก๐๐ข๐ฃ๐๐ฌ๐ฎ๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ข๐ง๐ '๐๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ฎ๐ณ๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ญ๐ก๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐๐ฐ๐!
๐๐ฎ๐๐ก๐ฎ?...๐ณ๐ฎ๐๐ก๐ฎ ๐ง๐ข ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ ๐๐ก๐ ๐๐ข๐ ๐๐ง๐ ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ก๐๐จ ๐ฐ๐๐ญ๐๐ญ๐ฎ. ๐๐ฆ๐๐๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ก๐ฎ๐ค๐จ ๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ค๐ฎ๐ฐ๐, ๐๐ฆ๐๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ง๐ ๐ฃ๐จ๐ญ๐จ ๐ค๐ฎ๐๐ฐ๐ ๐๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ ๐๐จ๐ซ๐ ๐๐ก๐ ๐ฉ๐ฎ๐ ๐๐ฆ๐๐๐๐ก๐จ ๐ฅ๐๐จ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ๐ง๐ข ๐ค๐ข๐ฅ๐ ๐ฆ๐ญ๐๐ฃ๐ ๐๐ง๐๐ค๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ข๐!
๐๐๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฎ๐ก๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐ข๐ ๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ก๐๐ฐ๐๐ณ๐ข ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐๐ฅ๐ฆ๐๐ฌ๐ข ๐ฐ๐๐ฅ๐ ๐๐ก๐๐ก๐๐๐ฎ!
Lady jay dee? Huko mbali mnoo mbona, nandy bado sana kumkuta vee money.mkuu kumlinganisha Zuchu na Nandy hapo ndipo ulipo kosea kabisa kwa sababu hawa wote wanaimba miziki tofauti na wapo level tofauti.
Zuchu ni chipukizi na Nandy yuko level ya juu... tatizo mmeanza kusikiliza muziki 2016 basi mkiona mtu ametoa hit moja basi ni bora kuliko wengine.. Zuchu bado anayo safari kumfikia Nandy kwenye kila kitu..... na hata Nandy anayo safari kumfikia Lady jaydee kwenye kila kitu.
Ruby ni next level, sema ana matatizo yake tyuuh binafsi na kukosa promo.Rubby ana tatizo la kibri na hafugiki na wala haambiliki kwa hiyo kum manage Ruby ni liability muda wowote biashara yenu inaweza kufa lakini kwangu mimi sijaona mwenye uwezo kama wake hapa tz
Unaota wewe eti eeeeh? Poleeeeh sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maua sana anajua sana Kishinda nandy, ila mzee wa kudaambuaa ni noumaa sana mda sio mrefu zuchu atawafunika wasaani wote wakike maana ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Inategemea wanamwimbia nani, Muzik wao umelenga kundi gani zaidi.Na hilo kundi linapenda kusikia nini.Kumbuka hii Ni biashara. Kundi kubwa la muziki wa bongo fleva Ni vijana siyo hao babu na bibi.Hao babu na bibi wana miziki yao.Hivi waimbaji wangapi ni watunzi duniani na watunzi wangapi ni waimbaji ? Hapa huwa watu wanatoa credit zisizostahili kwa baadhi ya watu na kutowapa credit wanaostahili...,
Kwa ufupi kwa sasa mashairi mengi ni mabovu..... sio kwamba hawawezi kutunga mashairi bali wame-concentrate kwenye maneno ya ngono (which is unnessary) na hii ni kwa wengi wao....
Sahihi kabisa mkuu,sijaona bongo mwanamuziki anaweza kuimba laivu km rubi na sauti ni ile ile.Namkubali sana sema ndiyo hivyo.Ruby ni next level, sema ana matatizo yake tyuuh binafsi na kukosa promo.
Aache muziki wapi? Hakuna [emoji445]bila vee, mbna ana flows tyuuh verse, hujasikia kashirikishwa na vanny boy, song inaitwa "Twerk" na kaua vibayaaaah.Hivi Vanessa ndio ameacha muziki kabisa? Ana kipaji level za mbali
Ruby bhana analiza wengi ukweli usemwe tyuuh, promo hapati.Sahihi kabisa mkuu,sijaona bongo mwanamuziki anaweza kuimba laivu km rubi na sauti ni ile ile.Namkubali sana sema ndiyo hivyo.
Nandy nilimkuabali sana kwenye Halleluya x Willy Paul.Wasalaam wanajamvi.
Kama mnakumbuka ujio wa Nandy alianza baada ya Ruby kukorofishana na Clouds media. Watu wengi nikiwapo mimi walikuwa wana doubt sana kipaji cha Nandy toka awali.. na kama kipindi kile watu walikuwa wakimsikia Nandy basi utawasikia wakisema hamna kitu huyo ameletwa kumfunika Ruby lakini hana kipaji kabisa.
Lakini kwa Msanii Nandy ilikuwa tofauti kwani kila wakati ukipata kusikiliza wimbo wake unagundua kabisa hapa tunaye msanii wakike hodari kabisa.
Msanii Nandy ni bora sana kwenye vitu vingi ukilinganisha na wasanii wenzie wakike kwa sasa.
Ukisikiliza wimbo wa Nandy wa sasa utaona utofauti kabisa na wimbo wa juzi na jana na hiki ndicho kinawashinda wasanii wengi wa kike kwa sasa maana wengi wao karibu nyimbo zote zinafanana kabisa kila kitu.
Pia swala la utulivu kwenye stage linamfanya Nandy awe bora sana kuliko wasanii wenzie wa kike... wasanii wakike wanatatizo la uwezo wa kusikika wakiwa kwenye jukwaaa, wengi wao wanapiga kelele sana tena sana hadi unaweza kujiuliza kama ndio huyu unayemsikia kwenye radio au lah.
Ukimsikiliza Nandy unaona kabisa kipaji kikubwa sana ambacho kinajua kutumiwa vilivyo tofauti kabisa na wasanii wetu wa kike natamani sana kama Rubby angeliamka usingizini akapambana maana ni Rubby pekee ndio ana uwezo mkubwa lakini amelala na aambiliki na ndiye msanii anayefanya Nandy aendelee kutamba kwa Level yake.