makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nakumbuka sio movie, ni ngoma sijui nikusaidiaje ile biti akauziwa tena chameleone akaimbuia bomboclat.. Jay kuulizia p kaishakula hela, chameleone akataka kumpa tena hela Prof akaamua wapige kolabo, ngoma nimeisahau jina.Nafikiri waliingia mgogoro na Prof. Jay baada ya P. Funk kuchukua hela kwa kampuni ya movie iliyotumia beat ya bombo clat ambapo original ni beat ya nikusaidiaje. Profesa alilalamika kuwa hakupewa hata senti
Kwenye production na ubunifu kuna hakishiliki... walioshiriki kutengeneza beats mgao wao mbona hawapewi? Nyimbo nyingi pale yeye alikuwa anafanya mastering tu na mixing ila ubunifu wanafanya kina bizimani lakini anatepeli jasho lao. Huo ni unyonyaji na uzuri yeye amejipambanua kama mtetezi wa haki za wabunifu.Music production ina mambo mengi Sana aisee. Beats siku zote ni ubunifu wa producer. Kwa hiyo hakuna tatizo akila faidA ya ubunifu wake.
Bizman na wengine waliokuwa wanasaidia Majani kwenye production, lini uliwahi wasikia wakilalamika!? Je, wakati kazi zinasajiliwa kwenye mamlaka husika hao waliorodheshwa katika production? Ila usisahau hizo ni kazi za Bongo Records. Kama Kuna makubaliano baina ya P Funk na Producers washiriki hayo yanakuwa ni makubaliano yao binafsi.Kwenye production na ubunifu kuna hakishiliki...walioshiriki kutengeneza beats mgao wao mbona hawapewi? Nyimbo nyingi pale yeye alikuwa anafanya mastering tu na mixing ila ubunifu wanafanya kina bizimani lakini anatepeli jasho lao. Huo ni unyonyaji na uzuri yeye amejipambanua kama mtetezi wa haki za wabunifu
Kwenye creative industry hakuna kitu kinaitwa kuorodheshwa au kutoorodheshwa au ulipwe baada ya kulalamika. Kama mtu ni mwandishi wa nyimbo basi analipwa kama mwandishi kama ni producer atalipwa kama producer kuna co producers wengi pale bongo records yeye anawaficha anaenda kupiga kelele kuhusu producers wa studio zingine huyu mtu ni mbaya sana.Bizman na wengine waliokuwa wanasaidia Majani kwenye production, lini uliwahi wasikia wakilalamika!? Je, wakati kazi zinasajiliwa kwenye mamlaka husika hao waliorodheshwa katika production? Ila usisahau hizo ni kazi za Bongo Records. Kama Kuna makubaliano baina ya P Funk na Producers washiriki hayo yanakuwa ni makubaliano yao binafsi.
Hii 40% gharama yake ni nn ili uipate? Mavazi, chakula, malazi, usafiri n.k vinaingia humu?Sipendi sana kuingilia mada za machawa siku hizi, ila nimona wewe nikujibu.
Kiuhalisia, huyo P Funk ana afadhali kuliko hao WCB.
PF hamiliki Album za wasanii ila anamiliki BEATS. Na ndio maana hujawahi kusikia Msanii analalamika.
Na kiukweli, wasanii wa zamani walipata pesa mnoooo.
Hakuna Msanii ambaye hakupata pesa. Kuna wasanii mpaka walikuwa wanatembea na pesa kwenye but I za gari.
Tatizo kubwa ukiwa msanii WCB ujue Ni Kama unafanya kazi ambayo Ni COMMISSION BASED.
Inatakiwa ufanye kazi halafu, iqe Shows, ngoma mitandaoni au endorsement kila kinachopatikana unakatwa 60% unapewa 40% kwa mkataba wa miaka 10.
Maana yake, unafonzea kila kitu. Miaka 10 kisanii hutakuwa na jipya tena.
Na baada ya kutoka hutakuwa unamiliki nyimbo yoyote Wala digital platform zako.
Kuna vitu watu huwa wanakubali kwasababu ya shida tu.
Nitakuja na uzi siku moja niwaeleweshe kuhusu mikataba ya muziki. Biashara ya muziki ni kama biashara ya miti record lebo sio charity group.Hiyo 40% gharama yake ni nn ili uipate? Mavazi, chakula, malazi, usafiri n.k vinaingia humu?
Ni movie.Nakumbuka sio movie, ni ngoma sijui nikusaidiaje ile biti akauziwa tena chameleone akaimbuia bomboclat.. Jay kuulizia p kaishakula hela, chameleone akataka kumpa tena hela Prof akaamua wapige kolabo, ngoma nimeisahau jina.
Hivi mkuu naomba unieleweshe, ina maana ukitoka WCB hata ukiwalipa bado nyimbo zinabaki kuwa za kwao?Sipendi sana kuingilia mada za machawa siku hizi, ila nimona wewe nikujibu.
Kiuhalisia, huyo P Funk ana afadhali kuliko hao WCB.
PF hamiliki Album za wasanii ila anamiliki BEATS. Na ndio maana hujawahi kusikia Msanii analalamika.
Na kiukweli, wasanii wa zamani walipata pesa mnoooo.
Hakuna Msanii ambaye hakupata pesa. Kuna wasanii mpaka walikuwa wanatembea na pesa kwenye but I za gari.
Tatizo kubwa ukiwa msanii WCB ujue Ni Kama unafanya kazi ambayo Ni COMMISSION BASED.
Inatakiwa ufanye kazi halafu, iqe Shows, ngoma mitandaoni au endorsement kila kinachopatikana unakatwa 60% unapewa 40% kwa mkataba wa miaka 10.
Maana yake, unafonzea kila kitu. Miaka 10 kisanii hutakuwa na jipya tena.
Na baada ya kutoka hutakuwa unamiliki nyimbo yoyote Wala digital platform zako.
Kuna vitu watu huwa wanakubali kwasababu ya shida tu.
Toa hiyo elimu isije ikawa mwenye lebo anapata ndogo ila haionekani sababu watu wanatazama turnover badala ya profit.Nitakuja na uzi siku moja niwaeleweshe kuhusu mikataba ya muziki. Biashara ya muziki ni kama biashara ya miti record lebo sio charity group.
Ni movie.
Profesa J alitoa wimbo wa nikusaidiaje, Chameleone akatamani beat akalichukua na kufanya wimbo wake wa bombo clat. Profesa akawa na mgogoro na Chameleone, wakayasolve kwa kufanya wimbo wa Ndivyo Sivyo, wakamalizana kisanii.
Kina Lupita Nyongo wakatengeneza filamu yao na katika soundtracks zilizotumika wakatumia wimbo wa Bombo Clat wa Chameleone Jose, wakamlipa bwana Chameleone. P Funk kujua akamfuata Chameleone amtoe mpunga, Chameleone akampa jamaa USD 4,000 kumbe yeye (Chameleone) amelipwa USD 50,000. P Funk akawafuata Kampuni husika ya movie na kutaka kuwashtaki na hapo wenye kampuni wakampa USD 100,000 kama sikosei na hapo ndio Profesa J akajua kuwa jamaa amekula hela na yeye J hajapata kitu, ingawa alilipia beat husika, hivyo kustahili mapato yatokanayo na beat. Na ndiyo sababu kwa Chameleone mlalamikaji alikuwa ni Jay na sio P Funk
Aina shida nitaleta uzi.Toa hiyo elimu isije ikawa mwenye lebo anapata ndogo ila haionekani sababu watu wanatazama turnover badala ya profit.
Mm nina biashara, mishahara kwa mwaka inaweza kuwa m100 kwa wafanyakazi approx 6, ila faida iliyobaki kabla ya kodi ikawa 20m. Ukipiga hapo wafanyakazi walipata kubwa kuliko mmiliki ila hilo haliwezi kuonekana.
Yeye profesa J why hakwenda kudai haki yake mapema?? Au hajui kama beat ni haki yake maana alilipia kufanya ngoma??Ni movie.
Profesa J alitoa wimbo wa nikusaidiaje, Chameleone akatamani beat akalichukua na kufanya wimbo wake wa bombo clat. Profesa akawa na mgogoro na Chameleone, wakayasolve kwa kufanya wimbo wa Ndivyo Sivyo, wakamalizana kisanii.
Kina Lupita Nyongo wakatengeneza filamu yao na katika soundtracks zilizotumika wakatumia wimbo wa Bombo Clat wa Chameleone Jose, wakamlipa bwana Chameleone. P Funk kujua akamfuata Chameleone amtoe mpunga, Chameleone akampa jamaa USD 4,000 kumbe yeye (Chameleone) amelipwa USD 50,000. P Funk akawafuata Kampuni husika ya movie na kutaka kuwashtaki na hapo wenye kampuni wakampa USD 100,000 kama sikosei na hapo ndio Profesa J akajua kuwa jamaa amekula hela na yeye J hajapata kitu, ingawa alilipia beat husika, hivyo kustahili mapato yatokanayo na beat. Na ndiyo sababu kwa Chameleone mlalamikaji alikuwa ni Jay na sio P Funk
Mauzo yanayotokana na kazi zakoHii 40% gharama yake ni nn ili uipate? Mavazi, chakula, malazi, usafiri n.k vinaingia humu?
Hii biashara imekaa kihuni sana... Hivi LAIZER akitengeneza beat la wimbo inakua mali yake au ya diamond?? je beat ikitumika kufanya kazi nyingine huko nje mpunga ukatolewa analipwa nani hizo hela??? MSANII AU DIAMOND AU LAIZER??Toa hiyo elimu isije ikawa mwenye lebo anapata ndogo ila haionekani sababu watu wanatazama turnover badala ya profit.
Mm nina biashara, mishahara kwa mwaka inaweza kuwa m100 kwa wafanyakazi approx 6, ila faida iliyobaki kabla ya kodi ikawa 20m. Ukipiga hapo wafanyakazi walipata kubwa kuliko mmiliki ila hilo haliwezi kuonekana.
Why Diamond na Laiza? Why not Kiba na Man Walter?Hii biashara imekaa kihuni sana... Hivi LAIZER akitengeneza beat la wimbo inakua mali yake au ya diamond?? je beat ikitumika kufanya kazi nyingine huko nje mpunga ukatolewa analipwa nani hizo hela??? MSANII AU DIAMOND AU LAIZER??
Man walter sio producer wa label ya kiba... ila laizer yupo chini ya labelWhy Diamond na Laiza? Why not Kiba na Man Walter?
So ukiwa producer nje ya label ina make difference kwenye umiliki wa rights zako?Man walter sio producer wa label ya kiba... ila laizer yupo chini ya label
obvius huwezi mfananisha uhuru alionao LAIZER na MAN WATER.. leo laizer hawezi fanya kazi na konde ujueSo ukiwa producer nje ya label ina make difference kwenye umiliki wa rights zako?
Mwenye haki kwenye beat hiyo ni P Funk na ndio maana ni yeye alieshikia bango mpaka mkwanja ukatoka. Na mamlaka zote za hakimiliki za Uganda na Tanzania (COSOTA) zilimsaidia mpaka akapata haki yake na Wala sio Prof. Jay. CoSoTa isingeweza kumnyima Prof. Jay Kama angekuwa na haki kwenye hili.Ni movie.
Profesa J alitoa wimbo wa nikusaidiaje, Chameleone akatamani beat akalichukua na kufanya wimbo wake wa bombo clat. Profesa akawa na mgogoro na Chameleone, wakayasolve kwa kufanya wimbo wa Ndivyo Sivyo, wakamalizana kisanii.
Kina Lupita Nyongo wakatengeneza filamu yao na katika soundtracks zilizotumika wakatumia wimbo wa Bombo Clat wa Chameleone Jose, wakamlipa bwana Chameleone. P Funk kujua akamfuata Chameleone amtoe mpunga, Chameleone akampa jamaa USD 4,000 kumbe yeye (Chameleone) amelipwa USD 50,000. P Funk akawafuata Kampuni husika ya movie na kutaka kuwashtaki na hapo wenye kampuni wakampa USD 100,000 kama sikosei na hapo ndio Profesa J akajua kuwa jamaa amekula hela na yeye J hajapata kitu, ingawa alilipia beat husika, hivyo kustahili mapato yatokanayo na beat. Na ndiyo sababu kwa Chameleone mlalamikaji alikuwa ni Jay na sio P Funk
Haya ni maswali mazuri mno ila majibu yake ni ngumu unless kama mikataba tungekuwa nayo.Hii biashara imekaa kihuni sana... Hivi LAIZER akitengeneza beat la wimbo inakua mali yake au ya diamond?? je beat ikitumika kufanya kazi nyingine huko nje mpunga ukatolewa analipwa nani hizo hela??? MSANII AU DIAMOND AU LAIZER??