Ukweli usemwe: Simba wamekimbia mechi, hakuna mtu wa Yanga aliwazuia kuingia uwanjani

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Huu ndio ukweli ambao utamuweka kila mtanzania huru.

Hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyezuia Simba kuingia uwanjani.
Simba walifika nje ya uwanja wakiwa na mabasi yao mawili moja lina wachezaji na technical bench.

Na bus lingiine likiwa na wazee pamoja na wanyama kama mbuzi, kondoo na kuku.

Anaetoa idhini na kufungua uwanja ni meneja wa uwanja ambae Simba waliwasiliana nae na hatujui walijibiwa nini na walizungumza kitu gani. Lakini hakukuwa na kiongozi yoyote wa Yanga alikuwa na funguo za geti la uwanja wa taifa. Sasa timu inazuiliwa vipi kuingia na Yanga?

Chengine kulikuwa na visingizio vingi sana kabla ya hii mechi. Simba walikuwa wanakataa kila refa lakini yalikua ni maandalizi kwa mashabiki wao kisaikilojia maana walijua hii game inapigwa Ramadhan ingekuwa na goli sio chini ya 6.

Ukweli ni kwamba hakuna kiongozi au mtu yoyote wa Yanga aliyezuia Simba kuingia uwanjani kama kuna wahuni wa mtaani walifanya ilo tukio Yanga haiusiki nao hawatambuliki pale jangwani.
Lakini nimepenyezewa kuwa Simba waliandaa watu wao wajifanye ni Yanga wafanye vurugu ili wapate sababu za kukimbia mechi.
Haiwezi kutokea makomandoo wa Yanga wazuie gari ya Simba alafu makomandoo wa Simba wawe watulivu na wanyonge hii haijawai kutokea kama ambavyo haijawai kutokea Simba wakafanyia mazoezi uwanja wa mechi siku moja kabla ya mchezo.

Ukweli ni kwamba hesabu za ushindi kwenye hii mechi zilikataa upande wa Simba na solution ya kuepuka kipigo kitakatifu ni kuwakimbia Yanga ambao dhamira yao ni kuifunga Simba mpaka 2030.
 
...lakini nimepenyezewa..
.hapa ndipo uzi wako ulipokosa mashiko..nenda tu kule kwenye masuala ya kina Diomond huku usije
 
Ati kama wamezuiwa wameshindwa kwenda kwenye vyombo vya kisheria?
 
Yaan hapo ulipoandika neno Chengine baaasi nilijua wewe ni zumbukuku ulimwengu Upo huku. Kikaacha kusoma andiko lako
 
Hujathibitisha lolote, zaidi ya umbea tuu
 
This is how bad our minds are when it comes to simba na yanga

We forget kila kanuni, sheria na taratibu

Mbaya sana hii

Dhuluma za simba na yanga kuna siku zitabariki maafa makubwa zaidi
Derby za Simba na Yanga mara nyingi timu zinafanyia mazoezi kwenye viwanja vyao vya mitaani pale wanakutana kwenye mechi tu. Lini uliona timu za Simba na Yanga zinafanyia mazoezi ya mwisho katika uwanja utaotumika?
 

Huna akili na idhihirisha wewe ni tikiti maji, empty wahed
Nyie ndo mnasababisha Yanga wote tuonekane wenye akili ni wachache

Na declare wazi kuwa mm ni mwana Jangwani

Kanuni ya TFF inasema timu mwenyeji ndie atakabidhiwa uwanja na kuhakikisha logístics zote za uwanjani ikiwemo uwepo wa ambulance wakati wa mazoezi na siku ya mechi, ulinzi wakati wa mazoezi kwa mgeni na siku ya mechi, ukatwaji wa tiketi nk nk

Na kanuni inaelekeza wazi timu mwenyeji anafursa ya kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi tena ktk muda ule ule ambao mechi husika itachezwa, hvyo timu mwenyeji lazima itoe ulinzi na ushirikiano ktk hili la fair treatment kwa timu ngeni

Kwa kitendo cha jana timu mwenyeji kupitia walinzi wake wa uwanjani kufanya unfair treatment kwa timu mgeni, maana yake KANUNI ZIMEKIUKWA

KWA HAPA YANGA TUMEPUYANGA NA TUMEHARIBU HII MECHI

SIMBA ANA HAKI YA KUSUSIA MECHI BASED ON UNFAIR TREATMENT
 
Derby za Simba na Yanga mara nyingi timu zinafanyia mazoezi kwenye viwanja vyao vya mitaani pale wanakutana kwenye mechi tu. Lini uliona timu za Simba na Yanga zinafanyia mazoezi ya mwisho katika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…