Magufuli ali-control sana inflation.Ni rahisi kwa kiasi gani, Ni vyema ukaweka takwimu za bei msumbiju vs Tanzania, Msumbiji kiasi gani na Tanzania kiasi gani?...
Hakuna siku Tanzania kuliwahi kuwa na unafuu wa maisha kwa maana ya hizo inflation, kila miaka huwa zinapanda tu..
Shida yetu kuu ni controlling kila mahala kuanzia kwenye Birth rate, death rate, population growth, mpangilio mbovu wa makazi, plan mbovu za makazi, miundombinu mibovu, na shida nyingine nyiiiingi ambazo zinahitaji nguvu kubwa kuanzia ngazi ya familia na muda wa kufanya..
Wakati mnashangilia Putin kidume mlikuwa hamlijui hili?haya ndio madhara yake,mtamuonea bule huyo mama...nchi za western Europe unga wa ngano huruhusiwi kununuwa zaidi ya kg2..na madukamengi haupo kabisa na mafuta ya kura pia ni hivo..hii sio vita ya Burundi au Somalia.Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.
Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.
Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.
Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.
Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?
Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.
Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.
Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Bashite ana shida/kosa gani?Nawashangaa nyie wafuasi wa dikteta, yaani mnaona Bora utawala wa muuaji mwenye roho mbaya,kuliko utawala wa mtu muungwana,
Chini ya dikteta bwana yule ajira mpya zilikuwa hamna Wala kupandishwa madalaja kwa watumishi, no increment kwa watumishi, no democracy, Uhuru wa vyombo vya habari aliuua kabisa,matukio ya hovyo ilikuwa kawaida, yeye furaha yake ilikuwa wananchi wote waishie jela uraini abakie yeye na bashite sijui,
Mmepata Rais muungwana wa Sasa mnamletea dhihaka, watz Nyie baadhi yenu ni matahila kweli kweli, na mtaongozwa na chama kilichopo Hadi mwisho wa dunia, stupid
Acha kuwa mchumi wa maneno, usiseme changamoto sema mwaka mmoja wa mama utawala wske umefeli mazima .Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.
Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.
Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.
Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.
Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?
Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.
Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.
Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Na vile ana miguu ya kuupiga😀Wacha aendelee kuupiga mwingi 😂😂😂😂
Unaweza kututhibitishia hapa mpango wa hayo mauaji ya awamu ile?Wewe huna akili,mauaji ya vitu gani? Ajali zinasababishwa na Rais?
Lini ajali ziliacha kutokea? Kuna mtu anaongoza kwa mauji ya kupangwa kama awamu ile?
Anaesema Putin kidume ni MaCCM na CCM yenu, hata kura ya tanzania UN imemtetea muuaji mwenzao Putin.Wakati mnashangilia Putin kidume mlikuwa hamlijui hili?haya ndio madhara yake,mtamuonea bule huyo mama...nchi za western Europe unga wa ngano huruhusiwi kununuwa zaidi ya kg2..na madukamengi haupo kabisa na mafuta ya kura pia ni hivo..hii sio vita ya Burundi au Somalia.
Nenda mahakamani ntakuja kuthibisha.Unaweza kututhibitishia hapa mpango wa hayo mauaji ya awamu ile?
Unataka kutuambia "hayo ya kupanga" yalikuwa ni mauaji zaidi ya haya yanayosababishwa na a corrupt government?
Au kwa kuwa wengi wa hawa wanaokufa kwa sababu ya corruption ya serikali yanawaathiri zaidi masikini na wanyonge unaona hayastahili kuepushwa na kukemewa?
Kwamba hao waliokutwa kwenye viroba, waliopigwa risasi hadharani, "waliopewa" kesi hovyo ni Watanzania zaidi ya hawa wanaokufa kwa ajali zinazosababishwa na inefficiency ya serikali kusimamia sheria!!?We ni mwehu kweli, kwaiyo unafananisha ajali za barabarani na maiti za kwenye virob,watu kupigwa risasi adharani, kuwapa watu kesi za hovyo hili kuwakomoa, kwa kifupi magufuli alikuwa hafai kabisakabisa, Nchi yetu mahusiano ya kimataifa yalishuka kabisa, Mambo mengi yalikuwa hovyo,
Samia inatakiwa akimaliza miaka mitano hii ya mwanzo, apewe miaka kumi na nne ya Katiba mpya itakayoanza mwaka 2025, hili amalize mwaka 2039, Nchi kwakweli chini ya Samia na team yake imetulia haswaa,wavivu wachache na wenye chuki za kidini na ukabila ndio hawamkubari Samia
Mkuu nilitaka nikutagHadi sasa hakuna kipimo cha uchumi hata kimoja ambacho Rais kazingua zaidi ya kutunga hadithi kama za mtoa mada.
Rais wa wapi anaweza fanya haya ?[emoji116]
View attachment 2169009
View attachment 2169010
View attachment 2169011
View attachment 2169012
View attachment 2169013
Mafisadi papa yamerudi mjini yanafidia hasara waliyopata kwa miaka mitano iliyopita ya hasara kwao.Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.
Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.
Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.
Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.
Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?
Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.
Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.
Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
• Ameachia drug lords wote, mateja wanazidi kuongezekaNenda mahakamani ntakuja kuthibisha.
Vipi wewe unaweza kuthibisha mauaji ya corrupt government ni yapi hayo yanayowaathiri maskini na wanyonge?
Kuwa mwanamke kuongoza sio nafasi yake?[emoji28]Sie tuliishapewa majukumu yetu na Mwenyezi Mungu Baba tokea zamani.
Haya ya nyongeza ona yanavyotupiga.
Ushahidi upi tena?😀, huoni hii mifumuko ya bei za bidhaa,umeme shida,tozo kandamizi,mauaji hasa ya wanafamilia na ajali zilizokithili.Weka ushahidi
Hawa ni madalali na matapeli wana nufaika na shida za wananchiAliyeshiba hamuoni mwenye njaa !!
Hilo taahira achana nalo mkuu!.Kwamba hao waliokutwa kwenye viroba, waliopigwa risasi hadharani, "waliopewa" kesi hovyo ni Watanzania zaidi ya hawa wanaokufa kwa ajali zinazosababishwa na inefficiency ya serikali kusimamia sheria!!?
Kwamba ni Watanzania zaidi ya hawa wanaokufa kwa sababu ya ubovu wa umeme, kutokuwepo na nidhamu katika ofisi za umma, wanaokufa na kuharibikiwa na maisha kwa sababu ya madawa ya kulevya, wanaokufa kwa sababu ya miundombinu mibovu inayosababishwa na ruhusa ya watu kula kwa urefu wa kamba zao!!?
You must have mental issues to affirm such a corrupt stance.
1.Nitajie idadi ya mateja walioongezeka na drug Lords walioachiwa.• Ameachia drug lords wote, mateja wanazidi kuongezeka
• Hakuna usimamizi mzuri kwenye ofisi za umma, huduma zimeshuka sana na watu wengi wanakufa kwa kukosa huduma
• Amefukuza machinga, familia nyingi sasa hivi hazina vyanzo vya mapato, njaa imekithiri
• Viongozi sasa hivi wanakula kwa urefu wa kamba zao, consequently we have the least reliable umeme kuliko lipindi chochote kile in the past six years, miradi ya kimkakati yote inapumulia mashine, hakuna ubora kwenye huduma za serikali
• Hakuna usimamizi mzuri kwenye huduma za kijamii, watu sasa hivi wanajipangia tu bei wanavyotaka as a result, kabla hata ya mgogoro wa Urusi na Ukreini, tuna mfumuko wa bei mkubwa kuwahi kutokea for the past five years
• Kwasababu ya usimamizi mbaya na kuongezeka kwa rushwa, ajali zimeongezeka zaidi. Hata ving'ora vya buses nyingi sasa hivi havifanyi kazi.
• Just to mention a few.
😅😅😅msumbiji umekuta vitu rahisi sababu wao vita vya urusi na ukraine haviwahusu
k..a wwwakati wa yule muuaji kulikuwa hamna afadhali yoyote,Bora ya Samia Mara elfuuu,