Ukweli Usemwe: Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto

Ukweli Usemwe: Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto

1.Nitajie idadi ya mateja walioongezeka na drug Lords walioachiwa.

2.Naomba mfano wa watu wawili tuu waliokufa kwa kukosa huduma,naomba uonyeshe kushuka kwa huduma kwamba figures na graghs na pia usimamizi ni mbaya how? Mzuri ukoje/ ulikuaje kulinganisha na Sasa.

3.Machinga wamefukuzwa kutoka wapi na wamekwenda wapi? Tupe Takwimu za kuthibisha Hali ya njaa mwaka mmja uliopita na Sasa.

4.In fact ni jambo jema viongozi kula kwa urefu wa kamba zao maana wakizidi wataiba za wengine,taja mradi hata mmja wa kimkakati unaopumulia mashine na utoe ulinganifu,nipe kipimo cha ubora wa huduma za serikali Kati ya Sasa na awali Ili uaminike.

5.Mfumuko wa bei huwa unapimwa kwa Takwimu sio maneno ya kijinga kama yako,weka Takwimu.Serikali haipangi bei ya bidhaa sokoni na Kwa hivyo itaacha soko liamue,ukiona bidhaa zinatoka manake ni kwamba pesa ya kununua ipo.

6.Rushwa imepungua Sana na Wala rushwa wanafikishwa mahakamani unlike previous years walipokuwa wanacompromise na corrupt and dictatorial government.Awamunya Tano waliwaruhusu hadi polisi kula rushwa kitu ambacho Mama kakataa na kawakaba kwa marekebisho ya sheria..

Ajali hazijaanza leo,leta Takwimu za mwaka Jana na Mwaka huu Ili tulinganishe..

Umeandika upuuzi mwiingi sana with full feelings without evidences.Hii ndio chuki sasa, unfortunately Samia yuko hadi 2030 akijaaliwa uhai.

Na kwa kukusaidia tuu Takwimu Zote za uchumi zinambeba regardless of hizi porojo za kufunga.
Mkitoboa 2025
Nitaamini kweli tumelogwa

Tumieni huu muda kutamba na kuzichota nyingi ili muwe na akiba

Changes are coming
 
1.Nitajie idadi ya mateja walioongezeka na drug Lords walioachiwa.
Njoo hapa Kinondoni ujionee.

2.Naomba mfano wa watu wawili tuu waliokufa kwa kukosa huduma,naomba uonyeshe kushuka kwa huduma kwamba figures na graghs na pia usimamizi ni mbaya how? Mzuri ukoje/ ulikuaje kulinganisha na Sasa.
Tembelea hospital za serikali ujionee hali halisi.

3.Machinga wamefukuzwa kutoka wapi na wamekwenda wapi? Tupe Takwimu za kuthibisha Hali ya njaa mwaka mmja uliopita na Sasa.
Unajua hata machinga walikuwa wapi zamani? Nenda sasa hivi ukajionee kama bado wapo.

4.In fact ni jambo jema viongozi kula kwa urefu wa kamba zao maana wakizidi wataiba za wengine,taja mradi hata mmja wa kimkakati unaopumulia mashine na utoe ulinganifu,nipe kipimo cha ubora wa huduma za serikali Kati ya Sasa na awali Ili uaminike.
Kwahiyo umekiri kwa kinywa chako ufisadi mnaoufanya. Ukiacha miradi aliyoiacha JPM inakaribia kukamilika, hakuna mradi hata mmoja wa kimkakati unaoendelea vizuri. Imewashinda.

5.Mfumuko wa bei huwa unapimwa kwa Takwimu sio maneno ya kijinga kama yako,weka Takwimu.Serikali haipangi bei ya bidhaa sokoni na Kwa hivyo itaacha soko liamue,ukiona bidhaa zinatoka manake ni kwamba pesa ya kununua ipo.

6.Rushwa imepungua Sana na Wala rushwa wanafikishwa mahakamani unlike previous years walipokuwa wanacompromise na corrupt and dictatorial government.Awamunya Tano waliwaruhusu hadi polisi kula rushwa kitu ambacho Mama kakataa na kawakaba kwa marekebisho ya sheria..
Kabisa, sasa hivi wanakula kwa urefu wa kamba yao.

Ajali hazijaanza leo,leta Takwimu za mwaka Jana na Mwaka huu Ili tulinganishe..
Upo Tanzania?

Umeandika upuuzi mwiingi sana with full feelings without evidences.Hii ndio chuki sasa, unfortunately Samia yuko hadi 2030 akijaaliwa uhai
Tutafika 2030 tumechoka sana.

Na kwa kukusaidia tuu Takwimu Zote za uchumi zinambeba regardless of hizi porojo za kufunga.
Kwa maisha yanavyozidi kuwa magumu huku mtaani hizo takwimu ni za kusadikika.

Ni takwimu za kifisadi pekee zitakazombeba.

Screenshot_20220330-132732_Chrome.jpg
 
Mkitoboa 2025
Nitaamini kweli tumelogwa

Tumieni huu muda kutamba na kuzichota nyingi ili muwe na akiba

Changes are coming
Leo ni 2022 unazungumzia 2025 ,umelogwa?

Hivi una matatizo ya kufikiria wewe eti,tushindwe kutoboa kwa mambo haya si tutakuwa tumerogwa aisee
 
Leo ni 2022 unazungumzia 2025 ,umelogwa?

Hivi una matatizo ya kufikiria wewe eti,tushindwe kutoboa kwa mambo haya si tutakuwa tumerogwa aisee
Ni wakati wenu tambeni

Huo uongozi mnaoupata Kwa uchawi na mazindiko ndio matokeo yake haya
Ila muda unakuja

Kuleni mpaka mvimbiwe

Na mkifa mtaondoka nazo pia
 
Huwez kuandamana una njaa. Na wasomi huwa hawaend front. Elimu duni ya kujua haki na wajibu ukijumlisha na ufukara ni mtaji mzuri sana kwa ccm kukaa madarakan had itakapoona inatosha. Ndo sasa itabadili chama na kuja na chama kingine kama UMOJA!

Pia hatujawa na chama mbadala chenye miundombinu kama ccm kuongoza nchi. Ni wajasiri flan tu wenye uthubutu wanaendesha siasa sambamba na ccm. Ukubwa wa ccm unaweza kudhibitiwa na uwepo wa sheria ya vyama kuungana au wagombea kuhama hama.kirahis wakat wa uchaguz.

Tusisahau ccm bado ina mtaji wa watu. Historia inailinda na miundombinu ni thabiti ikiwemo kumiliki think tanks nying.

Kwa vile kuitoa ni ngum mno bas tuangazie bamna ya ccm kujibrand kwa manufaa ya wengi! Km kyvua gamba vile
Vyema mkuu umeeleza uhalisia wa mambo ulivyo, wengi wanaishia kujipa majibu rahisi kwamba et polisi ndio huifanya ccm kuendelea kuwa madarakani wakati kuna mambo mengi tu zaidi ya hilo la polisi.
 
Sisi tunaathiriwa sana na hivi vita vya Urusi na Ukraine
 
Hata sio waoga ila tatizo ni hii mitandao haitoi picha halisi ya huko mitaani, unakuta humu mitandaoni watu wamehamasishana vya kutosha kuandamana ila kumbe huko uraiani hali ni tofauti ndio unakuta siku ya kuandamana inafika unaona raia wanaendelea na shughuli zao.
Hii ni point kubwa sana inabidi kuhamasisha mtaa kwa mtaa ndio Hili linaweza kufanyika
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Kama unaona maisha ni rahisi Msumbiji hamia huko (Sauti ya Mwigulu)
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Mkuu 'GAZETI' tatizo letu wengi, nikiwemo mimi na wewe ni hili ulilolionyesha kwenye mada yako hii!

Yaani tunamtazama kiongozi kwa darubini hafifu mno, kama hii ya bei za vitu, basi, tunaishia hapo. Hizo bei zikiwa chini kwa hiyo kiongozi anakuwa bora?

Naomba sana unielewe, sisemi kamwe kwamba bei za vitu kwa wananchi siyo swala muhimu, ni muhimu sana, lakini ni sehemu ndogo sana katika kumfanya kiongozi awe ni kiongozi mzuri.

Samia hana sifa za kuwa kiongozi mzuri, siyo tu kwa sababu anaruhusu bei zipande juu. Samia hana sifa za uongozi bora kwa sababu hajui anataka nchi hii ielekee wapi; hana dira., na kama anayo ni dira potofu ya kudhani kwamba nchi itaendelea kwa kutegemea watu toka nje kuleta maendeleo hapa.

Sasa hilo la Msumbiji, ulikotembelea, umeuliza kwa nini bei zao zipo chini? Mada yako ingesaidia sana hoja zako kama ungeeleza kinagaubaga kinachofanywa na viongozi wa Msumbiji, na kisichofanywa na Tanzania. Ungefanya hivyo, ingesaidia sana mada yako kueleweka.
 
Ishu sio katiba ishu ni usimamizi, katiba ya sasa ikitumika ipasavyo bado ni katiba Bora,

Katiba mpya kama haitotumika vizuri still itakuwa ni worse
Huu ukweli wengi wameuzibia macho na masikio.
Hii katiba tuliyonayo haifuatwi je hiyo mpya itafuatwa? Viongozi wetu si ndio hawahawa au watashuka wengine toka mbinguni?
Tatizo letu kubwa lipo kwenye uwajibikaji na uzalendo.
Magufuli aliyaona haya na alianza kudeal nayo kwa kasi lkn ndio hivyo tena. Alipambania watu wasiojielewa.
 
Huu ukweli wengi wameuzibia macho na masikio.
Hii katiba tuliyonayo haifuatwi je hiyo mpya itafuatwa? Viongozi wetu si ndio hawahawa au watashuka wengine toka mbinguni?
Tatizo letu kubwa lipo kwenye uwajibikaji na uzalendo.
Magufuli aliyaona haya na alianza kudeal nayo kwa kasi lkn ndio hivyo tena. Alipambania watu wasiojielewa.
"Katiba Haifuatwi" kwa sababu haizuii kutofuatwa. Kuna mtu mmoja mwenye madaraka yasiyohojiwa ambaye yupo juu ya katiba. Hivi hili nalo ni gumu kwenu kulielewa?
 
Kwa tanzania haiwezekani na haitowezekana kila katiba ambayo itakuja mtasema ibadilike,

Hii katiba ya sasa inaongea kila kitu mpaka adhabu inatoa mbona still hakuna kinachofanyika?

Mnaishia kupiga kelele jf na mambo yako vile vile
Watanzania wanapenda kubembelezwa, hawataki kiongozi mkali. Hawapendi kufokewa wala kuchukuliwa hatua wanapokosea.
Magufuli kapigwa vita sana kwa kosa lakuwachukulia wakubwa hatua zakinidhamu pale wanapokosea.
Magufuli alikuwa bora sana kwa Tanzania ya sasa. Hayo mambo ya demokrasia tungekuja kuyaweka sawa mbeleni nchi ikiwa imenyooka.
Kazi ya demokrasia Kwa Tanzania ni kupokezana madaraka ya kisiasa tu hakuna kingine.
 
Sikiliza bro,usiongee bila kuweka mifano ili kulinganisha,unaposema kitu hiki kule ni nafuu kuliko kwetu,weka hizo bei na pia wrka thamani za sarafu za hiyo nchi kwa kulinganisha na tanzania,vinginevyo utakuwa unaongea porojo tu
Wewe ni mnufaika wa system iliopo. Usimwone mwandishi kuwa ni boya. Thamani ya hela ya nchi atokayo na aendayo mtu hujulikana na hasa ukiiweka kwenye mizani ya dollar. Kwa kutaka akuuwekee mifano ni kuthibitisha utetezi wako kwa corrupt system, ambayo inaondoa tozo asubuhi jioni inarudisha, na haihoji wauza mafuta mbona tozo kuondoka hakuja shusha bei.
 
Kuna tangazo pale bakery kupanda kwa mkate kuanzia tar 1 April
Bora upande bei lakini uwe na ubora. Tabora bakery mikate inauzwa sh 1000, imeandikwa uzito 400g, lakini ukiupima ni 150g! Ukiuminya unaishia kwenye kiganja. Maafisa vipimo wapo, wamekataa maofisini wanasubiri kugonga mizani mihuri.
 
Back
Top Bottom