Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
 
Ni kweli kabisa, amempoteza ben saanane, amempiga risasi tundu lissu, ameiba uchaguzi, aliliweka bunge na mahakama mfukoni, alikuwa anajua kila kitu. nk
Hata ungekuwa wewe ungeruhusu watu wakukashifu mbele ya raia wako unaowaongoza?

Nenda katazame video za tundulisu namna alaivyokuwa anatoa kauli za madharau na kebehi kwa mkuu wa nchi.
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Wasukuma kubalini kuwa mungu wenu ameshatangulia mbele ya haki ya Mungu Mkuu.... Mbele ya Mungu mkuu, wengine wanamwita Elshadai, wengine Allah, wengine Maulana,

Yule alikuwa binadamu kama sisi wengine.... alikuwa na mapungufu yake mengi na mazuri yake mengi pia.

Mwacheni mungu wenu apumzike kwa amani basi... Dah!

Siku ya hukumu Mungu mkuu ndio ataamua....
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Bora mnyamaze tu ili kama yapo mazuri yamtetee kwasasa kumtetea ni kumharibia zaidi
 
Hayo mazuri huyaoni kuwa yanamtetea?
Yapi?
Hebu pika chakula kizuri na ukitenge mezani.
Halafu chukua katone kadogo sana cha mavi ukitupie kwenye hicho chakula uone kama kitaliwa.

JPM nakubali alikuwa mchapa kazi lkn alijiharibia kwa kutoheshimi utu wa watu.
Ubabe wa kijinga na kudhalilisha watu hadharani.

Kuiba uchaguzi wazi wazi.

Mauaji nk
 
Yapi?
Hebu pika chakula kizuri na ukitenge mezani.
Halafu chukua katone kadogo sana cha mavi ukitupie kwenye hicho chakula uone kama kitaliwa.

JPM nakubali alikuwa mchapa kazi lkn alijiharibia kwa kutoheshimi utu wa watu.
Ubabe wa kijinga na kudhalilisha watu hadharani.

Kuiba uchaguzi wazi wazi.

Mauaji nk
Naona unaishi nje ya Tanzania
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Lala mkuu, Mungu mtenda haki kashafanya yake. Aliona kinachoendelea Tz. Wewe jifanye unaona kuliko Mungu
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
We acha tu, nimetoka kujikumbusha kusikiliza hutuba yake pale bandarin aisee i wish tupate mwingine like Magu au afufuke tu.
 
Alikuwa ni msema kweli,mfano aliahidi kuvuvunja upinzani wa hovyo na akauvunjavunja kweli,Pia ukiwa na pesa benki zisizokuwa na vielelezo anazichota zinapelekwa kwenye project za taifa.Apumzike kwa amani mwamba.
 
Back
Top Bottom