Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

Katika rais Tanzania aliyefanya reforms kubwa na kazi kubwa sana na marais karibu wote walimkubali ni MKAPA. Hata Mwinyi, JK, JPM walilikiri. Mkapa was no match ingawa na yeye alikuwa na downsides zake.
Unadhani mkapa angempokea nyerere kijiti angefanya hizo reforms alizofanya!?..mwinyi kakuta hazina patupu,alifanya reform toka centralized economy kwenda free market,alichofanya mkapa ni kuuza mashirika ya umma na migodi kwa Bei za kutupa,pakiwa na harufu ya rushwa ndani yake,najua unaamini mkapa alianzisha TRA,mkapa hakuanzisha TRA Bali mwinyi
 
Mwamba wa Afrika Shujaa wa Karne.John Pombe Magufuli, Mwana halisi wa Afrika.Tutakuenzi daima & Legacy yako itaishi daima
 
Ni kweli kabisa, amempoteza ben saanane, amempiga risasi tundu lissu, ameiba uchaguzi, aliliweka bunge na mahakama mfukoni, alikuwa anajua kila kitu. nk
Anatukumbusha wasiojulikana baadae wengine wakaunganisha doti iliwaweze kuwatambua hahaha 'a world in a nut shell'
 
Hakuna nchi yenye maendeleo mwanamageuzi wake hakuwa mkali. Chadema mnatakiwa kuelewa hilo.

JPM alikua Raisi sahihi kabisa kuigeuza hii nchi
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
We una umri gani, inaonekana ni vitoto vya miaka ya 2000 hakuna unachokijua zaidi ya mahaba kwa huyo JPM wako. Kwa taarifa yako JPM hakuna mradi alioukamilisha zaidi ya kuanzisha miradi mingi badala yake mama ndiyo anhangaika kuikamilisha. Niambie hata mradi moja aliouanzisha na kuukamilisha. Kweli unaweza kumlinganisha baba wa Taifa na Magufuli? Km siyo utoto unakusumbua basi una tatizo la msingi
 
We una umri gani, inaonekana ni vitoto vya miaka ya 2000 hakuna unachokijua zaidi ya mahaba kwa huyo JPM wako. Kwa taarifa yako JPM hakuna mradi alioukamilisha zaidi ya kuanzisha miradi mingi badala yake mama ndiyo anhangaika kuikamilisha. Niambie hata mradi moja aliouanzisha na kuukamilisha. Kweli unaweza kumlinganisha baba wa Taifa na Magufuli? Km siyo utoto unakusumbua basi una tatizo la msingi
Kwa kifupi sana...
Kwaio hizi flyover 2 za daslama(Tazara + Ubungo) sio miradi?600km barabara za mitaani sio miradi?stand ya dodoma na magufuli pale mbezi ya kimara sio miradi iliyokamilika?
Hii inchi ina vijana wa hovyo sana, they cant think and they cant find the proper informations either...wapo wapo tu bora siku iende
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Mi sidhani kama kuna mtu anaweza kupinga hili
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Uendelee kupumzika kwa Amani Dr Magufuli, J.P
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
JPM ni nani?! Hatukumbuki. Hebu fafanua kidogo. Hayo mambo makubwa ni yapi?! Au wewe unaishi nchi nyingine?!
 
Back
Top Bottom