Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Ni kweli ana pia mazuri yake aliacha Dini yake ya RC imejipanga kutawala na kua sehemu kuu ya utawala wa nchi hi. Alijitahidi kuwapendelea kwa kuwapa vyeo serikalini jambo ambao paka leo watu wanataka kuliendeleza hilo jambo la kupokezana uraisi kati ya Dini mbili ni upuuzi sio democracy.Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru na akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Nashauri Nyerere day ifutwe...Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Wewe endelea kunywa kangara.Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Alikuwa na Nia nzuri matokeo yakawa tofaut.Kwa Kila Mwenye Ubongo Unaofanya Kazi Akiweka Mahaba Na Pembeni Hisia Pembeni, Huyo Mzee Lazima Achanwe Mwa Maamuzi Yake Ya Hovyo Yanayoligharimu Taifa Hili Mpaka Hii Leo,
Kwenye hilo alikwaza taifa na waliompinga aliwaona sio watu Leo yuko wapi we gain nothing from itAlisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
We ni ng'onda kabisa.Ni kweli ana pia mazuri yake aliacha Dini yake ya RC imejipanga kutawala na kua sehemu kuu ya utawala wa nchi hi. Alijitahidi kuwapendelea kwa kuwapa vyeo serikalini jambo ambao paka leo watu wanataka kuliendeleza hilo jambo la kupokezana uraisi kati ya Dini mbili ni upuuzi sio democracy.
Kiongozi unafanyiwa assessment kwa matokeo ya maamuzi yako sio nia yakoAlikuwa na Nia nzuri matokeo yakawa tofaut.
Ni sawa na mtu anakopa pesa bank awekeze project then project isiendelee ikafa Sio kosa lake.
Waliofuata Baada ya Nyerere wamefanya nini Taifa liwe Tajiri?Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Imagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.Kwa Kila Mwenye Ubongo Unaofanya Kazi Akiweka Mahaba Na Pembeni Hisia Pembeni, Huyo Mzee Lazima Achanwe Mwa Maamuzi Yake Ya Hovyo Yanayoligharimu Taifa Hili Mpaka Hii Leo,
Nchi hii ni tajiri sana toka kuumbwa kwake,na Nyerere kaicha ikiwa na utajiri mkubwa sana.Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Nyerere alifanya kwa sehemu yake, sema baada ya yeye yalifuata majangili tupu ndiyo yametufikisha hapaAlisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Nchi hii ni tajiri sana toka kuumbwa kwake,na Nyerere kaicha ikiwa na utajiri mkubwa sana.
Tatizo tulilonalo sisi watanzania ni namna ya kupata watu makini wa kutuvusha katika angle ya uvunaji wa maliasili zetu,tumetawaliwa na ubanafsi,roho mbaya,uchawi,uroho,tamaa na kila aina ya ushetani,hili ndio tatizo la nchi hii
Wamekuta jengo lisilo na msingi imara, haliendelezeki.Waliofuata Baada ya Nyerere wamefanya nini Taifa liwe Tajiri?
Upo nje ya madaImagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.
Nyerere aliacha shirika la ATCL linafanya safari ndani na nje ya nchi. Aliacha TRC na Tazara zikifanya kazi ya usafirisha wa abiria na mizigo kwa kiwango.
Nyerere aliacha nchi ikiwa na viwanda vya kutosha vilivyokuwa vinatoa ajira Textile industries, Tyres Industry, Automobile Industry, cement industries, electronic industries (kiwanda cha redio), viwanda vya kusindika na kuchakata mazao zikiwa katika mfumo wa Cotton Ginnery na National Milling karibu kila wilaya vilikuwepo. Viwanda vya viatu (Bora shoes).
Aliweka mkakati ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme kwenye stiggler gorges miaka hiyo.
Aliacha mfumo wa elimu wenye focus ya kuzalisha wabunifu elimu ya leo ni knowledge based.
Aliacha Tsh ikiwa na nguvu.
Hakuwahi kuingia mikataba yenye harufu ya kuuza rasilimali za nchi.
Yako mengi sana.
Iwapo tungefanya jitihada ya kuyaandeleza nchi yetu ingekuwa ni miongoni mwa nchi tatu zenye uchumi imara Afrika.
Aliyoacha nyerere kama tungekuwa positive