Ukweli usiowekwa wazi: Hayati Nyerere aliacha taifa letu likiwa masikini sana kiuchumi pamoja na kutoa msaada kwa nchi za jirani

Ukweli usiowekwa wazi: Hayati Nyerere aliacha taifa letu likiwa masikini sana kiuchumi pamoja na kutoa msaada kwa nchi za jirani

Nyerere aliendesha nchi bila kubinafsisha mgodi hata mmoja wa dhahabu pamoja na kujua hazina tuliyonayo, bila kuuza rasilimali za Taifa Leo hii Tena tupo kwenye mgao wa umeme Kuna watu wanapaza shingo kumlaumu. Hiyo mikataba ya gesi, dhahabu, loriondo iliyoingiwa baada ya yeye kutoka imeisaidia Nini Taifa.
 
Hivi unajua kulikuwa na Classes za Raia aina kama nne; Wazungu, Wahindi, Waarabu na Mwisho wabantu ? Unadhani wewe ungeweza kusoma shule za wahindi au kama baba yako sio chief au mzee wa kanisa ungesoma na machief...., tungeweza kwenda Kenya Route ubepari na familia ya Nyerere kuchichotea ardhi yote kama Familia ya Kenyatta na wengine kuendelea kuwa watazamaji au unadhani hilo lisingewezekana ?

Cha maana ni msingi wa Umoja wa Utaifa / Undugu hayo mengine yote unaweza kuamua hata kuanzia kesho ukayatafuta...., kama ni viwanda vya nguo anzisha, kama ni viwanda vya kubangua korosho anzisha (ila cha ajabu watu mnasema hakuna tunachoweza hivyo tuwape wengine wafanye)..., so unless Nyerere aliwaroga hawa watunga sera sioni kwanini alaumiwe....
Yeye aliwezaje kusoma katikati ya hizo classes? Kwani Sasa hivi hazipo?
 
Hivi unajua Katiba ni Sheria ? Na kama sheria nyingine za kila siku zinavunjwa kila kukicha ambazo zipo wazi kabisa unadhani ni nini kitafanya hawa hawa wasiofuata sheria kuvunja na hio so called nzuri ?

Naona unacomment kwa kuweka mahaba mbele kuliko uhalisia.wewe msomi mzima unaijua hadi jamiiforms unajifanya hujui athari
za katiba mbovu ya nchi hii kwa wasimamizi wa sheria kaika kutekeleza majukumu yao? vitu vingine bora ukae kimya,unajidhalilisha,
 
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.

Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.

Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Huu ni mtazamo finyu kutoka kwako mtoa mada japo una uhuru wa kutoa maoni.

Sijawahi kumkubali mtu yeyeote anaye link matatizo yetu ya sasa na J K Nyerere. Nyerere hadi 1985 katawala miaka 24.

1985 mpaka leo ni miaka 38, halafu vichwa 5 baada ya Nyerere bado tuendelee kumlaumu yeye ? Not fair at all.

Yaani 60% ya Watanzania wamezaliwa baada ya yeye kuacha madaraka, bado kweli tuendelee kumlaumu?

Na 40% wamezaliwa 2000 kuja huku mbele wamekuta amekufa, nao wanamlaumu Nyerere.

Nyerere aliondoka hajachimba madini instead aliacha ameyahifadhi kwa ajili ya kizazi hiki na cha baadaye. Na utajiri uko kwenye madini, bado TAKATAKA kama Muuza Kangala zinamlaumu

Bagonza abakie kwenye madhabahu tu
 
Miaka 39 kama nchi tumeshindwa vipi kuibadirisha hadi tumsingizie mzee wetu?
Katiba iliyopo ilifaa kwa kipindi kile.
Hata yeye Nyerere aliwahi kusema katiba sio msahafu"
Wakulaumiwa ni wewe uliye hai na unaona kuwa katiba inahitaji mabadiriko lakini hufanyi mabadiriko unataka marehemu ndio wafanye mabadiriko.

umekubali Katiba Ni Tatizo Hito Aliyeileta Alileta Tatizo.

Hebu Niambie Kwa Namna
Gani Ilifaa Kwa Kipindi kile?

na kwa nini wewe hujachukua hatua kuibadilisha?
 
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.

Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.

Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.

mkuu ww umeifanyia nini hii nchi???… naamini hamna kwene kizazi chako had unakufa Hamna mtu ambaye anaweza akaleta mchango mkubwa kama Nyerere!!…
 
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.

Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.

Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.

mkuu ww umeifanyia nini hii nchi???… naamini hamna kwene kizazi chako had unakufa Hamna mtu ambaye anaweza akaleta mchango mkubwa kama Nyerere!!…
 
Mpumbavu ni baba yako na mama
yako waliokuzaa. nini
kinazuia mabadiliko katika nchi hii kama sio katiba yake mbovu?
Umeshindwa nini kuibadili?
Ninyi ndio vijana wa hovyo sana.
Wakati wa Nyerere kulikuwa na vijana waliothubutu kujaribu kumuangusha Nyerere leo kama kweli unaumizwa na katiba unadhani ukija humu na huu upumbavu wako nini kitabadilika?
 
Nchi hii ni tajiri sana toka kuumbwa kwake,na Nyerere kaicha ikiwa na utajiri mkubwa sana.

Tatizo tulilonalo sisi watanzania ni namna ya kupata watu makini wa kutuvusha katika angle ya uvunaji wa maliasili zetu,tumetawaliwa na ubanafsi,roho mbaya,uchawi,uroho,tamaa na kila aina ya ushetani,hili ndio tatizo la nchi hii
Utapataje mtu makini wa kutuvusha wakati namna ya kumchagua tu ilishanajisiwa tokea enzi zake. Kwa mfano wakati wa kuingia mfumo wa vyama vingi 1992 uliwekwa mfumo wa makusudi 100% wa kihuni ili kubeba watu Fulani Sasa hapo utapataje mtu makini. Katiba mbovu kama hiyo utapataje mtu makini. Kupata mtu makini yapo yanayotangulia kwanza ili kumfikia huyo mtu makini kwa mf katiba nzuri, tume huru ya uchaguzi nk
 
Naona unacomment kwa kuweka mahaba mbele kuliko uhalisia.wewe msomi mzima unaijua hadi jamiiforms unajifanya hujui athari
za katiba mbovu ya nchi hii kwa wasimamizi wa sheria kaika kutekeleza majukumu yao? vitu vingine bora ukae kimya,unajidhalilisha,
Aliyekwambia mimi msomi ni nani ? Kwahio wewe kama unadhani kuwa na Sheria bora ni Bora kuliko kufuata hizo sheria zilizopo Hongera sana kwa uelewa wako ila kwa taarifa yako unakachofanya sio kuondoa mzizi wa matatizo ni kama vile unaya-pruni magugu badala ya kuyangoa....

Ngoja nikupe mfano mmoja wa kuvunja Katiba achana na sheria nyingine zinazovunjwa kila dakika Mtikila alishinda kabisa Kesi kwamba kutokuwa na Mgombea Binafsi kunakiuka Katiba..., unajua what happened walirudi wakabadilisha kifungu retrospectively wakaendelea na kanyaga twende.... (hence umuhimu wa watu kufuata sheria na uzalendo is more important)
 
Ni kweli ana pia mazuri yake aliacha Dini yake ya RC imejipanga kutawala na kua sehemu kuu ya utawala wa nchi hi. Alijitahidi kuwapendelea kwa kuwapa vyeo serikalini jambo ambao paka leo watu wanataka kuliendeleza hilo jambo la kupokezana uraisi kati ya Dini mbili ni upuuzi sio democracy.
Kuna dini miaka hizo hazikuwa na wasomi. Wenyewe mpaka leo bado wanataka mtoto wa miaka 14 asiende shule bali aolewe
 
Mpumbavu ni baba yako na mama
yako waliokuzaa. nini
kinazuia mabadiliko katika nchi hii kama sio katiba yake mbovu?
Halafu 1985 alivyo staafu akatuwekea Rais wa hovyo,Salim Ahmed Salim ndiye alifaa kutuongoza tungefika mbali
 
Imagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.
Nyerere aliacha shirika la ATCL linafanya safari ndani na nje ya nchi. Aliacha TRC na Tazara zikifanya kazi ya usafirisha wa abiria na mizigo kwa kiwango.
Nyerere aliacha nchi ikiwa na viwanda vya kutosha vilivyokuwa vinatoa ajira Textile industries, Tyres Industry, Automobile Industry, cement industries, electronic industries (kiwanda cha redio), viwanda vya kusindika na kuchakata mazao zikiwa katika mfumo wa Cotton Ginnery na National Milling karibu kila wilaya vilikuwepo. Viwanda vya viatu (Bora shoes).
Aliweka mkakati ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme kwenye stiggler gorges miaka hiyo.
Aliacha mfumo wa elimu wenye focus ya kuzalisha wabunifu elimu ya leo ni knowledge based.
Aliacha Tsh ikiwa na nguvu.
Hakuwahi kuingia mikataba yenye harufu ya kuuza rasilimali za nchi.
Yako mengi sana.
Iwapo tungefanya jitihada ya kuyaandeleza nchi yetu ingekuwa ni miongoni mwa nchi tatu zenye uchumi imara Afrika.

Aliyoacha nyerere kama tungekuwa positive
Hakuna kitu, soma kitabu cha mwinyi uone, hivyo viwanda vyote nyerere kaviacha vikiwa kwenye hasara, havikuweza kuendana na technology ya kipindi hicho + mitaji hatukuwa nayo as vingi tulikuwa tunapewa misaada, yan tulikuwa tunatoa pesa serikalini ili kuendeleza hivyo viwanda,


Nyerere as president was big failure
 
Aliyekwambia mimi msomi ni nani ? Kwahio wewe kama unadhani kuwa na Sheria bora ni Bora kuliko kufuata hizo sheria zilizopo Hongera sana kwa uelewa wako ila kwa taarifa yako unakachofanya sio kuondoa mzizi wa matatizo ni kama vile unaya-pruni magugu badala ya kuyangoa....

Ngoja nikupe mfano mmoja wa kuvunja Katiba achana na sheria nyingine zinazovunjwa kila dakika Mtikila alishinda kabisa Kesi kwamba kutokuwa na Mgombea Binafsi kunakiuka Katiba..., unajua what happened walirudi wakabadilisha kifungu retrospectively wakaendelea na kanyaga twende.... (hence umuhimu wa watu kufuata sheria na uzalendo is more important)
Sawa wewe sio msomi lakini the fact mwamba unajua umuhimu wa katiba matter most here.
Hiyo kufuata sheria itakuja baada ya kila muhimili kuachwa ufanye kazi yake.
Unataka kusema hujui kuwa katiba ya nyerere imemerge mihimili yote nchi hii into one ???
Raise anateua majaji, watawezaje ku act dhidi ya interest zake???
Wabunge wanaopitisha Mambo bila kuhoji unadhani wanapenda???
Tatizo Ni mifumo mibovu iliyotokana na katiba mbovu ambayo nyerere kaleta.

Mark milley, us too general alipoulizwa wao Kama jeshi watafanya Nini Kama Trump angegoma kutoka madarakani, alisemaa wao watamuondoa kwa nguvu ili kudumisha utaratibu wa kikatiba.
Alisemaa hivi kwa kujiamini kwa sababu ya mfumo Bora wa katiba uliowafanya wao kuwa huru ku act.

Sasa bongo unaweza kufanya maamuzi dhidi ya aliyekuteua??
 
Imagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.
Nyerere aliacha shirika la ATCL linafanya safari ndani na nje ya nchi. Aliacha TRC na Tazara zikifanya kazi ya usafirisha wa abiria na mizigo kwa kiwango.
Nyerere aliacha nchi ikiwa na viwanda vya kutosha vilivyokuwa vinatoa ajira Textile industries, Tyres Industry, Automobile Industry, cement industries, electronic industries (kiwanda cha redio), viwanda vya kusindika na kuchakata mazao zikiwa katika mfumo wa Cotton Ginnery na National Milling karibu kila wilaya vilikuwepo. Viwanda vya viatu (Bora shoes).
Aliweka mkakati ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme kwenye stiggler gorges miaka hiyo.
Aliacha mfumo wa elimu wenye focus ya kuzalisha wabunifu elimu ya leo ni knowledge based.
Aliacha Tsh ikiwa na nguvu.
Hakuwahi kuingia mikataba yenye harufu ya kuuza rasilimali za nchi.
Yako mengi sana.
Iwapo tungefanya jitihada ya kuyaandeleza nchi yetu ingekuwa ni miongoni mwa nchi tatu zenye uchumi imara Afrika.

Aliyoacha nyerere kama tungekuwa positive
Vijana mapunga wanataka Nyerere angemaliza kila kitu na changamoto.

Wao hawataki kufanya chochote, wanataka bata tu. Ni Kama mibata bukini tu,
 
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.

Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.

Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Hoja yako ni ipi?
 
Umeshindwa nini kuibadili?
Ninyi ndio vijana wa hovyo sana.
Wakati wa Nyerere kulikuwa na vijana waliothubutu kujaribu kumuangusha Nyerere leo kama kweli unaumizwa na katiba unadhani ukija humu na huu upumbavu wako nini kitabadilika?
Kijana wa hovyo baba yako. Wewe kwako hiyo katiba Ni right??
Au Ni means ccm wewe una benefit na upumbavu wa huyo mzee??? Kwa Nini usibadilishe??? Humu tunamchana huyo mzee ambaye ninyi mnamuona wa maana sana na kujizuia msiangalie matakataka akiyofanya.
 
Anza kwamza ku.laumu babako kwa kukuacha katika umaskini.

Nyerere alitoa elimu bure kuanzia primary hadi cbuo kikuu jambo lililowezesha watoto wa maskini tena kutoka makabila yasijua umuhimu wa elimu kusoma, bila hivyo zingesoma familia zile za makabila machache yaliyokua yameamka kama wachaga wahaya na wanyakyusa. Wazazi walilazimishwa kupeleka watoto shule. Matibabu hospitali yaliikuwa bure.
NYerere wakati anapokea uhuru hakukuwa na chuo kikuu lakini alijenga vyuo vikuu viya UDSM, IFM, IDM( mzumbe) nz vyuo vingi vya kati vya elimu, uganga ufundii ili Taifa liwe na wataalamu wa kada ya kati wengi,.

Hakukuwa na viwanda lakini Nyerere alijenga viwanda vingi vya msingi na vya bidhaa i.e. vy cement 3, nguo, kiwanda cha chuma, zana za kilimo , karatasi nk.


ETi shule zilikuwa chache unashindwa hata kuchambua data za populatkon! Watu milioni kumi wakati wa uhuru na hadi anaaondoka madarakani watu walikuwa milioni 23 tu ulitaka idadi ya shule iwe sawa na sasa watu milioni 60? Kila kijiji kilikuwa na shule ya msingi hayo sio mafanikio? Kiuchumi hakuna mtu anaweza kufanya kila kitu lazima achague vipaumbele vichache katika elimu Nyerere alitaka kila mtu apate elimu ya msingi kwanza na pia tujitosheleze kwa wataalamu wa ngazi ya kati.

Nyerere alijenga reli ya Tazara.

Madini aliamua yasichimbwe kwanza hadi watanzania wawe na elimu ya kuyasima.ia vizuri wao wenyewe halafu unamlaumu! Je wale walioingiza nchi katika mikataba ya kiMangungu unawapa sifa zipi?

Umaskini waki haukuletwa na Nyerere.
 
Tabia mbaya kuwalaumu marehemu..
Viongozi waliopo waache tu wizi na ufisadi, waache visingizio.
Tanzania ni nchi tajiri sana.
Hatupaswi kuwa hivi tulivyo.
Tunapaswa kuongoza Afrika kwa utajiri na nguvu za kisiasa.
Na hili linatakiwa liwe ndani ya miaka 10 tu ijayo.
Kwani kalaumi1a nini?
 
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.

Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.

Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.

Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.

Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.

Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Ushauri wangu vijana tuache kulaumu nyerere

Tunafanya na kizazi chetu ili tukumbukwe? Siyo kulaumu tufanye jambo
 
Back
Top Bottom