Hivi unajua kulikuwa na Classes za Raia aina kama nne; Wazungu, Wahindi, Waarabu na Mwisho wabantu ? Unadhani wewe ungeweza kusoma shule za wahindi au kama baba yako sio chief au mzee wa kanisa ungesoma na machief...., tungeweza kwenda Kenya Route ubepari na familia ya Nyerere kuchichotea ardhi yote kama Familia ya Kenyatta na wengine kuendelea kuwa watazamaji au unadhani hilo lisingewezekana ?
Cha maana ni msingi wa Umoja wa Utaifa / Undugu hayo mengine yote unaweza kuamua hata kuanzia kesho ukayatafuta...., kama ni viwanda vya nguo anzisha, kama ni viwanda vya kubangua korosho anzisha (ila cha ajabu watu mnasema hakuna tunachoweza hivyo tuwape wengine wafanye)..., so unless Nyerere aliwaroga hawa watunga sera sioni kwanini alaumiwe....