Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara


Mwogope Allah , haya uliyoyaandika ukitakiwa Utoe ushahidi unaweza kuuleta ?
 
mwenyewe umejidhihiridha tabia zenu
Hukuwa wewe, hata hivyo ulinga mkono aliyeleta hoja. Ndio maana unaungana ktk kutetea ubaguzi. Na kutoweza kuwabagua wanznz mabaladhuli kwakuwa tu ni waznz
 
Hukuwa wewe, hata hivyo ulinga mkono aliyeleta hoja. Ndio maana unaungana ktk kutetea ubaguzi. Na kutoweza kuwabagua wanznz mabaladhuli kwakuwa tu ni waznz
Bado unaendelea kunipakazia, sawa labda ndiyo mafundisho uliyopata
 
Umepotosha kwa kusema kuwa serikali ya CCM haiamini Mungu kwamba eti inafuata imani ya ujamaa.

Mungu ni wa wote, ndio maana kabla shughuli za kiserikali hazijaanza rasmi wanaitwa wachungaji na mashekhe waweze kuombea mafanikio ya kinachokwenda kufanyika, ingekuwa CCM haiamini Mungu yote hayo yasingefanyika.

Labda kama unataka kumhodhi Mungu kumfanya awe ni wa kwako tu.
 
Kaka. Ukitaka kuijua siasa ya tz usisikilize wana siasa Bali soma katiba.

Katiba inatamka wazi kuwa taifa na serikali haina dini.

Wakati huo huo yako matukio ktk serikali hiyo hiyo wanawatanguliza mambo ya dini.....

Hili ni taifa lilojaa viongozi wanafiki na ndumilakuili.

Unaweza kujiuliza lengo kuu la kusema serikali haina dini ililenga kudhoofisha baadhi ya dini..... ?!?!

Sasa nije kwenye msingi was hoja yako. Ccm iliamua kufata siasa za ujamaa kama ilivyo kwa ACT.

The original ya kuwepo nadharia hii ya ujamaa ni ukomunist/ Marxist.

Nadharia hii ya ukominist msingi wake ni kupinga uwepo wa Mungu. Na hivyo hupenga dini pia.

Ccm ilipoamua kusema haina dini dhana hii waliicopy kutoka kwa badhania hii ya ujamaa/communist.

Lkn je ilikusudia kudhoofisha baadhi ya dini?!?!

Tafiti iliyofanya na taasisi zinazoheshimika dunia. Mfano Pewforum Many Countries Favor Specific Religions

Ilifanya tafiti juu ya nchi kuongozwa kwa misingi ya kumridhisha Mungu (dini). Tafiti iligundua kuwa nchi zote zinazojipambanua hazina dini, hupendelea kwa kuipatoa kipaumbee dini moja wapo. Hivyo dhana ya kutoamini Mungu na dini ni kiini macho tu.

Ni dhana inayokandamiza na kubagua dini nyengine.

Hitimisho.

Ccm inafata nadharia ya Ujamaa ambayo asili yake ni Marxist.

Dhana hii inapinga uwepo wa Mungu na uwepo dini.

Kwamba dini ni ulevi wenye lengo la kunyonya watu,

 
Tutajie hata binti mmoja wa kiarabu aliyeolewa na mtu mweusi (gozi) kwa ridhaa yake na wazazi wake
 
Kaka. Ukitaka kuijua siasa ya tz usisikilize wana siasa Bali soma katiba.

Katiba inatamka wazi kuwa taifa na serikali haina dini.

Wakati huo huo yako matukio ktk serikali hiyo hiyo wanawatanguliza mambo ya dini.....

Hili ni taifa lilojaa viongozi wanafiki na ndumilakuili.

Unaweza kujiuliza lengo kuu la kusema serikali haina dini ililenga kudhoofisha baadhi ya dini..... ?!?!

Sasa nije kwenye msingi was hoja yako. Ccm iliamua kufata siasa za ujamaa kama ilivyo kwa ACT.

The original ya kuwepo nadharia hii ya ujamaa ni ukomunist/ Marxist.

Nadharia hii ya ukominist msingi wake ni kupinga uwepo wa Mungu. Na hivyo hupenga dini pia.

Ccm ilipoamua kusema haina dini dhana hii waliicopy kutoka kwa badhania hii ya ujamaa/communist.

Lkn je ilikusudia kudhoofisha baadhi ya dini?!?!

Tafiti iliyofanya na taasisi zinazoheshimika dunia. Many Countries Favor Specific Religions

Ilifany tafiti juu ya nchi kuongozwa kwa misingi ya kumridhisha Mungu (dini). Tafiti iligundua kuwa nchi zote zinazojipambanua hazina dini, hupendelea kwa kuipatoa kipaumbee dini moja wapo. Hivyo dhana ya kutoamini Mungu na dini ni kiini macho tu.

Ni dhana inayokandamiza na kubagua dini nyengine.

Hitimisho.

Ccm inafata nadharia ya Ujamaa ambayo asili yake ni Marxist.

Dhana hii inapinga uwepo wa Mungu na uwepo dini.

Kwamba dini ni ulevi wenye lengo la kunyonya watu,

 
Walianza kuifuata nadharia ya Kimarxist wakiwa na lengo la kuwafurahisha Wachina na Ujerumani mashariki ili wapate misaada kutoka huko ingawa baadae wakaja kufahamu kuwa hao hawana uwezo wa kifedha, hatukuwa na lengo la kuzama ndani sana kama wao.

Nyerere akasema nchi yetu haina dini ila watu wake wanazo dini zao na wapo huru kuziabudu. Alifanya hivyo akiwa na lengo la kuiona nchi ikiwa haitawaliwi sana na dini moja tu kwani madhara yake yanajulikana kwa kutazama uzoefu wa mataifa mengine.
 

CCM haifuati kabisa umarxism . Hivi wewe umeusoma u marxism au unasikia Tu??
Ujamaa Si u marx Tu ?
 
Mzee Nyerere aliwahi kunukuliwa ktk hotuba yake maarufu. "Ujamaa ni Imani".

Kwa maana Ujamaa ni dini.

Kwani dini ni imani.

Hivyo Ujamaa ni dini kwa kimombo huitwa Atheism.

Ni dini isiyoamini uwepo wa Mungu.

Binafsi Mimi sishabikii ccm wala act na wala sinta.... Labda wabadili itikadi yao hii.

Kwa imani yangu Ujamaa ni Ukafiri.
 
Tutajie hata binti mmoja wa kiarabu aliyeolewa na mtu mweusi (gozi) kwa ridhaa yake na wazazi wake

Kwani ulikataliwa kupewa mke ?? Ni kwa sababu ya vitendo vyenu. Mbona wako wengi tu
 
Sio kweli,hizi ni habari zilizoandikwa na watu wenye chuki na wengine.Mwarabu,asili take ni mtu mweusi,ni baada ya kuoana na wazungu,wa mashariki ya ulaya, ndio kukapatikana hao weupe,mnawaita waraabu,hao weupe ni machotara wa mwarabu mweusi(wa Rangi ya asili) na Mwanamke mzungu wa ulaya ya mashariki.Na waarabu wa asili(weusi)ambayo mbabu zao,hawakuoana na wazungu wa mashariki ya ulaya,wapo,tena wengi na Wana miji yao.Kwa hiyo mwarabu(wa asili aliye mweusi)na ndio mwarabu mwenyewe,hawezi kufanya hayo uliyoyaandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe waarabu [emoji23] jamaa mnawahusudu kweli mtu mweusi ni mweusi tu hadi nchi ikaitwa Zanzibar nchi ya watu weusi Ila bado mnajiita waarabu dah [emoji2]. Zamani tulikuwa tunawaita wamanga koki [emoji23][emoji23][emoji23]Koko tu
Mwarabu ni mtu mweusi.Hao unao waona weupe ni machotara(mchanganyiko wa mabibi wa kizungu wa masahariki ya Ulaya,walioana na waarabu(weusi na ndio ramgi ya muarabu. .Hata mzungu,hamuiti mwarabu ni white,anamuita black.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du kweli rangi nyeusi acha tutukwane mpaka basi...

Yaani jamaa naon abora waarabu kuliko msukuma
Mwarabu sio mweupe ni mweusi,hao mnaowaona ni weupe ni mchanganyiko wa mabibi wa kizungu wa mashariki ya ulaya,na waarabu(ambao ni weusi).Ukimuona mwarabu mweupe,huyo ni chotara wa kiarabu na mabibi wa kizungu wa mashariki ya ulaya.Waarabu wa asili sio weupe,na wapo nchi za kiarabu,mpaka leo,japo watu wanafikiria wale ni watumwa,waliopelekwa nchi za arabuni, sio watumwa,wale ndio wenyeji wa nchi za arabuni,kama Sudani,Sudani hakuna watumwa waliopelekwa,wale ndio waarabu,hawakuchanganya na wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwarabu mwenyewe ni mtu mweusi.Ukimuona ni mweupe,huyo ni chotara wa mabibi wa kizungu wa mashariki ya ulaya na waarabu(ambao asili ni weusi).Angalia Sudani,wale ndio waarabu,hawajachanganya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora mzungu aliwachukua kwenda kuzalisha mali..mwarabu yeye aliamua kuwahasi kabisa..ndio mana huwezi kuta waafrika uarabuni kama ilivyo ulaya na marekani..waarabu ni savages.

#MaendeleoHayanaChama
Mwarabu wa asili ni mweusi,na wapo waarabu(weusi ,ambao hao ndio waarabu),hao weupe unao waona ni mchanganyiko wa mabibi wa kizungu wa mashariki ya ulaya.Hao weupe ni machotara wa kizungu na waarabu(wa asili weusi).Angalia mwarabu wa asili aliyeko Sudani,Wale hawakuchanganya damu na wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…