Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Kwa akili yako unadhani Biashara ya utumwa Duniani ilifanywa na waarabu pekee?
Wale watumwa black Americans kutoka West Africa kwenda America walipelekwa na waarabu?
Tena wazungu walivyowadharau waafrika mpaka walikuwa wakiwabadilisha surnames zao kuwa za kwao mpaka wamepoteza uasili na majina yao ya kiafrika. Unakuta mtu anaitwa Lebron James, Michael Jackson, Chris Curter, Mike Tyson.. etc ila ni Pure African..!
Yes ndio Ila waarabu ndio wanaongoza Kwa biashara ya utumwa maana na kitu ambacho pia hakijajulikana wazi ni jinsi watumwa wote waliopelekwa uarabuni walihasiwa ili kuzuia kuzaliana.
 
Labda ungelienda na kule marekani ukajifunza utumwa ulikuwa na makalai gani kwa watu weusi. Halafu ndio urudi hapa uje utuelezee nani zaidi. Sema nikukatishe tuu utumwa sio historia nadhani mtu yoyote anaweza kujivunia uwe wa kabila lolote lile mweusi / mweupe n.k.Kwa bahati mbaya dunia ilipitia muda huo and it can not be undone.

Sidhani kama kinachoendelea baina ya Zanzibar na Tanganyika kinatokana na utumwa au makali ya utumwa. Nadhani ni pure power and money issue, ambapo upande mmoja unafaidika zaidi kuliko mwengine. Kwa bahati mbaya nadhani waliopoteza kingi ni wazanzibar.

Tumepoteza utambulisho wetu kama wazanzibari, tumepoteza uchumi na fedha nyingi kwa kufunikwa kawa la Tanganyika n.k. Keep in mind miradi yote inahitaji mikopo ambayo inaekewa mkono Tanganyika. Hasara ni nyingi kuliko faida, japo zipo ambao wengi wanazijua vitunguu na mbatata za urojo kutoka kwa wakulima wa Tanganyika ... not so sure kama hii ni faida ... maana hata Kenya vinapatikana fedha yake tuu mtu .😀

Nitamalizia hapo kwa sasa, lakini wewe kama mtanganyika unatakiwa kujua faida na hasara za muungano. Na kama mzanzibari vile vile unatakiwa kupima na kuanza harakati za kusimamia kile kilicho sahihi kwa vizazi vijavyo. Upo tayari kujitambulisha kama mtanzania sawa na mtu mwengine alietoka Bara hususan asie muislamu ? Muungano huu una faida yoyote kwa uislamu wetu ? Jibu likiwa hakuna basi una sababu za msingi za kuhoji uhalali na uwepo wa muungano!
Kwani uislam ndo muungano... Na uislam ndo unasema tutengane...Acha kunasa kwenye Dini zilizo letwa na upepo wa baharii

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Rais Mwinyi anapita njia zile zile za JPM atainyoosha Zanzibar, apewe muda tu. Kuna upigaji mwingi huko visiwani kama huku bara tu.
 
Mimi nakuelewa sana, na tatizo naloliona hutaki kuwataja waznz ambao ndio sehemu ya uharibifu wa znz, hutaki kuwashutumu walevi wa kiunguja na kipemba ambao ni sehemu ya uharibifu wa znz. Kwa mfano chanzo wa kikamatwa mashekhe wa uamsho ni waislam wa znz.

Lkn unawajeshimu kwa sababu ya uznzr wao pamoja ni walevi baadhi yao na kuwakashifu waisalam wa Tanganyika kuwa si lolote zaidi ya utanganyika wao.

Kubwa pemgine una upofu wa kutoelewa chanzo cha tatizo na kuwa na uoni huo finyu.

Nirejee lengo la historia si kuisoma na kujitengenezea chuki. Laa, Bali lengo kubwa la historia ni kujua matatizo na mafanikio ya nyuma ili Mimi na wewe tuweze kuiandika historia mpya itakayosomwa na vizazi.

Sasa hiyo mifano ya majina ya kiislam uliyoitaja waliyoyafanya hatuwezi kuyabadili. Lkn wanayoyafanya sasa sisi tunaweza kuyabadili.

Na ili uweze kubadili kwanza tujue chanzo cha tatizo hadi kuwa wako tayari kushirikiana na waislam wenziwao ambao ni waznz kuwaletea mateso na ukatili kwa waznz wasio na hatia. Je tatizo ni utanganyika.?!?!

Binafsi kwa utafiti mdogo nilioufanya na naoendelea kuufanya naamini tatizo si utanganyika.

Bali Ujamaa. Mwalimu Nyerere ktk maono yake alipata kutamka kuwa ujamaa ni imani. Na kama tunavyojua dini ni imani na hivyo ujamaa ni dini.

Hivyo kauli ya mzee Nyereee hakukurupuka. Kwani asili ya ujamaa ni ukomunist. Na ukomonist ni imani isiyoamini uwepo wa Mungu. Na kwamba wanaamini dini zinatokana na ufinyu wa kufikiri wa mwanadamu. Hivyo kutokana na uanzishwaji na uwepo was imani hii ya ukomonist (ujamaa ). waislam pia waliathiriwa na wanaendelea kuathiriwa na imani hii.

Na ili kukata mzizi was fitna serikali ikapigilia msumari kuwa serikali ya ccm haiamini Mungu na hivyo haiamini dini.

Huu ndio msingi was imani ya Ujamaa.

Kwa hiyo ukiniuliza kwa nini waislam was Tanganyika na wa znz walishiriki uhalifu na bado wanaendelea kushiriki uhalifu kwa jimbo LA znz, nitasema tatizo ni imani ya ujamaa.

Iliyowalevya na kuutumikia ujamaa zaidi kuliko imani ya asili yao (uislam) na kuwaona wapinga ujamaa na wasioshiriki imani ya ujamaa ni maadui zaidi kuliko watu wengine.

Sasa kama nawe uko ktk chama. Na misingi ya chama hicho ni itikadi ya ujamaa. Wewe nawe utaendelea kuwaona waislam wa Tanganyika ni maadui kwenu.

Kinyume chake tunaweza kuandika historia mpya. Kwa kuikataa itikadi ya kijamaa.

Kama kuna maeneo ndani ya znz ambapo muislam mtanganyika hawezi kupewa mke kwasababu yeye ni mtamganyika wao pia wameathiriwa na itikadi ya ujamaa.

Kwa kifupi ujamaa umeshindwa na ni adui yetu namba 1 tunaepaswa tumuondoe.

Tunaweza kuishi bila ujamaa kama ndio msingi wa itikadi yetu, pia tunaweza kuishi bila ubepari kuwa ni msingi wa itikadi yetu pale watu wema watakapoamua kushiriki siasa. Na kuanchana na wahuni na wajamaa watuongoze.

Watu wema wapo tz bila kujali imani wetu. Kwani ktk ulimwengu huu ambapo kuna makundi ya watu wenye mchanganyiko wa utamaduni na imani huwezi kujifungia na kudhani utaweza kuishi na watu wenye imani yako pekee. Huku bara hata baadhi ya misikiti inaajiri walimzi wa viatu wa imani nyengine. Maadamu hatuwashinikizi waamini tunayoyaamini sisi, wala wao hawatulazimishi tuamini wanayoyaamini wao.

Nimalizie kwa maneno machache ya kimombo yanayitofautisha aina za watu hapa duniani.
1. Kundi la Whats happen
2. Lets happen
3. Makes happen.

Kundi no 1. Linakuhusu unapemda kufatilia nini kimetokea.

Kundi no 2 ndio watz wengi wengine na hasa waswahili wao ni hewawa wacha yatokee.

Kundi no 3 wako wachache, wao wanataka kutengeza historia mpya. Ndugu yangu napenda ubadili ubongo wako ufikiri kama wanavyofikir Kundi la 3.

Kinyume chake nitakuweka ktkt kundi lililotengenezwa hadi kuzuzuka.

Nini maoni yako.

Umeandika mtungo Na kunilaumu sitaki kuwataja Wazanzibari wanaojiita waislamu waliowaweka ndani uamshor lakini unasahau waislamu Hao waliwekwar Na nani ?

Pili umetaja mambo ya Nyerere Na ukomunisti hili nalo sikubalianir nalo kwani Ulisoma kitabu cha kanisa Katoliki hakisemi hayo.
 
Ai
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Aisee huu ni upuuzi ambao binafsi ndio nausikia leo

Na kama una akili kama izo basi tambua weye bado fikra zako zimefungwa

Waarabu si ndo walikuwa watawala wa Znz enzi izo za Sultani, babu zetu wa kisiwsn wslipigwa sana mibakora

Na kama haitoshi ktk karne hii husitegemee ujengewe nchi yako na waliokuwa wakoloni wakon
 
Umeandika mtungo Na kunilaumu sitaki kuwataja Wazanzibari wanaojiita waislamu waliowaweka ndani uamshor lakini unasahau waislamu Hao waliwekwar Na nani ?

Pili umetaja mambo ya Nyerere Na ukomunisti hili nalo sikubalianir nalo kwani Ulisoma kitabu cha kanisa Katoliki hakisemi hayo.
Nakubali kuwa mashekhe wa uamsho walitoka kwa waislam wajamaa wa serikali ya znz na wakapokelewa na waislam wajamaa wa serkali ya Tanganyika.

Kuhusu kutoafiki dhana ya kuwa itikadi ya ujamaa ni chanzo cha viongozi waislam wa Tanganyika na wale waislam wa znz kuuweka pembeni uislam wao kwa ajili ya manufaa ya yao ya chama, hilo ni hiyari yako na akili yako kung'amua.

Kuhusu kitabu cha kanisa katoliki miongoni mwa mafunzo makubwa yatokanayo kwa kitabu kile ni wenzetu wanapoingia ktk uongozi kwao ukristo kwanza uzalendo badae.

Tofauti na waislam; ukiwemo we we ndugu yangu. Ninyi mnaamini uzalendo kwanza (uzanzibar) kwanza uislam badae.

Na ndio mana unadiriki kusema ni heri mlevi mznz (Kiringo) kuliko mashekhe wa Tanganyika (ilunga). Huu ni msiba.

Hats hivyo nikushukurimu kwa maoni yako. Nimejifunza jambo.

Na naamini kiongozi wa chama cha kijamaa cha upinzani ambae ni mtanganyika Zzk anawaelewa vzr zaidi. .

Na wamesema kweli wanachuoni, mfumo wwt nje ya uislam ni ukafiri.

Shukran mfuasi wa duni, shukran shujaa, shukran mfuasi wa Kiringo
 
NINACHOSHUKURU WAO SIKU HIZI USHOGA NDIO KIPAJI CHAO NA KUWAKOROGA WAKE ZAO UGALI NDO MILA ZAO.
 
Mkuu huyo tayari ameegemea upande fulani hivyo anachallenge tu bila mantiki, hataki ukweli lakini ni kitu ambacho kipo. Yule Kiongozi (RIP) aliesema tusome historia yetu alikuwa na maana kubwa sana ingesaidia kutujenga ili tujue wapi tumetoka na tunakwenda.
Sawa so, nani mwingine atatupa hamasa ya kusoma au kuweka mkazo wa kuandaa hiyo history?.
 
Nakubali kuwa mashekhe wa uamsho walitoka kwa waislam wajamaa wa serikali ya znz na wakapokelewa na waislam wajamaa wa serkali ya Tanganyika.

Kuhusu kutoafiki dhana ya kuwa itikadi ya ujamaa ni chanzo cha viongozi waislam wa Tanganyika na wale waislam wa znz kuuweka pembeni uislam wao kwa ajili ya manufaa ya yao ya chama, hilo ni hiyari yako na akili yako kung'amua.

Kuhusu kitabu cha kanisa katoliki miongoni mwa mafunzo makubwa yatokanayo kwa kitabu kile ni wenzetu wanapoingia ktk uongozi kwao ukristo kwanza uzalendo badae.

Tofauti na waislam; ukiwemo we we ndugu yangu. Ninyi mnaamini uzalendo kwanza (uzanzibar) kwanza uislam badae.

Na ndio mana unadiriki kusema ni heri mlevi mznz (Kiringo) kuliko mashekhe wa Tanganyika (ilunga). Huu ni msiba.

Hats hivyo nikushukurimu kwa maoni yako. Nimejifunza jambo.

Na naamini kiongozi wa chama cha kijamaa cha upinzani ambae ni mtanganyika Zzk anawaelewa vzr zaidi. .

Na wamesema kweli wanachuoni, mfumo wwt nje ya uislam ni ukafiri.

Shukran mfuasi wa duni, shukran shujaa, shukran mfuasi wa Kiringo

Umeandika
Na ndio mana unadiriki kusema ni heri mlevi mznz (Kiringo) kuliko mashekhe wa Tanganyika (ilunga). Huu ni msiba.

Mbona unanipakazia , ni wapi nilisema maneno hayo ? Au mwenzetu uislamu wako unakuruhusu kupakazia watu ??
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Waarabu kutoka Oman ni wavamizi na wakoloni kama wakoloni wengine.
Tuliwaita kweli waje watusaidie kupambana na wareno tukiamini ni ndugu zetu katika imani, lakini baada ya kumshinda mreno wakakhini na kutugeuka, wakamuua kiongozi wetu Mwinyi mkuu na kila aliyekuwa katika sirikali ya wanawanchi wa Zanzibari weusi.
KAMA UNABISHA UTULETEE USHAHIDI WAPI SISI WANAWANCHI WEUSI WA UNGUJA NA PEMBA TULISAINI KUWAKABIDHI MAMLAKA YA VISIWA VYETU.
Hizo ni alama za mtu mnafiki na fisadi katika ardhi, akiaminiwa anakhini.
Wakatutawala kwa ukatili mkubwa na ubaguzi usio na mithali, tukawa watwana na vijakazi katika nchi yetu wenyewe hapa Unguja na Pemba, Wakatuchuuza kama nazi ama karafuu, wakawabaka wakina mama na dada zetu ili hali dada zao ikiwa ni marufuku kwetu wanawanchi weusi.
Ifikie mahala tuheshimiane, madhila waliyopitia wazee wetu tangu mwanzoni mwa mwaka 1800 mpaka 1964 , takriban karne 2 ni balaa na doa jeusi baina yetu na hao waarabu. Matusi ya rejareja kama haya pelekeni kwenye vikao vyenu mkiwa wenyewe sio kwenye kadamnasi kama hii ya vizazi vya waathirika wa idhilali ya waarabu.
Utumwa+ukoloni mkongwe= Mwarabu.
Hatujasahau bado ni miaka takriban 60 tu imepita, tangu tupindue na kurejesha uhuru wetu kama binaadamu.
baada ya waarabu kutukalia kimabavu kwa miaka takriban 130.
 
kwa hyo unataka kusema mapinduzi yalikuwa sahihi.?
Waarabu kutoka Oman ni wavamizi na wakoloni kama wakoloni wengine.
Tuliwaita kweli waje watusaidie kupambana na wareno tukiamini ni ndugu zetu katika imani, lakini baada ya kumshinda mreno wakakhini na kutugeuka, wakamuua kiongozi wetu Mwinyi mkuu na kila aliyekuwa katika sirikali ya wanawanchi wa Zanzibari weusi.
KAMA UNABISHA UTULETEE USHAHIDI WAPI SISI WANAWANCHI WEUSI WA UNGUJA NA PEMBA TULISAINI KUWAKABIDHI MAMLAKA YA VISIWA VYETU.
Hizo ni alama za mtu mnafiki na fisadi katika ardhi, akiaminiwa anakhini.
Wakatutawala kwa ukatili mkubwa na ubaguzi usio na mithali, tukawa watwana na vijakazi katika nchi yetu wenyewe hapa Unguja na Pemba, Wakatuchuuza kama nazi ama karafuu, wakawabaka wakina mama na dada zetu ili hali dada zao ikiwa ni marufuku kwetu wanawanchi weusi.
Ifikie mahala tuheshimiane, madhila waliyopitia wazee wetu tangu mwanzoni mwa mwaka 1800 mpaka 1964 , takriban karne 2 ni balaa na doa jeusi baina yetu na hao waarabu. Matusi ya rejareja kama haya pelekeni kwenye vikao vyenu mkiwa wenyewe sio kwenye kadamnasi kama hii ya vizazi vya waathirika wa idhilali ya waarabu.
Utumwa+ukoloni mkongwe= Mwarabu.
Hatujasahau bado ni miaka takriban 60 tu imepita, tangu tupindue na kurejesha uhuru wetu kama binaadamu.
baada ya waarabu kutukalia kimabavu kwa miaka takriban 130.
 
Umeandika
Na ndio mana unadiriki kusema ni heri mlevi mznz (Kiringo) kuliko mashekhe wa Tanganyika (ilunga). Huu ni msiba.

Mbona unanipakazia , ni wapi nilisema maneno hayo ? Au mwenzetu uislamu wako unakuruhusu kupakazia watu ??
Ushasahau kama si wewe basi ni mfuasi mwenzio wa uoni huu muliotengenezwa.

Pole
 
WAZANZIBARI WANA USEMI WAO WAANASEMA NI BORA MLEVI WA KIZANIBARI KULIKO SHEKHE WA KITANGANYIKA
Jagina said:
Umeandika
Na ndio mana unadiriki kusema ni heri mlevi mznz (Kiringo) kuliko mashekhe wa Tanganyika (ilunga). Huu ni msiba.

Mbona unanipakazia , ni wapi nilisema maneno hayo ? Au mwenzetu uislamu wako unakuruhusu kupakazia watu ??
 
Bora mzungu kuliko mwarabu..waarabu wabaguzi kuliko..

#MaendeleoHayanaChama
Ukijua value yako huwezi kuwa na slave mentality hata kidogo. Wazungu na Waarabu wote wanaangalia chini watu wa ngozi nyeusi hamna mbaguzi bora kuliko mwingine jifunzie kujithamini na kutokubali shit toka ngozi yoyote nyeupe iwe mwarabu au mzungu.
 
Back
Top Bottom