Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Hv kwanza ebu tuambie ww ni mwarabu au mkwea minazi?? Mana usikute ww n mkwea minazi unawatetea waarabu! Haha..shida ya mtu mweusi ni kichwani tu!! Tena nyie na hiyo dini yenu..woii..yaan ni sifuri kabisaa kichwaniii..na vile hampend kwenda shule..mkienda mnafundshwaa karetii..jinga kabisaaa
Kama ujinga ni kutunza mawazo ya kijinga kichwani, basi umeshaingia katika olimpiki!
 
Nyie wazanzibar mmewekeza kwenye Nini mbona umewataja waarabu tu
Bakhressa ni msukuma, hao wakulima wote wakubwa wakubwa waliokuja huko mpaka mkawa mnawahusudu wametokea wapi?
 
Bakhressa ni msukuma, hao wakulima wote wakubwa wakubwa waliokuja huko mpaka mkawa mnawahusudu wametokea wapi?
Haaa!! Unaona sasa jinga hilii...bakhressa c ni mwarabu wa oman mjomba! Yule sio mzenjii..ni mabak ya mabwana zenu waliowafanya kuwa watumwaa huko mwembe togwaaaa jomnaaa..ebu tuambie ww kama ngozi nyeusii unakwea minaz umewekeza nn zenji kwenu?? Usituambie habar za machotaraaa hapaa
 
Acha uongo nani kaona hata Balozi au Waziri mweusi hapo Oman
usiilinganishe na Marekani mpaka Rais katokea Kenya
hakuna wabaguzi kama waarabu, wanawafananisha waafrika km punda na ili wasizae na waarabu wanatumia msemo PUNDA HAPANDI MUSCAT bali ni FARASI tu (Tafsiri hiyo kwanzandipo nije nikupe nyingine)
Waarabu koko waliobaki huku kwetu nawajua wote kuanzia wale wa Kigoma, Tabora, Kondoa mpaka Bagamoyo hawaruhusiwi kwenda kwa wajomba wao sembuse kupewa ubalozi km huku Tanganiyika
Hakuna kizazi cha Utumwa kilichobaki kule Arabuni iwe Oman, Emirate au Yemen kusini au kask
Acha uongo
 
Mkuu Just Distinctions nakushauri hii comment yako ipange vzr uianzishie uzi unaojitegemea na kuipa nyama zaidi. Nimesikitishwa ingawa pia nimejifunza kitu kikubwa kwenye hii historia fupi. Inasikitisha sn. Kwa kweli kwa madhira hayo, mababu zetu leo wakifufuka wanaweza kuona tumewasaliti sn kufanya waarabu na wazungu kuwa ni watu tunaishi na kucheka nao wakiwa na amani kabisa.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa
 
Unajisahaulisha au hujui. Lakini ukweli ni kuwa, Nje ya Tanzania hakuna hayo madai yako. Hata huo umoja unaousema kati ya jamii hizo haupo. La maana ni kufikiria namna bora ya kujenga daraja ili kuzifanya jamii zilizopo sasa kujongeleana zaidi. Tusifungwe na historia.
Hakika
 
Haaa!! Unaona sasa jinga hilii...bakhressa c ni mwarabu wa oman mjomba! Yule sio mzenjii..ni mabak ya mabwana zenu waliowafanya kuwa watumwaa huko mwembe togwaaaa jomnaaa..ebu tuambie ww kama ngozi nyeusii unakwea minaz umewekeza nn zenji kwenu?? Usituambie habar za machotaraaa hapaa

Unaweza kunitajia mzanzibari mmoja Tu ambaye wazazi Wake walikuwa watumwa?
 
Makanisa kazi Yao hii

Tatizo anayetuuwa tunamwona Na kutesa ni Mtanganyika ameweka jeshi lake kila kipembe Na Hakuna maendeleo yoyote kwetu
Mwambie hayo Rais wa JMT ambaye pia ni mzenji mwenzio mkuu acha kupaparika basi!
 
Lissu , hajapigiwa risasi Na waarabu, Saanane , Mwangosi Na wengine waliookotwa Coco beach walishughulikiwa Na waarabu ?
Be specific brother! Kwahiyo nao ni wazanzibar?? Mbona unakimbia mada ya mleta uzi??
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Hivi Said Sayd tuliyemsoma kwenye historia alikuwa mjerumani au?
 
Inasikitisha sana..harafu kuna mazuzu huku yanawaabudu waarabu kama miungu watu..i wish ningekua....hiiii.

Kimsingi mwarabu hajawahi mpenda mwafrika ukitaka kujua hilo hata hao wavaa kobazi hawarusiwi kuoa binti wa kiarabu..labda awe na mawe ya kufa mtu..vinginevyo ataoa waarabu koko tu.

#MaendeleoHayanaChama

Jahil kafir ujingani [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Kwa hiyo unaamini kukitokea machafuko ya kutumia silaha kati ya waznz na watanganyika kina sheikh ponda watashiriki na kuwa mstari wa mbele kuwauwa wanznz. Fanaudhu bilahi mindhalika.

Hivi maalim sefu alikuwa anaamini hivyo?! Sheikh wa uamsho wanaamini hivyo, au ni wainguja ndio huamini hilo, au wapemba wanaamini hivyo, au wale waliosoma dini wanaamini hivyo, au wale wasiosoma dini wanaamini hivyo.... Au wapenzi wa kisonge ndio wanaoamini hivyo.

Unaweza kutaja makundi yanayoamini unavyoamini hivyo, makundi ambayo nawe umo?!??

Hadi sasa bado siamini kama maneno haya yanatoka kwa mznz.

Kama ni kweli nitajua kupitia watakao kuunga mkono.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Back
Top Bottom