Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Kweli Elimu yako ndogo sana au hukupata ukabahatika tu ya Ilimu dunia
huko Arabuni kuna ukoo wa Waafrika km huko Marekani?
umeshaambiwa waarabu walikuwa wakiwalawiti watumwa na kuwaua, au wanawaHASI ili kizazi kisiendelee.
wale wanawake walikuwa wanapelekwa Pemba na kuzalishwa. Vijana wa kiarabu wanakuja na kupewa kina mama wakishamaliza haja wanaondoka na kuwaachia mimba dada zetu, ndio hao sasa waarabukoko hwaruhusiwi kufika arabuni kudai ukoo zao , ila tu hapa watatafuta asili kama ni waYemen au Oman au Bahrain utatajiwa asili yenu na walikuwa na ofisi zao huko Temeke, km ni wa Mahra, wagunya wanajuana
Nimebahatika kufika omani,
Watu weusi kibaoooooo
Utafikiri upo kizimkazi
 
Nimebahatika kufika omani,
Watu weusi kibaoooooo
Utafikiri upo kizimkazi
Acha uongo nani kaona hata Balozi au Waziri mweusi hapo Oman
usiilinganishe na Marekani mpaka Rais katokea Kenya
hakuna wabaguzi kama waarabu, wanawafananisha waafrika km punda na ili wasizae na waarabu wanatumia msemo PUNDA HAPANDI MUSCAT bali ni FARASI tu (Tafsiri hiyo kwanzandipo nije nikupe nyingine)
Waarabu koko waliobaki huku kwetu nawajua wote kuanzia wale wa Kigoma, Tabora, Kondoa mpaka Bagamoyo hawaruhusiwi kwenda kwa wajomba wao sembuse kupewa ubalozi km huku Tanganiyika
Hakuna kizazi cha Utumwa kilichobaki kule Arabuni iwe Oman, Emirate au Yemen kusini au kask
 
Waarabu ni jamii ya wajinga zaidi duniani

Ni kweli jamii ya waarabu ni wajinga

jamii iliyostaarabika na wenye akili ni hii iliyokubali mwanaume kuolewa na mzungu kanisani


1645388700140.png
 
Kwa akili yako unadhani Biashara ya utumwa Duniani ilifanywa na waarabu pekee?
Wale watumwa black Americans kutoka West Africa kwenda America walipelekwa na waarabu?
Tena wazungu walivyowadharau waafrika mpaka walikuwa wakiwabadilisha surnames zao kuwa za kwao mpaka wamepoteza uasili na majina yao ya kiafrika. Unakuta mtu anaitwa Lebron James, Michael Jackson, Chris Curter, Mike Tyson.. etc ila ni Pure African..!
Hilo la jina linaweza kuwa kubwa kuliko la kuhasiwa eti?
 
Ni kwa sababu wengi waliokuja kuuwar watu kwa maelfu walikuwau wakijiita waislamu.
Walitokea Tanga, mkoa wa Pwani , Mtwara Na Lindi. Na jaza yao hawakupata chochote isipokuwa laana. Mikoa yote imekuwa masikini Na ukosefu wa usalama.
Na waliouwa woter mwisho wao ulikuwa mbaya . Karma ilifanyar kazir yake Na inaendelea kutesa
Bila shaka huamini kuwa sisi waislam wa tanganyika tunawaona waznz ni ndugu. Licha ya kwamba huenda hoja zako kuwa wengi wa walioshiriki mauwaji ya waznz walikuwa ni waislam.

Kama ni hivyo ndugu una msimamo mkali kupindukia. Nikushauri tu maalim, huwezi kubadili historia bali unaweza kuandika historia, na Huu ndio wajibu wetu wanamabadiliko.
Hivyo nakusihi kuwa sehemu ya kuandika historian mpya ili nawe ukumbukwe kwayo.

Ni kama tamthilia ya kibaguzi kati ya shia na Sunni huku kundi moja likisema Fulani kudhulumiwa uongozi. Kiasi kwamba utadhani kwa kuwa na msimamo huo watabadili historia. Au kwa kuwa na misimamo ya kibaguzi itatupeleka peponi.

Suali langu kwako je hakuna waznz walioshiriki ktk mauwaji hayo.

Kama walikuwapo nao unaweza kuwaweka kundi au jina gn la kibaguzi.
 
Bila shaka huamini kuwa sisi waislam wa tanganyika tunawaona waznz ni ndugu. Licha ya kwamba huenda hoja zako kuwa wengi wa walioshiriki mauwaji ya waznz walikuwa ni waislam.

Kama ni hivyo ndugu una msimamo mkali kupindukia. Nikushauri tu maalim, huwezi kubadili historia bali unaweza kuandika historia, na Huu ndio wajibu wetu wanamabadiliko.
Hivyo nakusihi kuwa sehemu ya kuandika historian mpya ili nawe ukumbukwe kwayo.

Ni kama tamthilia ya kibaguzi kati ya shia na Sunni huku kundi moja likisema Fulani kudhulumiwa uongozi. Kiasi kwamba utadhani kwa kuwa na msimamo huo watabadili historia. Au kwa kuwa na misimamo ya kibaguzi itatupeleka peponi.

Suali langu kwako je hakuna waznz walioshiriki ktk mauwaji hayo.

Kama walikuwapo nao unaweza kuwaweka kundi au jina gn la kibaguzi.
WAZANZIBARI WANA USEMI WAO WAANASEMA NI BORA MLEVI WA KIZANIBARI KULIKO SHEKHE WA KITANGANYIKA
 
WAZANZIBARI WANA USEMI WAO WAANASEMA NI BORA MLEVI WA KIZANIBARI KULIKO SHEKHE WA KITANGANYIKA
Kwa hiyo unaamini kukitokea machafuko ya kutumia silaha kati ya waznz na watanganyika kina sheikh ponda watashiriki na kuwa mstari wa mbele kuwauwa wanznz. Fanaudhu bilahi mindhalika.

Hivi maalim sefu alikuwa anaamini hivyo?! Sheikh wa uamsho wanaamini hivyo, au ni wainguja ndio huamini hilo, au wapemba wanaamini hivyo, au wale waliosoma dini wanaamini hivyo, au wale wasiosoma dini wanaamini hivyo.... Au wapenzi wa kisonge ndio wanaoamini hivyo.

Unaweza kutaja makundi yanayoamini unavyoamini hivyo, makundi ambayo nawe umo?!??

Hadi sasa bado siamini kama maneno haya yanatoka kwa mznz.

Kama ni kweli nitajua kupitia watakao kuunga mkono.
 
Kwa hiyo unaamini kukitokea machafuko ya kutumia silaha kati ya waznz na watanganyika kina sheikh ponda watashiriki na kuwa mstari wa mbele kuwauwa wanznz. Fanaudhu bilahi mindhalika.

Hivi maalim sefu alikuwa anaamini hivyo?! Sheikh wa uamsho wanaamini hivyo, au ni wainguja ndio huamini hilo, au wapemba wanaamini hivyo, au wale waliosoma dini wanaamini hivyo, au wale wasiosoma dini wanaamini hivyo.... Au wapenzi wa kisonge ndio wanaoamini hivyo.

Unaweza kutaja makundi yanayoamini unavyoamini hivyo, makundi ambayo nawe umo?!??

Hadi sasa bado siamini kama maneno haya yanatoka kwa mznz.

Kama ni kweli nitajua kupitia watakao kuunga mkono.
Mimi sipendi kudanganya ila ukitaka kuamini ivoo njoo upose zanzibar alaf jitambulishe kama asili yako ni tanganyika then njoo na majibu hapa
 
Mimi sipendi kudanganya ila ukitaka kuamini ivoo njoo upose zanzibar alaf jitambulishe kama asili yako ni tanganyika then njoo na majibu hapa
Nimeposa na kuoa mznz miaka 10 iliyopita. Tar 23 mwezi huu ndio rasmi natimiza miaka 10.

Mke na wakwe zangu nawaweka kama alama halisi ya mznz.

Nina maisha mazuri tukitembeleana familia zetu hadi vijijini kwetu kama huko mkiita mashamba.

Nimeolea jang'ombe, jirani na kituo cha elfu.

Sijui uko kundi gn miongoni mwa makundi niloyataja.

Kwani mi sitoshangaa sana. Kwani kwa siasa za znz najua watu hutengenezwa na kuwa walivyo
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
😁😁😁
 
Inasikitisha sana..harafu kuna mazuzu huku yanawaabudu waarabu kama miungu watu..i wish ningekua....hiiii.

Kimsingi mwarabu hajawahi mpenda mwafrika ukitaka kujua hilo hata hao wavaa kobazi hawarusiwi kuoa binti wa kiarabu..labda awe na mawe ya kufa mtu..vinginevyo ataoa waarabu koko tu.

#MaendeleoHayanaChama
Kuoa mswahili ni kazi sana. Sio kwamba walikuwa hawaoi, walikuwa wanaoa lakini waswahili wahabebeki.
 
Nimeposa na kuoa mznz miaka 10 iliyopita. Tar 23 mwezi huu ndio rasmi natimiza miaka 10.

Mke na wakwe zangu nawaweka kama alama halisi ya mznz.

Nina maisha mazuri tukitembeleana familia zetu hadi vijijini kwetu kama huko mkiita mashamba.

Nimeolea jang'ombe, jirani na kituo cha elfu.

Sijui uko kundi gn miongoni mwa makundi niloyataja.

Kwani mi sitoshangaa sana. Kwani kwa siasa za znz najua watu hutengenezwa na kuwa walivyo
Hahahha niliyajua ayo hao watu wa jang’ombe asili yao huko huko bara 😂😂 na wabara wengi hujitapa wameoa wazenji kumbe wameoa wasukuma wenziwao.
 
Nimeposa na kuoa mznz miaka 10 iliyopita. Tar 23 mwezi huu ndio rasmi natimiza miaka 10.

Mke na wakwe zangu nawaweka kama alama halisi ya mznz.

Nina maisha mazuri tukitembeleana familia zetu hadi vijijini kwetu kama huko mkiita mashamba.

Nimeolea jang'ombe, jirani na kituo cha elfu.

Sijui uko kundi gn miongoni mwa makundi niloyataja.

Kwani mi sitoshangaa sana. Kwani kwa siasa za znz najua watu hutengenezwa na kuwa walivyo
Kaowe Mwera, Pemba, fuoni,, hapo ntajua kama ww ni mtanganyika kweli lkn unaowa watanganyika wenzio waliokuja na mbio za mwenge halaf unajitapa umeoa mzenji😂
 
Bora mzungu mara elfu kuliko mwarabu. Mzungu kuna nyakati anakuwa na utu, ila mwarabu ni roho ya kutu kila wakati.

Nahisi wote wamejaliwa roho mbaya na kiburi
 
Kaowe Mwera, Pemba, fuoni,, hapo

Bado siamini. Hadi nithibitishe mwenyewe.

Wapemba kina maalim wawe na uoni huo au was fuoni.... Usiwapake matope. Bora ujitambulishe we we ni ktk kundi gn kati ya makundi tajwa hapo mwanzo.

Na ktk sherehe za mwaka huu ACT wameshiriki na kusherehekea mapinduzi. Sijui nao mtawaita kwa jina gn la kibaguzi.

Na weye ni mwenye kuandika historian mpya au ni mwenye kusimulia historia iliyopita ambayo hutoweza kuibadili
 
Kwa akili yako unadhani Biashara ya utumwa Duniani ilifanywa na waarabu pekee?
Wale watumwa black Americans kutoka West Africa kwenda America walipelekwa na waarabu?
Tena wazungu walivyowadharau waafrika mpaka walikuwa wakiwabadilisha surnames zao kuwa za kwao mpaka wamepoteza uasili na majina yao ya kiafrika. Unakuta mtu anaitwa Lebron James, Michael Jackson, Chris Curter, Mike Tyson.. etc ila ni Pure African..!
So we have black Americans? Where are black Arabs?
 
Dah!Mwishoni hapa mleta uzi kafunua rangi yake halisi,kumbe porojo zote ni kutetea maslahi ya dini?Hakika ni umasikini mkubwa wa fikra.Kubagua ndg zako kwa kigezo cha dini nao ni ujahiri wa aibu.Jifunzeni historia yenu kwa yakini na makini,hizi mnazofundishwa na dini hizi hamshtuki tu kwa nini wao wanatajwa kama raia bora kuliko nyie?Kujua elmu ya bwana wako hakuondoi kongwa la utumwa wako bali njia pekee ni kujitambua,kujithamini,kuchukua jukumu la kujisimamia ili huo utumwa uishe.La sivyo nguruwe hata umlishe kwenye sahani ya dhahabu atabaki kuwa nguruwe tu
Mtumwa ni mtumwa tu, hao wanawakana baba zao kutoka Tabora kisa wao mama zao walibakwa na waarabu wakazaliwa wao.

Kweli mkataa kwao ni mtumwa na huu utumwa ndio unadhihirika hapa.
 
So we have black Americans? Where are black Arabs?
Black Arabs wapo makunduchi na dole pale 😂😂😂 ndio hawa unaona wanademka wanataka waarabu waje tena kuwananihii ili wajione wameshakuwa waoman,😂😂 mkataa kwao mtumwa.

Wanadai Zanzibar ilikuwa na wenyeji, sasa wenyeji walikuwa waarabu? Mbona mwarabu alipokuja kuwachukua watumwa akaita bara la watu weusi? Au hawajui maana ya Zanzibar? Wanajisahaulisha sio?
 
Back
Top Bottom