Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Umelewa mataputapu
 
Black Arabs wapo makunduchi na dole pale 😂😂😂 ndio hawa unaona wanademka wanataka waarabu wake yena kuwananihii ili wajione waneshakuwa waoman,😂😂 mkataa kwao mtumwa.

Wanadai Zanzibar ilikuwa na wenyeji, sasa wenyeji walikuwa waarabu? Mbona mwarabu alipokuja kuwachukua watumwa akaita bara la watu weusi? Au hawajui maana ya Zanzibar? Wanajisahaulisha sio?
Waarabu walianza kuita Zanzibar lini? Na watu weusi walivukaje bahari wenyewe na kufika Zanzibar?
 
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana mkakamavu...

kisha wanapelekwa mpaka sehemu ya kutunzia watumwa (ipo mpaka leo) ambako wanafungiwa kwa siku 3 bila chakula wala maji!!!,(kumbuka minyororo mizito bado mmefungiwa nayo mikononi, miguuni na shingoni) kisha ndio mnatolewa ambao atakutwa amekufa anatupwa na waliobaki wanaenda kuuzwa.

Ikitokea katika kundi la watumwa wa kike wanaouzwa tajiri akitaka “kuonja" alikuwa anachagua mmoja na kumfanyia hiko kitendo hapo hapo hadharani. (kama ambavyo mnafahamu wanaume tulivyo , mwenzako akifanya kitu nawe unataka kufanya, mfano katika kundi mmojà akisogea pembeni na kufungua zipu ili achimbe dawa utakuta wawili watatu wanaungana naye kufanya hivyo, hata walipokuwa wanatwaa mtumwa mmoja wa kike na kumfanyia ushenzi, basi wengine nao waliungana kufanya ufedhuli huo kwa wengine kwenye kundi hilo)

Watumwa waliteswa sana, sana , sana!!! na hao waarabu ambao leo hii watoto wao tunaishi nao kwa amani.

Cha kusikitisha zaidi ni kitendo cha kuwahasi watumwa kiume waliosafirishwa kwenda Arabuni( walienda maelfu lakini mpaka leo hii jiulize kwanini hakuna masalia ya weusi kama sio ukatili wa waarabu ambao waliwahasi bila taratibu za kitabibu, yaani wanakata hizo gololi kisha unapakwa chumvi nyingi, na kutokana na kuvuja damu nyingi wengi walikufa, wachache waliobahatika kupona waliuzwa arabuni kwa hela nyingi, walivyoona wakubwa wanakufa sana basi wakawa wanawahasi watoto).

Bado ambao walikataa utumwa na kuleta uasi njianwaligeuzwa na kuf**lwa mbele ya watoto na wanawake, ili kuwafanya wajisikie majuto, na hata waoivyokuwa wanasafiri na majahazi ilikuwa ni desturi ya waarabu kuwachukua watumwa wa kiume na kuwageuza ili kukidhi haja zao.

hivi vyote vilifanyika na historia ipo fika Zanzibar au hata Bagamoyo soko la watumwa uone historia picha na vithibitisho vingine kuhusu ufedhuli huo.waliofanyiwa mababu zetu (leo hii tunacheka nao hakika mababu zetu wakifufuka watasikitika sana).

Dini hizi hizi tulizoletewa tunafundishwa kusamehe waliotukosea, ilhali waliotuletea hizo dini walitufanyia ukatili huku tukishuhudia nasi tunachekelea kama mazombi. Tuishi kwa amani, tupendane na tusonge mbele tukitaka kuleta habari za historia na tuzibebe chuki za mababu zetu basi tutachukiana daima na tutauana.

Japo Muingereza alikomesha utumwa wa waarabu lakini naye alitesa manamba mashambani, Mbelgiji aliua watu wengi kongo,na mkaburu aliangamiza vizazi Afrika kusini, Huu ushenzi tuliofanyiwa waafrika ni mkubwa lakini tumesamehe na tuishi kwa amani bila kubaguana ili tusisahau na tuwaeleze vizazi vijavyo namna ambavyo mababu zao walipitia mateso ya wadhalimu waliokuja ili kutimiza haja za nafsi zao.
Kaka usisahau, ukinyosha kidole cha shahada kwa mtu mwingine, vidole 3 vinaelekea kwako mwenyewe!
Waarabu waliofanya biashara ya watumwa (kitu kibaya!) kwa jumla hawakuwinda watumwa (najua kuna mifano ya kinyume, lakini haihusu idadi kubwa), walinunua.
Nani aliuza? Siyo machifu wa bara, "mashujaa" kama Mirambo (aliyekamata watumwa kati ya hao ambao hakuchinja na kuwaweka katika jeshi lake), hata watu binafsi walioenda kushika mabinti waliotembea kukusanya kuni au kuchukua maji mtoni, hadi watu binafi walioamua kumwuza jirani aliyekuwa na madeni? Nenda Bagamoyo , tembelea makumbusho, soma habari za watumwa zilizosimulia maisha yao na jinsi walivyokamatwa na kutendewa.

Tena ni dhahiri si Waarabu wote. Kushtaki kabila au taifa au kundi la watu kwa jumla kwa makosa ya wengine kati yake ni ujinga.
 
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana mkakamavu...

kisha wanapelekwa mpaka sehemu ya kutunzia watumwa (ipo mpaka leo) ambako wanafungiwa kwa siku 3 bila chakula wala maji!!!,(kumbuka minyororo mizito bado mmefungiwa nayo mikononi, miguuni na shingoni) kisha ndio mnatolewa ambao atakutwa amekufa anatupwa na waliobaki wanaenda kuuzwa.

Ikitokea katika kundi la watumwa wa kike wanaouzwa tajiri akitaka “kuonja" alikuwa anachagua mmoja na kumfanyia hiko kitendo hapo hapo hadharani. (kama ambavyo mnafahamu wanaume tulivyo , mwenzako akifanya kitu nawe unataka kufanya, mfano katika kundi mmojà akisogea pembeni na kufungua zipu ili achimbe dawa utakuta wawili watatu wanaungana naye kufanya hivyo, hata walipokuwa wanatwaa mtumwa mmoja wa kike na kumfanyia ushenzi, basi wengine nao waliungana kufanya ufedhuli huo kwa wengine kwenye kundi hilo)

Watumwa waliteswa sana, sana , sana!!! na hao waarabu ambao leo hii watoto wao tunaishi nao kwa amani.

Cha kusikitisha zaidi ni kitendo cha kuwahasi watumwa kiume waliosafirishwa kwenda Arabuni( walienda maelfu lakini mpaka leo hii jiulize kwanini hakuna masalia ya weusi kama sio ukatili wa waarabu ambao waliwahasi bila taratibu za kitabibu, yaani wanakata hizo gololi kisha unapakwa chumvi nyingi, na kutokana na kuvuja damu nyingi wengi walikufa, wachache waliobahatika kupona waliuzwa arabuni kwa hela nyingi, walivyoona wakubwa wanakufa sana basi wakawa wanawahasi watoto).

Bado ambao walikataa utumwa na kuleta uasi njianwaligeuzwa na kuf**lwa mbele ya watoto na wanawake, ili kuwafanya wajisikie majuto, na hata waoivyokuwa wanasafiri na majahazi ilikuwa ni desturi ya waarabu kuwachukua watumwa wa kiume na kuwageuza ili kukidhi haja zao.

hivi vyote vilifanyika na historia ipo fika Zanzibar au hata Bagamoyo soko la watumwa uone historia picha na vithibitisho vingine kuhusu ufedhuli huo.waliofanyiwa mababu zetu (leo hii tunacheka nao hakika mababu zetu wakifufuka watasikitika sana).

Dini hizi hizi tulizoletewa tunafundishwa kusamehe waliotukosea, ilhali waliotuletea hizo dini walitufanyia ukatili huku tukishuhudia nasi tunachekelea kama mazombi. Tuishi kwa amani, tupendane na tusonge mbele tukitaka kuleta habari za historia na tuzibebe chuki za mababu zetu basi tutachukiana daima na tutauana.

Japo Muingereza alikomesha utumwa wa waarabu lakini naye alitesa manamba mashambani, Mbelgiji aliua watu wengi kongo,na mkaburu aliangamiza vizazi Afrika kusini, Huu ushenzi tuliofanyiwa waafrika ni mkubwa lakini tumesamehe na tuishi kwa amani bila kubaguana ili tusisahau na tuwaeleze vizazi vijavyo namna ambavyo mababu zao walipitia mateso ya wadhalimu waliokuja ili kutimiza haja za nafsi zao.
Ningeshauri Zanzibar irudishe somo la HISTORIA kwenye skuli zake
 
Ni kweli jamii

Hv kwanza ebu tuambie ww ni mwarabu au mkwea minazi?? Mana usikute ww n mkwea minazi unawatetea waarabu! Haha..shida ya mtu mweusi ni kichwani tu!! Tena nyie na hiyo dini yenu..woii..yaan ni sifuri kabisaa kichwaniii..na vile hampend kwenda shule..mkienda mnafundshwaa karetii..jinga kabisaaa
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
a pure product of Maruhubi
 
Bila shaka huamini kuwa sisi waislam wa tanganyika tunawaona waznz ni ndugu. Licha ya kwamba huenda hoja zako kuwa wengi wa walioshiriki mauwaji ya waznz walikuwa ni waislam.

Kama ni hivyo ndugu una msimamo mkali kupindukia. Nikushauri tu maalim, huwezi kubadili historia bali unaweza kuandika historia, na Huu ndio wajibu wetu wanamabadiliko.
Hivyo nakusihi kuwa sehemu ya kuandika historian mpya ili nawe ukumbukwe kwayo.

Ni kama tamthilia ya kibaguzi kati ya shia na Sunni huku kundi moja likisema Fulani kudhulumiwa uongozi. Kiasi kwamba utadhani kwa kuwa na msimamo huo watabadili historia. Au kwa kuwa na misimamo ya kibaguzi itatupeleka peponi.

Suali langu kwako je hakuna waznz walioshiriki ktk mauwaji hayo.

Kama walikuwapo nao unaweza kuwaweka kundi au jina gn la kibaguzi.


Ni kweli maneno yako siwezi kubadili historia lakini la kusikitisha historia tunaiona inajirudia kila baada ya miaka mitano . Tunawaona akina Mahita , Kikwete, Mwinyi nk.wanavyotufanyia . Sio wote lakini wengi wako hivyo . Wako wachache sana akina Ponda vitendo vyao tunaviona vya kupigania haki , na hao walipigwa risasi na kuwekwa jela na hao viongozi wa Kiislamu. Hayo mapenzi ni povu la mdomo na hapa kwenye kioo. ACTIONS SPEAK LOUDER THAN WORDS
 
Laiti ingekuwa tunapima marinda...kuna bara (silitaji) ambalo watu wake (si wanaume si wanawake) marinda yao yangekutwa yako at easy yaani mguu legeza.
Hayo ni mapenzi ya mzungu kwa muafrika
 
Hv kwanza ebu tuambie ww ni mwarabu au mkwea minazi?? Mana usikute ww n mkwea minazi unawatetea waarabu! Haha..shida ya mtu mweusi ni kichwani tu!! Tena nyie na hiyo dini yenu..woii..yaan ni sifuri kabisaa kichwaniii..na vile hampend kwenda shule..mkienda mnafundshwaa karetii..jinga kabisaaa

Nyinyi mliokwenda shule za jumapili sio sifuri mkienda ndio mnaolewa na wachungaji wazungu na kukwea minazi yao😛😛😛🤙🤙


1645077585915.jpeg
 
Muungano uvunjwe
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Kama mnacho sema ni kweli basi tumieni hii fulsa ya samia ili kuvunja muungano kabla ya 2025,ili tuone kama amjageuka somalia ,na kuanzisha misimamo mikali ya kidini na kuwa nchi ya kijeadi very soon ......ila kama mta nyamaza kimya kipindi hichi cha mama samia na kushindwa kukitumia kujipatia uhuru basi msije mkalia machozi ya damu kwa wabara maana tumesha wagudua kuwa mnatabia za wakenya za kutaka kuihalibu bara hata mwenendo wa huyu raisi samia mzenji unaonyesha wazi kuwa anafanya juu chini kuihalibu bara maana mzenji na mambo ya machifu wa bara wapi na wapi kwanini asianzishe huo upumbavu wa kichifu zenji ,kwanini ana acha kufanya na kuanzisha mambo ya muhimu kwa bara yeye ana angaika na uchifu wakati yeye siyo hata mbara .
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Mtumwa ni mtumwa tu hana jina mbadala
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Na hio miaka karibu 400 muarabu akimtumikisha mwafrika kama mtumwa sio chochote? Naona hapo umeongelea tu waarabu ukiwaita wakombizi sijui una maanisha nini na pia ukasifu waarabu kuchanganya damu na wenyeji. Kwa hiyo kwako waarabu na machotara ndio zanzibar inawahusu na hao waafrika ni watanganyika.😂
Kwa maelezo yako hao waarabu walikuja kumkomboa nani znz maana kama wao na machotara waliyowaasisi wao ndio wenye haki zanzibar ina maana walikuja kumkomboa yeyeto au kuja kumtia utumwani mtanganyika? Hao waafrika/watanganyika walio wengi kwa hiyo ni kitu gani kama kwa fikra zako ni watumwa tu.
Mkiandikaga mtumie akili sio kingine. Pia mjali hisia za watu wengine.
Tunavyoona sisi wawekezaji wa kiarabu zanzibar wanavutiwa na sera nzuri, na pia historia na utamaduni unaweka maelewano na kuaminiana kwa urahisi.
 
Niliwahi kwenda stone town nikaona pale watumwa walipokuwa wakihifadhiwa.

Ama kweli waarabu ni watu wema sana.

Waje tu kuwachukua ndugu zao waende nao Oman.
Waarabu wachache kuteka kijiji kizima na kuwachakua wanaume na wanawake utumwani inazua maswali mengi kuliko majibu. Kwanini wanakijiji hawakujihami na kuwafyeka wavamizi?Ukweli wa mambo machifu wa Tanganyika walivuta chao na kuwauza utumwani wanakijiji.
 
Back
Top Bottom