Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Bora mzungu aliwachukua kwenda kuzalisha mali..mwarabu yeye aliamua kuwahasi kabisa..ndio mana huwezi kuta waafrika uarabuni kama ilivyo ulaya na marekani..waarabu ni savages.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwahiyo wewe faida za muungano unazipima.kwa uislamu...kama ndio hivyo bora hata msipate mamlaka kamili..muendelee kuwa koloni la Tanganyika maisha yenu yote..

#MaendeleoHayanaChama
 
Bora mzungu aliwachukua kwenda kuzalisha mali..mwarabu yeye aliamua kuwahasi kabisa..ndio mana huwezi kuta waafrika uarabuni kama ilivyo ulaya na marekani..waarabu ni savages.

#MaendeleoHayanaChama

Aliyekudanganya uarabuni hakuna masalia wa kiafrika ni nani? Umewahi kufika Iraq?
 
Sasa watanganyika wawekeze Zanzibari nyie wenyewe Zanzibari mkae kula urojo kweli. Yaani umeandika kabisa unamaliza MB unamsifia mwarabu anavyoendeleza ZnZ na Mtanganyika anavyoshindwa kuwekeza ZnZ bila kusema huyo mzanzibari mwenyewe anakaa upande upi
 
Mbona umepoint iraq..kumbuka hiyo ni mesapotamia..tuongelee saudia na oman.

#MaendeleoHayanaChama

Hahahah, unaona ulivyo mweupe?
Kwa taarifa yako soko kuu la watumwa middle east kipindi hicho ilikuwa ni Baghdad, hiyo ndio ilikuwa center ya biashara zote kipindi hicho Uarabani.
Hizo Dubai, Qatar ni sehemu zilizoibuka miaka michache tu iliyopita.
Wale watumwa kutoka Zanzibar ilikuwa kituo cha kwanza ni Muscat, Oman then moja kwa moja Baghdad kupitia Basra.
 
Mkuu Just Distinctions nakushauri hii comment yako ipange vzr uianzishie uzi unaojitegemea na kuipa nyama zaidi. Nimesikitishwa ingawa pia nimejifunza kitu kikubwa kwenye hii historia fupi. Inasikitisha sn. Kwa kweli kwa madhira hayo, mababu zetu leo wakifufuka wanaweza kuona tumewasaliti sn kufanya waarabu na wazungu kuwa ni watu tunaishi na kucheka nao wakiwa na amani kabisa.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Hehehe waarabu 😂 jamaa mnawahusudu kweli mtu mweusi ni mweusi tu Hadi nchi ikaitwa Zanzibar nchi ya watu weusi Ila bado mnajiita waarabi dah 😃
natamani hapa ungewaeleza yule mtu mweusi aliyeuwawa na waarabu! ukweli wanzazibar wengi wanasumbuliwa na maumivu ya ndani; kwa lugha ngumu ni kwamba wenye asili ya nchi hiyo waliuwawa na waliobaki hapo ni watumwa na watoto wa watumwa waliozaliwa na waarabu huo ndio ukweli na hakuna jinsi wazanzibar ni watu wa kutawaliwa siku zote! vinginevyo tukubali mapinduzi Daima! Mwenye nchi aliuwawa na mwarabu aliyeua aliuwawa na sintashangaa siku zijazo watawala wa zanzibar wakauana tena kwa kuwa mapinduzi daima.
 
Kwani kabla ya kuja mwarabu nyie wazanzibar mlitokea wap?
 

Kwani udugu ni rangi ya ngozi?
 

Unajisahaulisha au hujui. Lakini ukweli ni kuwa, Nje ya Tanzania hakuna hayo madai yako. Hata huo umoja unaousema kati ya jamii hizo haupo. La maana ni kufikiria namna bora ya kujenga daraja ili kuzifanya jamii zilizopo sasa kujongeleana zaidi. Tusifungwe na historia.
 
Kwanza hawataki mtanganyika amiliki ardhi..harafu wanapondea mtanganyika..kwanza uchumi wa bluu wao unategemea mgao toka Tanganyika..hata kulipa haviwezi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bora mzungu aliwachukua kwenda kuzalisha mali..mwarabu yeye aliamua kuwahasi kabisa..ndio mana huwezi kuta waafrika uarabuni kama ilivyo ulaya na marekani..waarabu ni savages.

#MaendeleoHayanaChama
Hadithi za makanisani hizi
 
Kwa uvivu wenu wa kutokufanya kazi Yani nyie shukuruni sana Tanganyika mgekua Kama komoro tu mnashindia boflo
 
waTanganyika kweli ni ndugu kwani walituuwa kwa maalfu 1964 Na wanavyotuuwa kila uchaguzi huku wakitutia vilema Na kutubambikia kesi , Hivi mwarabu aliyafanya haya ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…