Elimu hata mleta mada anayo. Kibaya zaidi Ni Elimu ya dini.Elimu ni kitu kizuri sana, ukiwa nacho huwezi kuwa kama huyu mleta uzi
Wazanzibar tatizo lenu ni kuwa mna ubinafsi. Mngeamua wote kuwa hamtaki muungano na bara au muungano uwe wa namna nyingine hakuna angeweza kuwazuia. Hebu ona kama sasa. Mpaka rais wa Jamhuri ni mzanzibar. Mnashindwa nini kutekeleza?Yule Waziri aliekua akihutubia kanisani chuki zake za wazi juu ya wazanzibari na waarabu Alikua Mzanzibari mweusi au?
Jambo gani la kheri alifanya Mtanganyika toka alipoivamia Zanzibar? Labda kuua watu , kunajisi wanawake, kuiba, Na kubambikis watu kesi Na kutia vibokoElimu hata mleta mada anayo. Kibaya zaidi Ni Elimu ya dini.
Happ anachotafuta Ni kuwasafisha WAARABU ionekane walikuwa watu wema sana
Jambo lipi la kheri kalifanya Mwarabu baada ya kutawala Zanzibar kwa miaka 200?Jambo gani la kheri alifanya Mtanganyika toka alipoivamia Zanzibar? Labda kuua watu , kunajisi wanawake, kuiba, Na kubambikis watu kesi Na kutia viboko
Jambo lipi la kheri kalifanya Mwarabu baada ya kutawala Zanzibar kwa miaka 200?
Vipi kuhusu biashara ya utumwa?...ilikuwa ni sehemu ya huo ukombozi?Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.
Unaharibu Sasa.Muungano huu una faida yoyote kwa uislamu wetu ? Jibu likiwa hakuna basi una sababu za msingi za kuhoji uhalali na uwepo wa muungano!
Soma mleta mada kaandika nini, wacha jaziba
Kama zako za kwenye madufu.
#MaendeleoHayanaChama
Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama
Hakuna dini ya mwarabu ...watu wa mwanzo kumpinga mtume walikuwa n waarabu .... Pili ...uislamu haujachukua chochote ktk culture ya waarabu ila lugha ....uislamu na uarabu n mbingu na ardhi ...uislamu ulikuja kufuta fikra za kishenz za utaifa ..na kuwataka watu waungane juu ya hakuna apasae...www.jamiiforums.com
Tatizo mkiona Mwarabu mnadhani ndio MTUME.
Mnafumba macho, hamtaki kabisa kukubalika huu ukweli.
Rais wa Tanzania ni Mzanzibari, ingekuwa unachosema ni ukweli asingevumilia hili.Tatizo anayetuuwa tunamwona Na kutesa ni Mtanganyika ameweka jeshi lake kila kipembe Na Hakuna maendeleo yoyote kwetu
Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama
Hakuna dini ya mwarabu ...watu wa mwanzo kumpinga mtume walikuwa n waarabu .... Pili ...uislamu haujachukua chochote ktk culture ya waarabu ila lugha ....uislamu na uarabu n mbingu na ardhi ...uislamu ulikuja kufuta fikra za kishenz za utaifa ..na kuwataka watu waungane juu ya hakuna apasae...www.jamiiforums.com
Tatizo mkiona Mwarabu mnadhani ndio MTUME.
Mnafumba macho, hamtaki kabisa kukubalika huu ukweli.
Rais wa Tanzania ni Mzanzibari, ingekuwa unachosema ni ukweli asingevumilia hili.
Vipi kuhusu biashara ya utumwa?...ilikuwa ni sehemu ya huo ukombozi?
Sasa mnamwamini nani?...au chama cha Act?Si alikuwa Na muuwaji kwenye system ileile ya Mtanganyika. Hao ndio watapia mlo. Vibaraka toka Day one
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.
Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.
Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.
Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.
Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.
Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!
Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Sasa mnamwamini nani?...au chama cha Act?
Kwani mnatawaliwa? Au mpo kifungoni?Tunamwamini Mungu Na pia wananchi hapo wamezidiwa Na jeshi Kuna siku tutakuwa free