Ukweni hawanitaki, wanasema nimempa dawa kijana wao. Nifanye nini?

Legeza dawa wenzie wakipewa wanauliza najinsi ya kulegeza

Punguza kidogo
 
hivi siku izi kuna kuchaguliana mchumba?
 
Huyo jamaa yako ndio mwenye matatizo. Yeye kama mwanaume anatakiwa awe na msimamo na anachokitaka. Hayo mambo ya mwanao ana mwanamke gani sio juu yao, hawakutakiwa hata kuongea namna hiyo juu yako, hiyo familia ni ya kihuni. Maamuzi ni yako.
 
Imagine unachaguliwa binti wa kumgeuza kitandani? Huo ni uboya high quality. Huyo jamaa hafai kuwa baba wala kiongozi wa familia.
 
jikabidhi kwa Mungu, omba juu ya tatizo Hilo Utapata majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…