Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unanielewa sana 🤝Muda wa kukamilisha taratibu ili waweze kuishi kindoa.
Legeza dawa wenzie wakipewa wanauliza najinsi ya kulegezaHabari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Kuna mambo hayahitaji akili kubwaunanielewa sana 🤝
Haswaa unalegeza Ubongo tu 😅😅Kuna mambo hayahitaji akili kubwa
Sasa kwanini unajihusisha Moja kwa Moja na familia yake kama mke ndo maana mama mkwe anakuletea dharauKila mtu Anaishi kwake...
Kama unatype kwenye microsoft wediHaswaa unalegeza Ubongo tu 😅😅
hivi siku izi kuna kuchaguliana mchumba?Kama kwao ni wachawi achana na hiyo familia, ukizidi kung'ang'ania watakumaliza ww kwanza au uzao wako. Hao wazazi kuna kitu walitarajia kwa kijana wao labda kuoa binti kabila moja na wao au binti walisha muandaa, kwani ww ni kabila moja na mchumba wako?
Imagine unachaguliwa binti wa kumgeuza kitandani? Huo ni uboya high quality. Huyo jamaa hafai kuwa baba wala kiongozi wa familia.Kama kwao ni wachawi achana na hiyo familia, ukizidi kung'ang'ania watakumaliza ww kwanza au uzao wako. Hao wazazi kuna kitu walitarajia kwa kijana wao labda kuoa binti kabila moja na wao au binti walisha muandaa, kwani ww ni kabila moja na mchumba wako?
Hizo baraka naziomba nipatie mie binti mrembo[emoji3059][emoji3059][emoji3059]hapana mimi sijakomaa nikubalike ni mwanaume mwenyewe anatamka kua hayupo tayari kuniacha na hawezi chaguliwa mke wa kuoa kwakua amefanya maendeleo mengi sana nikiwa nae na nimefanyika baraka sana kwake
jikabidhi kwa Mungu, omba juu ya tatizo Hilo Utapata majibu.Habari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.