SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Unataka umlishe pizza mbeba nguzo za Tanesko ??
 
Mtoa mada ugali, wali, chapati zote ni chakula cha aina moja hebu chukua mda ujisomee kidogo kabla ya kuanzisha uzi
 
Nyie mnakosea sana, kinacholeta shida kwa mswahili sio kua ugali bali ni intake ndogo ya vyakula vya makundi vingine.

Ingetakiwa kwamba mtu ale ugali ukubwa wa ngumi yake na mboga iwe nyama nyingi au samaki mkubwa sana (protein).

Sasa mswahili anabugia li ugali likubwa kama kisado na mboga yenyewe ni maharage ya kuchemsha unategemea nini
 
Nbona mnatuchanganya nyie Ze Comedy, Kuna yule Demu wako wa Stand up comedy sijui ni mchungaji yule anasema

"Sipendi mwanaume anayekula wali"
 
Unaukosea heshima sana #UGALI kumbuka ugali umekukuza ndugu mwandish licha ya hivo ugal umekupa protin za kuzidi, yaa ugali nikitu ambacho dah sijui nisemeje nakumbuka kipind flan ambapo wewe, see more....
 
Sasa anaedawa kuwa mwana wa Mungu,
kaingiaje tena kwenye 'Inshu' ya NGUNA??
 
Unaukosea heshima sana #UGALI kumbuka ugali umekukuza ndugu mwandish licha ya hivo ugal umekupa protin za kuzidi, yaa ugali nikitu ambacho dah sijui nisemeje nakumbuka kipind flan ambapo wewe, see more....
Unapaswa kushtakiwa kisha uhukumiwe adhabu ya kufanana na atakayopewa 'PIDIDI'.
Toka lini Ugali ukawa na 'Protini' au hujui maana ya protini?

Hiyo ni Elimu ya Sayansikimu ya Darasa la Tatu ujue.
 
Achana nao,na wasitupangie
 
Hili nalo neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…