SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
We
Bila shaka utakuwa unatokea mkoa wa mara maana watu wa mara na ugali utadhani umewekewa sukari
 
We
Bila shaka utakuwa unatokea mkoa wa mara maana watu wa mara na ugali utadhani umewekewa sukari
 
Reactions: EEX
Hata ukienda kwenye vyuo vya wazungu huko ulaya na america wanaikimbiza kitaaluma ni waafrika
 
Nilishagundua hata wanyama wengi hawahufagilii kabisa ugali,ila kuna wakati wanakula tu bas kupoza njaa

Kuku,mbwa,nyau na nguruwe pamoja na kuwa huyu bwana hakosagi apetitte na anakula chochote lakin ugali huwa haupend kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: EEX
ndugu zangu tuwe na adabu katika mambo haya riziki sote humu tunajua ugali umetulea na kutukuza tulio wengi lakini baadhi wakipata hela wanasahau walikotoka kisa amepata uwezo wa kula anachotaka tusisahau pia watanzania wengi tunakula tulichojaaliwa kupata na sio tunacho kitamani isipokuwa wachache tu..la msingi shibe inapatikana sote tunakula ili tuishi maana shibe kuwa ni ile ile haina tofauti yoyote baina ya watu bila kujali umekula nini kwani hata uende kula lunch Dubai na mm ninaekula ugali bado wote tutaenda chooni na makimba yatafanana sasa tumezidiana nini hapo.! tuacheni dharau za kijinga kwa vyakula vilivyotukuza na kutulea kisa tumepata viji pesa tena usikute anayekula ugali ana afya nzuri na imara kuliko ww unayekula vinono vitamu tuweni na akiba ya maneno kwani kuna maisha baada ya leo unachokikashifu leo unaweza kihitaji siku za usoni kikunusuru kwenye njaa na usikipate kisa kashfa zako za leo..kama umepanda level ya kuchagua kula unachopenda na kukitamani mshukuru mungu ila wenzio mfumo umewabana unawachagulia wale nini kulingana na hali zao kiuchumi..hayo maneno ooh ugali chakula cha ajabu,ugali unadumaza akili..acheni dunia inazunguka hii tena wengine wana bahati babu na bibi zao kwa wazazi wapo hai ni ugali huu huu ndio umewakuza ila kijana umeshika pesa leo ndio full dharau kwa kilichokusitiri miaka kibao tuwe na shukran.
 
Ukipika ugali wa ngano nae unadumaza akili?
 
mbona mahindi ya kuchemsha na kuchoma tunakula bila mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…