SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kumekuwepo na madai kuwa ulaji wa ugali hudumaza akili. Madai haya yana ukweli kiasi gani?

02692B18-05FE-4851-857F-7A5DA6E174CD.jpeg
 
Tunachokijua
Ugali ni chakula kinachotumika sana Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kwa mujibu wa utafiti wa Onu Okpa et al (2019), “Sub-Saharan African Maize-Based Foods - Processing Practices, Challenges and Opportunities” mahindi huchangia 30% ya nishati za vyakula wanavyotumia watu wa ukanda huu kila siku.

Kwa mujibu wa utafiti huu, kila mtu anayepatikana Kusini mwa Jangwa la Sahara hutumia wastani wa kati ya gramu 52-450 za mahindi kwa siku. Ni chanzo kikuu cha ugali unaotumika kila siku kwenye nchi hizi. Kwa Tanzania, 64% ya wananchi wake hula chakula hiki walau mara 5-7 kwa wiki.

Takwimu hizi zinaonesha kuwa ugali ni chakula kinachotumika sana, pengine kuliko aina nyingine za vyakula. Baadhi ya watu huutengeneza kwa kutumia unga wa mhogo, mtama, ulezi pamoja na aina zingine za nafaka.

Bila kujali tofauti ndogo za mgawanyiko wa virutubisho, nafaka zote husifika kwa kuwa na kiasi kikubwa cha nishati na wanga, pia kiasi kidogo cha madini na vitamini muhimu kwa afya.

Kuhusishwa na udumavu wa akili
Kitaalamu, udumavu wa akili husababishwa mambo mengi ikiwemo baadhi ya changamoto za kijenetiki mfano Down’s syndrome, kukosa hewa ya kutosha wakati wa kuzaliwa, maambukizi makali ya homa ya uti wa mgongo, utapiamlo, matumizi ya baadhi ya madawa na pombe wakati wa ujauzito pamoja na sababu zingine siziso wazi sana.

Kwa kurejea mgawanyiko wa virutubusho vinavyopatikana kwenye nafaka zinazotumika kutengenezea ugali, hakuna uhusiano wa moja kwa moja unaoweza kutajwa, au pia kuhusishwa na kusababisha udumavu wa akili kwa watu. Virutubisho na madini yake havina athari hasi kwenye afya ya ubongo.

Pia, JamiiForums imezungumza na wataalamu wa lishe ambao wamethibitisha kuwa chakula hiki ni salama, hakiwezi kusababisha madhara tajwa.

Hivyo, JamiiForums imebaini kuwa madai haya hayana ukweli uliojengwa kwa hoja za kisayansi. Ni uzushi usio na uthibitisho wa tafiti au takwimu.
Sasa kuna watu hadi kwenye events wanaagiza ugali huko harusini au kwenye sherehe 🤣
 
View attachment 3114645

ugali umetulea na kutukuza tulio wengi lakini imefika wakati lazima tuweke mambo wazi, tufikirie nje ya box tuachane na ile misemo "la msingi shibe ipatikane ili tuendelee kuishi"

.................................

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, Pilau, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k, Ugali ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu ni kinyume na nature.

Mahindi yaliletwa Africa kutoka Ulaya mwaka wa 700, ni chakula kizuri kinapokuwa bado kibichi mfano kuandaa mahindi yaliyochomwa, kuchemsha, kande za mahindi mabichi, n.k. Shida ya ugali ni kusubiri mpaka mahindi yakauke na kuyasaga.

hapo zamani mahindi yalipoletwa kutoka ulaya, babu zetu walizoeshwa kula ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri na kuwaongezea nguvu za kufanya kazi mashambani, Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 4 zaidi bila ugali.

Ushahidi / Proof kwa hapa nchini ukifuatilia makabila yanayotoa vichwa (Wakerewe, Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa waliokulia vijijini) utagundua hawali sana ugali, na bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanafinya matonge ya ugali.

Ni kweli Mboga za majani na samaki huongeza akili lakini kosa linalofanywaa ni kuvila kwa ugali, huu ugali unayeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, Muweke mbali mtoto na ugali ili kumsaidia kutunza uwezo wa akili zake, ugali unadumaza zaidi akili utotoni hadi balehe kipindi ambacho ubongo unapanuka.
Kwanza unawezaje kula ugali kama una options nyingine?
Ugali tulikua tunalia dhiki tu, kwa umasikini tuliokua nao hakukua na namna utaukwepa, kiuhalia ugali unapaswa kuliwa kama nyongeza tu au kwa hamu ili kuupa mwili energy, lakini siyo kuula kwa ndalilo.
 
View attachment 3114645

ugali umetulea na kutukuza tulio wengi lakini imefika wakati lazima tuweke mambo wazi, tufikirie nje ya box tuachane na ile misemo "la msingi shibe ipatikane ili tuendelee kuishi"

.................................

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, Pilau, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k, Ugali ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu ni kinyume na nature.

Mahindi yaliletwa Africa kutoka Ulaya mwaka wa 700, ni chakula kizuri kinapokuwa bado kibichi mfano kuandaa mahindi yaliyochomwa, kuchemsha, kande za mahindi mabichi, n.k. Shida ya ugali ni kusubiri mpaka mahindi yakauke na kuyasaga.

hapo zamani mahindi yalipoletwa kutoka ulaya, babu zetu walizoeshwa kula ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri na kuwaongezea nguvu za kufanya kazi mashambani, Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 4 zaidi bila ugali.

Ushahidi / Proof kwa hapa nchini ukifuatilia makabila yanayotoa vichwa (Wakerewe, Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa waliokulia vijijini) utagundua hawali sana ugali, na bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanafinya matonge ya ugali.

Ni kweli Mboga za majani na samaki huongeza akili lakini kosa linalofanywaa ni kuvila kwa ugali, huu ugali unayeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, Muweke mbali mtoto na ugali ili kumsaidia kutunza uwezo wa akili zake, ugali unadumaza zaidi akili utotoni hadi balehe kipindi ambacho ubongo unapanuka.
Kamba
 
View attachment 3114645

ugali umetulea na kutukuza tulio wengi lakini imefika wakati lazima tuweke mambo wazi, tufikirie nje ya box tuachane na ile misemo "la msingi shibe ipatikane ili tuendelee kuishi"

.................................

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, Pilau, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k, Ugali ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu ni kinyume na nature.

Mahindi yaliletwa Africa kutoka Ulaya mwaka wa 700, ni chakula kizuri kinapokuwa bado kibichi mfano kuandaa mahindi yaliyochomwa, kuchemsha, kande za mahindi mabichi, n.k. Shida ya ugali ni kusubiri mpaka mahindi yakauke na kuyasaga.

hapo zamani mahindi yalipoletwa kutoka ulaya, babu zetu walizoeshwa kula ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri na kuwaongezea nguvu za kufanya kazi mashambani, Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 4 zaidi bila ugali.

Ushahidi / Proof kwa hapa nchini ukifuatilia makabila yanayotoa vichwa (Wakerewe, Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa waliokulia vijijini) utagundua hawali sana ugali, na bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanafinya matonge ya ugali.

Ni kweli Mboga za majani na samaki huongeza akili lakini kosa linalofanywaa ni kuvila kwa ugali, huu ugali unayeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, Muweke mbali mtoto na ugali ili kumsaidia kutunza uwezo wa akili zake, ugali unadumaza zaidi akili utotoni hadi balehe kipindi ambacho ubongo unapanuka.
Hawa Wahindi Niko nao kwenye kampuni ni Vilaza hatari na hawaja wahi kula Ugali...
 
Ukiona chakula hakiliwi ulimwengubwa kwanza achana nacho,wazungu sio wajinga.
Chakula huendana na utamaduni, mila na desturi pia na mazingira ikiwemo upatikanaji...

Basi Wanaokula vyura na kono kono tungewaiga maana Wana akili sana kuliko sisi.
 
Mimi nisipokula ugali week huwa nahisi kuhaha na nitautafuta kokote unakopatikana niukule kwanza.

Ugali huwa ni mtamu sana licha ya kwamba hauliki bila mboga ila utamu wake huwezi kuuona kama unakula kwasababu hauna machaguo mengine ya vyakula kwa maana huo ndio unakopatikana kutokana na budget yako, hapo lazima ukuchoshe.

Na hapo kwenye kula na mboga au bila mboga nadhani inaweza kumake sense ila ni kama inakuja halafu inakataa kwa maana ugali unatokana na mahindi au muhogo sasa ukiangalia mahindi ni kwamba yanauwezo wakutoa vyakula vingi ambavyo mtu anaweza kula bila mboga na the same kwa mihogo.

Kwahiyo maybe kinachofanya ugali ushindwe kuliwa bila mboga ni zile hatua za uandaaji wake Kwahiyo inawezekana kama kungekua na namna tofauti ya kuuandaa ugali basi ungeweza kuliwa bila mboga, kwa maana ugali hauwekwi chumvi hauwekwi mavuta hauwekwi nyanya wala kitunguu wala nazi wala chochote kile kama vyakula vingine vinavyoliwa bila mboga ila wenyewe ni maji na unga tu shwaaaaaaaa unakitoa kituuuuuu 😆😆😆

Ugali uheshimiwe guys.
Wanaongelea Virutibisho na manufaa ya chakula wewe unaongelea hizo Addiction zako za ugali ambazo ni sawa na yule mlevi ambaye asipolewa/kunywa kilevi anapagawa.

Wazazi wameharibu watoto kwa kuwaendekeza chakula cha aina moja, matokeo yake watoto nao wameshakuwa addicted na aina hiyo ya vyakula hata ambavyo havina faida kiafya.

Ndiomaana akili za Watanzania wengi zinazidi kuwa dumavu sababu ya ulaji wetu mbovu wa mazoea na ubishi wa kufuata madactari/washauri wa tiba.

Inaumiza kuona mpaka wasomi nao hawajui wale nini, kutwa kushinda na hayo mavyakula ambayo ni useless ktk miili yao.

Tuache mazoea.
 
Mwenye shibe hawezi kumkumbuka mwenye njaa

ugali ni kama chakula cha kiutamaduni, neno duni naomba liheshimiwe

wengi tumeshazoea kula ugali ili kupoza njaa na kuamini ni lishe yenye kuleta ukakamavu hayo mambo ya faida na hasara tuwaachie wanasayansi na watafiti
ipo nchi inaongoza kwa kulima mahindi lakini mazao yake wanalisha ng'ombe
Nimesikitika sana.
 
Inategemea unakula ugali wa aina gani
Mimi nasaga mwenyewe
Mahindi, mahindi ya njano lishe, muhogo, mchele na mbegu za maboga vyote nachanganya..

Huo ugali ni noma wazee
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
View attachment 3114645

ugali umetulea na kutukuza tulio wengi lakini imefika wakati lazima tuweke mambo wazi, tufikirie nje ya box tuachane na ile misemo "la msingi shibe ipatikane ili tuendelee kuishi"

.................................

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, Pilau, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k, Ugali ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu ni kinyume na nature.

Mahindi yaliletwa Africa kutoka Ulaya mwaka wa 700, ni chakula kizuri kinapokuwa bado kibichi mfano kuandaa mahindi yaliyochomwa, kuchemsha, kande za mahindi mabichi, n.k. Shida ya ugali ni kusubiri mpaka mahindi yakauke na kuyasaga.

hapo zamani mahindi yalipoletwa kutoka ulaya, babu zetu walizoeshwa kula ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri na kuwaongezea nguvu za kufanya kazi mashambani, Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 4 zaidi bila ugali.

Ushahidi / Proof kwa hapa nchini ukifuatilia makabila yanayotoa vichwa (Wakerewe, Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa waliokulia vijijini) utagundua hawali sana ugali, na bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanafinya matonge ya ugali.

Ni kweli Mboga za majani na samaki huongeza akili lakini kosa linalofanywaa ni kuvila kwa ugali, huu ugali unayeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, Muweke mbali mtoto na ugali ili kumsaidia kutunza uwezo wa akili zake, ugali unadumaza zaidi akili utotoni hadi balehe kipindi ambacho ubongo unapanuka.

Baada ya kupitia michango ya watu wengi, nimeshutuka sana lakini pia nimegundua kuwa, tuna tatizo kubwa sana la uelewa wa masomo ya Sayansi. Kama mtu aliyefika kidato channe (hata kama ana D mbili) hana uwezo hata wa kutambua uzuri /umuhimu wa Ugali nafikiri tunatatizo kubwa.....
Hivi unataka, mafundi ujenzi, wakulima, wabeba mizigo, nk nk wale chips au piza???
 
Tatizo wengi tunakariri. Ugali umeliwa enzi na enzi katika nchi nyingi tu za kiafrika, kabla hata hayo mahindi hayajaingia katika bara hili.

Labda tatizo liwe kwa mahindi, sio ugali. Ugali uko wa aina nyingi, kulingana na unga uliotumika kuandaa. Kuna ugali wa muhogo, ugali wa mtama, ugali wa uwele na ugali wa unga wa mchele. Nasikia pia kuna ugali unaandaliwa kutokana na unga wa ndizi (migomba) japo sijawahi uona.

Sasa iweje mtu akisema ugali basi mawazo yote yanafikiri mahindi tu? Ugali hauna tatizo, wenye tatizo ni waliokariri ugali unatokana na mahindi tu.

Halafu izingatiwe kuwa kula ugali kunaambatanishwa na mboga. Pamoja na ugali kukupa wanga, mboga nayo itakupatia protini, madini na vinginevyo vingi tu.
 
Hicho ndicho Chakula kinachounganisha waafrika wote.
Nchi zote za Aftiva chakula kikuu ni ugali.
Na huenda ndio maana akili zao zinafanana ktk kudumaa aisee.
Chakula cha wanyama kuliwa na binadamu?!
 
Wazungu hawafanyi jambo bila utafiti wa kisayansi.
Ugali ungekuwa na manufaa kiafya mengi wazungu wasingeacha kula.
 
View attachment 3114645

ugali umetulea na kutukuza tulio wengi lakini imefika wakati lazima tuweke mambo wazi, tufikirie nje ya box tuachane na ile misemo "la msingi shibe ipatikane ili tuendelee kuishi"

.................................

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, Pilau, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k, Ugali ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu ni kinyume na nature.

Mahindi yaliletwa Africa kutoka Ulaya mwaka wa 700, ni chakula kizuri kinapokuwa bado kibichi mfano kuandaa mahindi yaliyochomwa, kuchemsha, kande za mahindi mabichi, n.k. Shida ya ugali ni kusubiri mpaka mahindi yakauke na kuyasaga.

hapo zamani mahindi yalipoletwa kutoka ulaya, babu zetu walizoeshwa kula ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri na kuwaongezea nguvu za kufanya kazi mashambani, Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 4 zaidi bila ugali.

Ushahidi / Proof kwa hapa nchini ukifuatilia makabila yanayotoa vichwa (Wakerewe, Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa waliokulia vijijini) utagundua hawali sana ugali, na bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanafinya matonge ya ugali.

Ni kweli Mboga za majani na samaki huongeza akili lakini kosa linalofanywaa ni kuvila kwa ugali, huu ugali unayeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, Muweke mbali mtoto na ugali ili kumsaidia kutunza uwezo wa akili zake, ugali unadumaza zaidi akili utotoni hadi balehe kipindi ambacho ubongo unapanuka.
Wali Je?
 
Mimi nisipokula ugali week huwa nahisi kuhaha na nitautafuta kokote unakopatikana niukule kwanza.

Ugali huwa ni mtamu sana licha ya kwamba hauliki bila mboga ila utamu wake huwezi kuuona kama unakula kwasababu hauna machaguo mengine ya vyakula kwa maana huo ndio unakopatikana kutokana na budget yako, hapo lazima ukuchoshe.

Na hapo kwenye kula na mboga au bila mboga nadhani inaweza kumake sense ila ni kama inakuja halafu inakataa kwa maana ugali unatokana na mahindi au muhogo sasa ukiangalia mahindi ni kwamba yanauwezo wakutoa vyakula vingi ambavyo mtu anaweza kula bila mboga na the same kwa mihogo.

Kwahiyo maybe kinachofanya ugali ushindwe kuliwa bila mboga ni zile hatua za uandaaji wake Kwahiyo inawezekana kama kungekua na namna tofauti ya kuuandaa ugali basi ungeweza kuliwa bila mboga, kwa maana ugali hauwekwi chumvi hauwekwi mavuta hauwekwi nyanya wala kitunguu wala nazi wala chochote kile kama vyakula vingine vinavyoliwa bila mboga ila wenyewe ni maji na unga tu shwaaaaaaaa unakitoa kituuuuuu 😆😆😆

Ugali uheshimiwe guys.
UMEUTETEA SANA AISEE
 
Hawa Wahindi Niko nao kwenye kampuni ni Vilaza hatari na hawaja wahi kula Ugali...
Wahindi ni levels nyingine

  • Makampuni mengi makubwa Marekani wahindi wamepewa kuyaongoza
  • Tanzania matajiri wengi kwenye top list ni wahindi
 
hivi ugali huwa unapashwa ukipoa ?
Ndio,,fanya hivi chukua ugali ulopoa weka kwenye sufuria yenye maji then injika motoni,maji yachemke kabisaaaa,,ukija kuuopoa apo kitu kipyaaaaa,na wala hauyeyuki kua uji,,,manguli wa ugal tupo hapa.🥲🥲
 
Back
Top Bottom