SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Hapa Kuna ulakini flani, nchi karibu zote hawali ugali, ila huku ukila ugali unaonekana wa asili,


Kwa tuliosoma shule za kibishi, mkishakunywa uji saa 4 vipindi vinavyofata ilikua kama kukamilisha ratiba tu, watu wamechoka kama wamekula visungura
Wenzetu east africa wanakula but si mahindi. Ni mihogo na nafaka nyingine which zina virutubisho vingi

Ugali wa huku ni tatizo, most of the time hauna virutubisho, ila sababu ndio low cost food na ni available kwa wingi inawa force watu kukimbilia huko
 
H
Hapo umeshinda mkeka wa laki tu
 
Kuwaulia how? sijakuelewa hapo mjukuu wangu
Tizama IQ za Wala ugali popote pale duniani. Ugali ni symbol ya udumavu wa akili,fikra, maono, upeo unajua ugali ni symbol ya UMASKINI.

Nirudi kwenye hoja ugali for years umetumika Kama silaha ya kuangamiza jamii maskini hapa ulimwenguni ili zizidi kua duni zaidi
 
Ushauri wa bure kabisa, Muweke mbali mtoto na ugali ili kumsaidia kutunza uwezo wa akili zake, ugali unadumaza zaidi akili utotoni hadi balehe kipindi ambacho ubongo unapanuka.

Nilikula ugali karibu kila siku, form one mpaka form four, na form five hadi six, na JKT, na UD nilienda na nilikuwa kipanga tu. Sasa sijui unataka kuniambia nini? Kwamba nisingekula ugali ningekuwa zaidi ya Einstain?
 
Ugali wenyewe tunaukoboa na kutupa protini yote, tunakula wanga mtupu.

Lile dona ndo lina virutubisho vya protini, ugali mweupe ni wanga mtupu, energy tu, hauna virutubisho.
Virutubisho tafuta kwenye mboga.. ugali iwe kwa ajili ya starch tu
 
Virutubisho tafuta kwenye mboga.. ugali iwe kwa ajili ya starch tu
Dunia ya leo ni ya kufanya mambo mengi kwa pamoja.

Starch ni empty calories. Kwa watu wanaohesabu calories zao ni bora kupata calories zenye virutubisho.

Ina minimize caloric intake na ku maximize nutrients per calorie.

That is the idea behind my point.
 
Nikitoka nje ya nchi nitaukumbuka sana ugali siwezi kupitisha week sijala ugali....ugali ni mboga Yako hauna maringo umauweka vyote na mboga yoyote ni kama k tu hakuna namna itawekwa ishindikane[emoji41] naomba Nisamehewe kama Kuna mtu nimemkwaza.
 
Nikitoka nje ya nchi nitaukumbuka sana ugali siwezi kupitisha week sijala ugali....ugali ni mboga Yako hauna maringo umauweka vyote na mboga yoyote ni kama k tu hakuna namna itawekwa ishindikane[emoji41] naomba Nisamehewe kama Kuna mtu nimemkwaza.
Wewe ni mtu wa kanda ya ziwa au nyanda za juu kusini??
 
Ugali unalika bila mboga mkuu sema kwa nyie wala sembe ndio hamuwezi kula bila mboga.
 
Aisee mkuu umetisha sana yaani nimesima hii comment nacheka mwenyewe njiani
 
Mleta mada ni Gen Z! Siyo Bure!
Eti anasema ugali bila mboga hauliki akifananisha na mkate sijui maandazi??... Hivi hayo maandazi au mkate unaoutetea, uliwahi kuula ukiwa hauna chumvi au sukari? Ugali wa mtama au uwele nao vipi? Unalika bila mboga siyo?
Hebu kuwa serious
 
Ninao ushahidi ila kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitoweza kuziweka hapa....ila ukae ukijua kitaaluma we africans tupo vizuri mno kuliko race nyingi tu!
Chinese mzee wanakimbiza sana ktk STEM
 
Nilishagundua hata wanyama wengi hawahufagilii kabisa ugali,ila kuna wakati wanakula tu bas kupoza njaa

Kuku,mbwa,nyau na nguruwe pamoja na kuwa huyu bwana hakosagi apetitte na anakula chochote lakin ugali huwa haupend kabisa
Kweli mkuu, yale ni kama makapi flani hivi. Nakumbuka mbwa wetu alikua ukiweka ugali na nyama atakula nyama then atafyonza mchuzi alafu atasepa zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…