SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kwanini wakoloni walituletea mahindi wakati kwao ni chakula cha mifugo ?
 
Katika maadui wetu wa taifa tulio aminishwa tangu uhuru ni UJINGA, UMASKINI NA MARADHI Sasa tuna janga lingine ambalo ni adui wa taifa ambalo ni UGALI.

Tuanzishe campaign.
#stop using ugali
#ugali is destroy IQ
#BAN UGALI FOR BRAIN 🧠 HEALTH
#
 
.
 

Attachments

  • 20241109_135001.jpg
    593.5 KB · Views: 2
Lakini sio lazima sana kula ugali wa mahindi,sisi tuna ugali wa ndizi zilizoanikwa zikakauka vizuri na mihogo,kuna ugali wa mtama,uwele
 
Unakula chakula cha kulishia nguruwe na bata halafu ujidanganye utapata Iq ya kupiga hesabu kali za kubuni vyombo vya kwenda mars na mwezini .
Never
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…