SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wazungu wanakula mahindi sio ugali
Fala wewe, kwahiyo mtu anayekula vitumbua hali mchele!?,unga wa ugali si unatokana na mahindi!?, Kwahiyo unga wa mahindi una matatizo, ila mahindi hayana shida!?,hivi jamii forums imevamiwa na watoto siku hizi!??
 
Eti Kenya na Rwanda hawali ugali 🤣🤣🤣 sidhani kama umewahi hata kuishi huko

Wewe endelea kula chips mayai za Dar
 
Sijatembea Kenya na Nigeria sana nj3 ya miji mikuu lagos na Nairobi, ila kule Ugali wanapiga bila huruma , nmetokea siku hizi kuupenda sana , nina miezi kama sita bila kuugusa wali, mwili una nguvu sana na afya tele
 
Ugali si chakula
kataa ugali
unagali unadumaza akili
ugali unadumaza mwili
ugali ni sumu
ugali hauna nutrients zinazohitajika mwilini
kula ugali ni kujaza tumbo tu
samia piga marufuku ulaji wa maugali tanzania.
Tatizo ni umasikini
 
Kuleni wali kama watu wa Dar ambao hawawezi kazi ngumu zaidi ya utapeli!
 
Wazee wetu wangekuwa timamu kama unavyowanadi wangewatawala wakoloni au wangeukataa ugali.
Chips yai zinawasahaulisha sana mpaka mmeanza kujiona mna aleji na UGALI
Miaka hiyo wazee walikuwa na taaluma ya ku detect sumu kwenye msosi

Kipindi hicho mtu mbaya alikuwa hawezi kukuletea msosi usio na sumu.

Wazee walipoona hakuna sumu wakawaona wazungu ni watu waungwana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…