SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Protein gani ambazo zipo kwenye ugali?
Ugali ukiwa na 100g..
Ina contain 7g of Protein ambayo ni sawa na 14%

Na Protein inayopatikana kwenye ugali inautwa zein pamoja na Gluten..

Japo hizo protein zote zinafahamika kama prolamine protein maana yake Ili ziweze kufanya kazi ya kutengeneza Essential protein Ambayo itatupa amino acid kwa ajili ya mwili wetu lazma kwepo kwa protein nyingine..

Na ndo hiyo inabidi ile mboga ili Uipate..
Huwezi kula ugali peke yake..

Ukipiga na maharage au nyama ana mboga za majani bhasi Unaiaxtivate hiyo Protein iliyopo kwenye ugali then kitu mwake
 
Huo uchafu tumelishwa sana boarding, wakichange wakawa wanatupa kande ujinga ule ule. Saizi naweza maliza mwaka sijagusa ugali!
Zamani nlikua nakula ugali vizur tu Ila now days ugali nafsi inakataa kabisa Yan Nikila Nakua najoforce sana
 
Kwani makuli wapo Tz peke yake?
Nchi ambayo kwa mwaka hayafiki makontena 1mil

Nigeria hawali ugali ila wana miili mikubwa
Nigeria ipi ambayo hawali ugali??
NIgeria wanakula Fufu au "Akple" ambalo ni jina jingine la.ugali kwao
 
Huu ugali uliolezea hapa ni wa UNGA wa Dona au sembe
 
....

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

........
Unafahamu Kenke, unafahamu Banku zinatokana na nini?
 
seems una hoja ila presentation mbovu
 
Wakenya Hawali ugali. We kenge kwerikweri
 
Mkuu japo nakuunga mkono ila research yako haiko sawa.
Kenya, uganda hata west africa wanakula ugali. Kagera now ndizi kutojana na mnyauko wanakula ugali sana.
Ila naunga mkono hoja ugali si chakula safi ni sumu na kinadumaza ubongo.
 
Mwana, unazidiwa akili mpaka na panya? Ukikoboa mahindi unabaki unakula makapi ambayo haya panya hayali! Yaani wewe unachukua mahindi tu kutoka kwa wauzaji na kwenda kusaga? Hopeless kabisa!
 
Mkuu una matatizo makubwa sana ya kifikra na uelewa, tulia usome na kujifunza vyema. Ulichoandika ni utumbo uliopitiliza, hadi nashindwa hata nikusaidije, kifupi uelewa wako wa ulichokiandika ni mdogo sana. Ni ajabu na wewe unajiita GT na unatoa pumba kama hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…