Unathibitishaje hilo.Tunaingia kwenye lugha sasa..
Ambacho hutaki kukubali ni kwamba US hana uwezo wa kuziba nafasi ya Russia katika gas exporting kwenda Ulaya.
Hana huo uwezo na haitotokea, acha ubishi.
Nikuambie tena haiwezekani na haitotokea. Kama unabishana na wataalamu wa hayo masuala sawa..
[emoji1][emoji1][emoji1] kwa hio global warming na mambo ya green energy yameishia wapi?watu wameshaanza kuwasha mamitambo ya makaa ya mawe na nuke wakishastabilize wanaanza kuja kutoboa miamba Africa huku kwa kina January Makamba..
Mkuu population sio hela wala sio dalili ya kwamba una uwezo kiuchumi, ni sawasawa na kufuga manyenje lakini mfukoni huna ata sh100Kwani hizo nchi za ulaya zote population yao ikoje ukilinganisha na hizo nchi mbili India na china? Kwa sababu inaonekana huelewi nini maana ya biashara
Mkuu marekani ndio kwanza wametangaza jana kwenye ule mkutano Poland, hakuna anayelia wamempuuza tu
Umejipa muda kutafuta Russia alikuwa anauza Cubic meters ngapi Ulaya?Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.
Source: BBC
What ever lakini lengo ni kumuumiza putini, tunaunga mkono juhudi za west
Kwan unasafirisha wwOoh lini sasa itawafikia hiyo gesi huko ulaya [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Kwan unasafirisha ww
Uhalisia wa mambo Putin amefanya hesabu za kawaida kabisa, hata kama hatafanikiwa kwenye hilo kutokana na utegemezi wa ulaya kwenye gesi ya Urusi hasa majira ya baridi ambako sehemu kubwa hutumia kwa ajili ya heating system za nyumba zao, kauli take hii will send strong shock wave kwenye sekta mbalimbali ambazo zinategemea gesi hii...Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amepuuzilia mbali takwa la rais wa Urusi, Vladimir Putin la kuyataka mataifa ya Ulaya kununua gesi kwa sarafu ya Kirusi, huku akimshutumu rais huyo kuwa mwenye nia ya kutaka kuvikwepa vikwazo alivyowekewa kutokana na uvamizi wake wa Ukraine.
Macron aliwaambia waandishi wa habari baada ya Mkutano wa Kilele wa Umoja wa Ulaya wa mjini Brussels kwamba hatua ya Urusi haipo katika makubaliano na haoni sababu ya kutekelezwa kwa jambo hilo. Rais Putin alitoa takwa hilo juma hili katikia kipindi hiki ambacho serikali yake inakabiliwa na vikwazo vikali vinavyoathiri uchumi wa taifa hilo, kutokana na hatua yake ya kuingia kijeshi nchini Ukraine.
View attachment 2164574
Source: DW
[emoji1][emoji1][emoji1] kwa hio global warming na mambo ya green energy yameishia wapi?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] 'Excuses are like assholes. Everyone has one, and they all stink.'ni wakati wa dharula, dharula ikiisha wanayazima...
Mbona hayo mataifa mengine yanavunja hiyo mikataba au urusii Kuna nni acha afanye yake gesi Ni yakeRussia lazima iheshimu terms of contract ambayo inasema malipo yatafanywa kwa sarafu za dola/euro/pound, period hayo mambo ya sijui ruble yanatoka wapi tena.
Kama anavunja mkataba kuna gharama yake vilevile ya kulipa damages for the breach of contract gharama ambayo kwa hali yao ya sasa hawawezi kumudu kulipa.
Putin anajaribu bila mafanikio kuokoa sarafu yake isiporomoke lkn hana jinsi kwani ameshashika mavi lazima awe mpole, uchumi lazima uporomoke tu.
Waache kutumia Russia gase kuni mbona zipo mikaa ya kutosha waache kulala ,[emoji2][emoji2][emoji2]Umenena vyema, russia kutaka malipo yawe kwa ruble maana yake anataka aipe thamani pesa yake ktk uchumi ambae anaona mbele utamsumbua zaidi na sio kwamba anaikomoa NATO.
Mambo yakienda hivi, uchumi wa NATO na Russia utatetereka mno apo mbeleni, sijui kwanini Africa hasa TZ tusitazame hizi fursa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alipovunja mikataba mibovu ya madini mlikuja na ngonjera za hovyo kwamba nchi italipa kwa kubreach contract hatimaye iliishia wapi....putin anajua zaidi anachokifanya kuliko wewe mporipori.Russia lazima iheshimu terms of contract ambayo inasema malipo yatafanywa kwa sarafu za dola/euro/pound, period hayo mambo ya sijui ruble yanatoka wapi tena.
Kama anavunja mkataba kuna gharama yake vilevile ya kulipa damages for the breach of contract gharama ambayo kwa hali yao ya sasa hawawezi kumudu kulipa.
Putin anajaribu bila mafanikio kuokoa sarafu yake isiporomoke lkn hana jinsi kwani ameshashika mavi lazima awe mpole, uchumi lazima uporomoke tu.
Hawajui hiloLeo ndio mnajua mikataba inatakiwa iheshimiwe ,vipi kuhusu Minsky agreement hiyo haitakiwi kuheshimiwa?
China alishaanza kuuza gas anzia 2019 kwa njia bomba, google " Power of Siberia1" mwezi wa kwanza walianzia kujenga bomba kubwa zaidi kwenda hukohuko China linaitwa " Power of Siberia 2" kwaiyo ujue tu wakati linajengwa Nord Stream 2 kwenda Germany basi pia tayar process zilishaanza kujenga Power of Siberia 2 kwenda China.Putini akikusanya 47% kwa ulaya sasa atazipata wapi, ivi ataweza kurudisha uchumi wake kwa kuuza gesi India, china na Iran??
China bwana wake ni Marekani akiambiwa mradi aachane nao ndio hakuna namna ataachana nao,, juzi aliposhutumiwa anapeleka silaha za kivita ukraine kuisaidia urusi ilibidi yule baloz wa China afunge safari hadi Washington kwenda kukataaChina alishaanza kuuza gas anzia 2019 kwa njia bomba, google " Power of Siberia1" mwezi wa kwanza walianzia kujenga bomba kubwa zaidi kwenda hukohuko China linaitwa " Power of Siberia 2" kwaiyo ujue tu wakati linajengwa Nord Stream 2 kwenda Germany basi pia tayar process zilishaanza kujenga Power of Siberia 2 kwenda China.
Sent using Jamii Forums mobile app