Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Urusi hawezi kushindana na dunia
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20220326-014558.jpg
 
Umenena vyema, russia kutaka malipo yawe kwa ruble maana yake anataka aipe thamani pesa yake ktk uchumi ambae anaona mbele utamsumbua zaidi na sio kwamba anaikomoa NATO.

Mambo yakienda hivi, uchumi wa NATO na Russia utatetereka mno apo mbeleni, sijui kwanini Africa hasa TZ tusitazame hizi fursa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fursa gani na hili jembe letu la mkono.
 
Back
Top Bottom