Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 634
- 436
Kamaliza chuo ndio na ndio maana kaandika "matter call" we ulitaka aandike "matako" eti? 😁Unakuta dogo kama wewe umemaliza chuo kikuu, unasubiri ajira. Embu andika tena materc....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamaliza chuo ndio na ndio maana kaandika "matter call" we ulitaka aandike "matako" eti? 😁Unakuta dogo kama wewe umemaliza chuo kikuu, unasubiri ajira. Embu andika tena materc....
Sawa,kama hataki awaache watu.wake wagande kwa baridiRais wa Ufaransa Emmanuel Macron amepuuzilia mbali takwa la rais wa Urusi, Vladimir Putin la kuyataka mataifa ya Ulaya kununua gesi kwa sarafu ya Kirusi, huku akimshutumu rais huyo kuwa mwenye nia ya kutaka kuvikwepa vikwazo alivyowekewa kutokana na uvamizi wake wa Ukraine.
Macron aliwaambia waandishi wa habari baada ya Mkutano wa Kilele wa Umoja wa Ulaya wa mjini Brussels kwamba hatua ya Urusi haipo katika makubaliano na haoni sababu ya kutekelezwa kwa jambo hilo. Rais Putin alitoa takwa hilo juma hili katikia kipindi hiki ambacho serikali yake inakabiliwa na vikwazo vikali vinavyoathiri uchumi wa taifa hilo, kutokana na hatua yake ya kuingia kijeshi nchini Ukraine.
View attachment 2164574
Source: DW
AhahahaWalioweka vikwazo hawataki wawekewe vikwazo [emoji16][emoji16]
Hawajalalamika wamekataa takwa la urusi ushabiki unakupofusha mkuu!Wanalalamika nini sasa, si waende kuchukua kwingine hiyo gesi, waachane na gesi ya rubo!
Haulipi kwa currency za Urussi then anakufungia bomba.Mbona Ni simple tuHawajalalamika wamekataa takwa la urusi ushabiki unakupofusha mkuu!
Basi sawa watalipia gasi kwa hela ya eUro ama usd, lakini wahahikishe hela inayomfikia mrusi iwe kwenye rubo.Hawajalalamika wamekataa takwa la urusi ushabiki unakupofusha mkuu!
Akili nyingi walijua yatatokea haya,Russia ina watu vichwa sana wanakubalije kupelekeshwa na dikteta putin who knows only about war somehow!Tayari Marekani mzalishaje gesi namba moja duniani anawapelekea
Tanzania hii chini ya ccm na waziri wa fedha na uchumi bwana lameck madelu ? Au unazungumzia Tanzania diasporaUmenena vyema, russia kutaka malipo yawe kwa ruble maana yake anataka aipe thamani pesa yake ktk uchumi ambae anaona mbele utamsumbua zaidi na sio kwamba anaikomoa NATO.
Mambo yakienda hivi, uchumi wa NATO na Russia utatetereka mno apo mbeleni, sijui kwanini Africa hasa TZ tusitazame hizi fursa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nashangaaAkili nyingi walijua yatatokea haya,Russia ina watu vichwa sana wanakubalije kupelekeshwa na dikteta putin who knows only about war somehow!
Gas inayopelekwa na meli na gas inayopelekwa kwa njia ya pipeline bei ni tofauti ndugu........Soma vizuri Macron amempuuza, Marekani jana rasmi ametangaza kuziba hilo gape kwa aliyekuwa anamtegemea Putin na gesi yake, mzigo utatoka marekani, ni vile Putini amepigwa katafunua kwenye hii biashara ya gesi kwa nchi za ulaya
Gas saiv huko ulaya imepanda mpaka $3800 per cubic meter......sasa jiulize mmarekani akiifikisha itakua bei gani......? Putin hategemei gas pekee, bado anauza technology sana hasa kwa mifumo ya ulinzi aridhini na angani......na wateja wake wakubwa ndio hao hao ulaya tutaona kama wataacha kununua system hata zikipanda bei.Marekani ana take advantage ya kuuza gesi kwa wahisani wake wa ulaya badala ya urusi., watu wako vizuri kwenye vichwa vyao Putini hatakuwa na soko tena kwa ulaya labda India na china, ulaya pekee urusi alikuwa anapata 47% sasa ni 0%., tafakari anayeumia ni nani?
Saiv cubic meter 1 ya natural gas ni $3,800 haya assume mmarekani mpaka afikishe hapo itauzwa kwa $4000 then zidisha kwa hizo cubic meter 15 billion then utajua nani ataumia maana kutakua na mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea in history......Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.
Source: BBC
ulaya wameachana na urusi kwa kila kitu hakuna mtu atakayelipa rubble ya urusi kushusha dola, watu wako makini na kazi zaoGas saiv huko ulaya imepanda mpaka $3800 per cubic meter......sasa jiulize mmarekani akiifikisha itakua bei gani......? Putin hategemei gas pekee, bado anauza technology sana hasa kwa mifumo ya ulinzi aridhini na angani......na wateja wake wakubwa ndio hao hao ulaya tutaona kama wataacha kununua system hata zikipanda bei.
Hawajalalamika wamekataa takwa la urusi ushabiki unakupofusha mkuu!
Haulipi kwa currency za Urussi then anakufungia bomba.Mbona Ni simple tu
Mjerumani hajawi kusema hawezi kuacha kutumia gas from Russia...., mradi wa Nord Stream 2 tayari wameunyima leseni hauendelei tena tokea Russia avamie Ukraine lakini soko lao la gesi sasa watanunua kutoka world market apart from America ambao jana pia wametangaza kuziba hilo gap kwa nchi za ulayaGas inayopelekwa na meli na gas inayopelekwa kwa njia ya pipeline bei ni tofauti ndugu........
Kwa meli gharama ni kubwa, time inapotea pia, risk nyingi, na marekani anatumia hilo gap kuwashika korodani Nato na ulaya yao.......ndio maana mjerumani kaona mbali kasema hawezi kuacha kutumia gas from Russia.....
[emoji1][emoji1][emoji1] wananchi wenyewe wa ulaya wanasema hawako tayari ku-freeze kwa baridi kwa sababu ya upuuzi wa Ukraine.Na msinu huu wa baridi watakufa kama kuku wa kideli
[emoji1][emoji1][emoji1] wananchi wenyewe wa ulaya wanasema hawako tayari ku-freeze kwa baridi kwa sababu ya upuuzi wa Ukraine.