Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Watake ama wasitake gesi watalipia tu kwa Ruble hawana namna, wameweka vikwazo zaidi ya 1000 mwanaume kaweka kimoja wote wanaanza kulialia hapa na kutia huruma. Wasipolipa jamaa anafubga koki na hapo ndipo watatuma wake zao na watoto wao kama malipo ya gesi Urusi[emoji1787]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] kawaambia weka ugoko naweka nondo
 
Hii game lazima ukubali kwa kupimana ubavu wamagharthawawez watabaki kulia lia tu na kuona wameonewa kukimbilia mkataba bc unapiga kampen URUSI itengwe halafu unachagua sehem ya kuitenga itenge yote Kama kwel we kidume
Bado una akili za kitoto sana.
 
Kupata gesi sio shida.....hilo hata hao ulaya wanajua hilo shida ni kupata gesi kwa gharama ile ile ambayo waliku wanaipata toka kwa mrusi......gesi ya kusafirishwa na meli sio sawa na gesi ya kusafirishwa na bomba........hapo logistics tu zinapandisha gharama
Ni kwamba mpaka hapo hizo nchi ziko tayari ku-sacrifice ndio maana ya kuweka hivyo vikwazo vya kufa mtu Crippling Sanctions, russia inatakiwa aje huku tulipo kwa wachumia tumbo.
 
2030 ni kesho tu chief.. kwa sasa watakuwa wanauza kwa meli n.k gharama lazima zipande, hizo ni cost ndogo sana kwa NATO, kwahiyo miaka 8 kuanzia sasa soko la gesi la mrusi kwa Ulaya linakuwa limekwisha hasara kwa nani? Unajua ni kiasi gani Russia anawategemea ulaya kuuza gesi yake? Unapima kweli chief long term effects ya hiki kitu?
Mkuu huwezi kujadili huu mjadala na vijana ambao wamekaa kishabiki. Hapo umemueleza kwa undani ili atafakari, akija hapa atakupinga mno.

US na baadhi ya nchi za NATO zile Top zimemtupa mbali Russia kiuchumi. Hizo gharama kupanda sidhani kama ni ishu kubwa kwao. Pia vile vile US kwa kuwa anaingiza bidhaa sokoni, na anataka kumkomesha Russia, bei lazima iwe ya kawaida.

Mimi sioni kama kuna shida kubwa endapo US na NATO wakaazimia hili. US na Europe wana pesa aiseee, sio wajinga wale.

Kati ya mfanya biashara, yaani muuzaji na mnunuzi, anayeumia zaidi ni muuzaji. Sasa hapo ni mafuta tu, bado sekta za uwekezaji n.k Russia kuna mahali hajakaa sawa ktk hili.
 
Ndio mkuu marekani jana wametangaza badala yake soko litahamia kwao, ni Putini amekosa yote pengine Marekani pia alikuwa anataka soko la gesi ikawa hajui ni kwa vipi putini atamnyanganya lakini ngoma imekuja automatically
US hawawezi kuziba pengo la Russia mkuu, kwanza US gas yake itakua gharama, pili US hawezi ziba pengo la Russia kwa 100%, kwenye 40% wanasema atafidia kwa 10%.

Hao Qatar sio wajinga ni taifa la 3 duniani kwa reserve kubwa ya gas baada ya Iran, wakati inayoongoza ni Russia.



Nambie wewe 30% wanatolea wapi.
 
US hawawezi kuziba pengo la Russia mkuu, kwanza US gas yake itakua gharama, pili US hawezi ziba pengo la Russia kwa 100%, kwenye 40% wanasema atafidia kwa 10%.

Hao Qatar sio wajinga ni taifa la 3 duniani kwa reserve kubwa ya gas baada ya Iran, wakati inayoongoza ni Russia.



Nambie wewe 30% wanatolea wapi.
Qatar anahitaji muda kujipanga kwahiyo kwasasa lazima warudi Urusi au wazime mitambo yao
 
Qatar anahitaji muda kujipanga kwahiyo kwasasa lazima warudi Urusi au wazime mitambo yao
Njia pekee ya kupitisha bomba toka Qatar ilikuwa na Syria, ule ndio mlango halafu linafikia Turkey na kuingia Ulaya.

Hilo limeshindikana, cause Syria Russia yuko pale.

Assad ndicho kisa cha kupigwa na West kwamba akubali kupitisha bomba la Qatar.

Kazi ipo, Russia wanacheza kete zao kwa umakini sana.
 
Njia pekee ya kupitisha bomba toka Qatar ilikuwa na Syria, ule ndio mlango halafu linafikia Turkey na kuingia Ulaya.

Hilo limeshindikana, cause Syria Russia yuko pale.

Assad ndicho kisa cha kupigwa na West kwamba akubali kupitisha bomba la Qatar.

Kazi ipo, Russia wanacheza kete zao kwa umakini sana.
Na huu ndio wakati anaweza kuwapa maumivu EU kwenye gesi maana mda sio rafiki kwa watu wa EU kwasasa
 
Njia pekee ya kupitisha bomba toka Qatar ilikuwa na Syria, ule ndio mlango halafu linafikia Turkey na kuingia Ulaya.

Hilo limeshindikana, cause Syria Russia yuko pale.

Assad ndicho kisa cha kupigwa na West kwamba akubali kupitisha bomba la Qatar.

Kazi ipo, Russia wanacheza kete zao kwa umakini sana.
Walidhani wanacheza na Mugabe ,wanacheza na Kanali wa zamani wa KGB. Pengine watu hawajui KGB ni nini ndio maana wanamchukulia poa. Kwa ufupi tu KGB ilikuwa mashine ya ujasusi kubwa sana duniani .
 
Russia lazima iheshimu terms of contract ambayo inasema malipo yatafanywa kwa sarafu za dola/euro/pound, period hayo mambo ya sijui ruble yanatoka wapi tena.

Kama anavunja mkataba kuna gharama yake vilevile ya kulipa damages for the breach of contract gharama ambayo kwa hali yao ya sasa hawawezi kumudu kulipa.

Putin anajaribu bila mafanikio kuokoa sarafu yake isiporomoke lkn hana jinsi kwani ameshashika mavi lazima awe mpole, uchumi lazima uporomoke tu.

Mwenzio kawekewa vikwazo vingi, so unategemea nae awakalie kimya hao killers/magaidi!!! Ila nyie watu munashangaza sana 😁 utafikiri mko family moja na magaidi
 
Back
Top Bottom