Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Kwahiyo we unaakili kuliko warusi wenyewe tena ni majajusi [emoji3][emoji3] ,Yani humu jf Kuna watu vituko kwelHuo ni ufaller tu, una vikwazo lukuki halafu nawe unaongeza vikwazo?
Hajui kuwa anawafanya wateja watafute mbadala kwa gharama zozote?