Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

images (4).jpeg

🤣🤣🤣🤣
 
Umenena vyema, russia kutaka malipo yawe kwa ruble maana yake anataka aipe thamani pesa yake ktk uchumi ambae anaona mbele utamsumbua zaidi na sio kwamba anaikomoa NATO.

Mambo yakienda hivi, uchumi wa NATO na Russia utatetereka mno apo mbeleni, sijui kwanini Africa hasa TZ tusitazame hizi fursa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fursa gani Tanzania ichangamkie wakati hata mafuta ya kupikia tu hatuna na ardhi yote hii hadi na sisi yamepanda bei huku tukiwa watazamaji tu. Hatuna cha kuchangamkia hapo.
 
US hawawezi kuziba pengo la Russia mkuu, kwanza US gas yake itakua gharama, pili US hawezi ziba pengo la Russia kwa 100%, kwenye 40% wanasema atafidia kwa 10%.

Hao Qatar sio wajinga ni taifa la 3 duniani kwa reserve kubwa ya gas baada ya Iran, wakati inayoongoza ni Russia.



Nambie wewe 30% wanatolea wapi.
Kwani muuzaji ni Russia tuu?
 
Kwani muuzaji ni Russia tuu?
Norway, Algeria n.k wanauza gas Ulaya lakini exporter mkubwa zaidi ni Russia.

40% unafikiri ni mchezo?

Imagine umekaa zako hapo unaambiwa mshahara wako umekatwa 40% kwa kosa fulani kuanzia sasa na kuendelea.

Halafu Ulaya ilikuwa bado inahitaji gas zaidi ndio maana kuna ule mradi wa NordStream 2 uliokuwa ukiendelea.

Pigo ni kubwa mno.
 
Gas inayopelekwa na meli na gas inayopelekwa kwa njia ya pipeline bei ni tofauti ndugu........

Kwa meli gharama ni kubwa, time inapotea pia, risk nyingi, na marekani anatumia hilo gap kuwashika korodani Nato na ulaya yao.......ndio maana mjerumani kaona mbali kasema hawezi kuacha kutumia gas from Russia.....
That is the price the Europeans will have to pay for the sake of democracy and freedom, the values they've been at pains to attain and which are now being threatened by the Russian dictator.

The strategy designed to look for another credible supplier for energy has been unanimously adopted by all members of the European Union all of whom are eager to end their dependence on the Russian energy.

This news will undoubtedly add to the list of setbacks to the already sanctions ridden government in Moscow.
 
Acha bangi mkuu, kumbuka Marekani hana gas ya kutosha kufidia gap la Urusi... Pia gas ya America ipo mbali na endapo akitaka kuiuza Ulaya, basi itabidi apakie kwenye matenki kitu ambacho kutasababisha ifike Ulaya ikiwa imepanda gharama mara dufu.

Urusi yeye anacheza na koki tu

Acha kusikiliza propaganda za mataifa ya magharibi
.... Kwa hiyo tukusikilize wewe unayekula magimbi hapo Buza kwa Mama Kibonge.
 
US hawawezi kuziba pengo la Russia mkuu, kwanza US gas yake itakua gharama, pili US hawezi ziba pengo la Russia kwa 100%, kwenye 40% wanasema atafidia kwa 10%.

Hao Qatar sio wajinga ni taifa la 3 duniani kwa reserve kubwa ya gas baada ya Iran, wakati inayoongoza ni Russia.



Nambie wewe 30% wanatolea wapi.
Hapana haiko hivyo, kasome tena. Kuna vitu vitatu waga vinachanganya sana watu:

1. The largest deposit

2. The largest exporter

3. The largest producer.
 
Hapana haiko hivyo, kasome tena. Kuna vitu vitatu waga vinachanganya sana watu:

1. The largest deposit

2. The largest exporter

3. The largest producer.
Tunaingia kwenye lugha sasa..
Ambacho hutaki kukubali ni kwamba US hana uwezo wa kuziba nafasi ya Russia katika gas exporting kwenda Ulaya.

Hana huo uwezo na haitotokea, acha ubishi.

Nikuambie tena haiwezekani na haitotokea. Kama unabishana na wataalamu wa hayo masuala sawa..
 
Kupata gesi sio shida.....hilo hata hao ulaya wanajua hilo shida ni kupata gesi kwa gharama ile ile ambayo waliku wanaipata toka kwa mrusi......gesi ya kusafirishwa na meli sio sawa na gesi ya kusafirishwa na bomba........hapo logistics tu zinapandisha gharama
Mkuu haya mambo hayajatokea bahati mbaya.. watu washacalculate mda tu, na Putin anaenda tu bila brake.. wenzie wanatumia akili yeye anaonyesha mavifaru.. wakifanikiwa kumtoa kwenye ku supply gas europe uchumi wao utashuka sana, anawategemea sana kwenye hilo soko asikwambie mtu anauza sana yaani.. hata akiweka sijui auze kwa hela yake, kuna mikataba ya international transactions kuwa us dollar ndio means of transactions, sasa subiri wamtoe abaki na hao wachina na wenzie awauzie.. watu wanamtoa kwenye deals za maana.. tusubiri tuone
 
Mkuu huwezi kujadili huu mjadala na vijana ambao wamekaa kishabiki. Hapo umemueleza kwa undani ili atafakari, akija hapa atakupinga mno.

US na baadhi ya nchi za NATO zile Top zimemtupa mbali Russia kiuchumi. Hizo gharama kupanda sidhani kama ni ishu kubwa kwao. Pia vile vile US kwa kuwa anaingiza bidhaa sokoni, na anataka kumkomesha Russia, bei lazima iwe ya kawaida.

Mimi sioni kama kuna shida kubwa endapo US na NATO wakaazimia hili. US na Europe wana pesa aiseee, sio wajinga wale.

Kati ya mfanya biashara, yaani muuzaji na mnunuzi, anayeumia zaidi ni muuzaji. Sasa hapo ni mafuta tu, bado sekta za uwekezaji n.k Russia kuna mahali hajakaa sawa ktk hili.
Hiki kitu hakijatokea kwa bahati mbaya.. europeans wapo stable sana aisee, sasa mtu anakuuliza watauzia wapi? Sijui gharama zitapanda tutaseka sisi nchi za huku, wale hawayumbi na wamedhamiria kummaliza nguvu Russia, Putin atumie sana akili kwenye karata zake
 
Humu watu mnajadiliana Kama walevi
1.Ulaya wanaitegemea Russia kwa gesi mno kwani ni rahisi na Kuna bombs zimetawanywa Europe gas inafika kwa pipelines.
Ili marekani apeleke gas inabidi asafirishe kwa meli na asambaze kwa meli huku akipitisha gesi maeneo hatari ni gharama kubwa zaidi ya Mara 8 ,compared to Russia.
2. Russia kabla ya hii Vita walishacalculate risk zote na benefit,wakaona ukiiwekea vikwazo Russia , unaiua Ulaya yote kiuchumi kwa fuel na gesi baada ya muda Europe wataachana na vikwazo kwani nchi zao hazitatawalika.
 
Back
Top Bottom