Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Hii lugha ya kiswahili haina soko. Kwasabb ilipaswa kubeba teknolojia/maarifa ambayo ndiyo yangevutia watu kujifunza kiswahili
Lugha ya kiswahili naona waoitetea wanajikita katika kuipondea lugha ya kingereza lakini ukweli ni kwamba ukitaka lugha ikue lazima uwape sababu watu Kwanin watumie lugha yako na sio lugha nyingine
 
Tumesikia Rais Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.


Kama unajua lugha zote kinakuuma nini? Ni lugha tu ndugu yangu haina maana kiswahili kimeshuka ukiongea Kingereza !
 
Kusoma si shida as long as aliweza kujua right pronounciation ya maneno kwenye hotuba then she is good....aendelee hivohivo.....

kusoma hotuba ya kiingereza kwa ufasaha kuanzia muktadha body language, na utamkaji wa maneno sio rahisi haya kidogo....she deserve praise on that.
Anamsomea nani hizo vizungu za kwenye makaratasi?

Wewe mama yako anajua Kiingereza kweli?
 
Tumesikia Rais Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Kama hujui Kiingereza Acha Wivu
 
unaweza kuwa na wazo zuri lkn unakosa busara ya kuliwasilisha ....toa maoni yako vizuri na ktk kuwasilisha kwako usijaribu kuonesha ww ndio upo sahihi sana na wengine ni hovyo #BUSARATAFADHALI
 
..anatakiwa aandikiwe HOTUBA nzuri ya kuwasilisha mbele ya wenyeji wake
Heheheee....

Kuwa kiongozi sio swala la kuvaa tu ushungi na kurembua. Uongozi ni kipawa.

Kwa tunaofuatilia siasa za kimataifa, tunaelewa nini maana ya Kiongozi mwenye kipawa cha uongozi.

Nikupe kijikazi kidogo — fuatilia hotuba ya Obama ndani ya bunge la uingereza.

Nina uhakika kwamba, itamchukua Bibi sasha zaidi ya miaka mia kuweza kumudu ile mastery ya oratory skills.

Ndio maana, sisi wenye utambuzi wa mambo, tunashangaa anapotusomea vizungu vya kwenye makaratasi.

Lakini kwa ninyi magoigoi msiojua dunia inaenda wapi, kwa hakika anawakoga sana kwa kile kizungu chake butu.
 
unaweza kuwa na wazo zuri lkn unakosa busara ya kuliwasilisha ....toa maoni yako vizuri na ktk kuwasilisha kwako usijaribu kuonesha ww ndio upo sahihi sana na wengine ni hovyo #BUSARATAFADHALI
Busara gani unayoitaka?

Unataka nikulambe miguu?
 
Tumesikia Rais Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Tatizo lako la 'Language Barrier' lisiwe 'Chukizo' kwa wale 'Wordsmiths' wa hiyo ( hii ) Lugha ya Kiingereza. Vituo vya Kufundisha vyema hii Lugha muhimu duniani ( ya Kiingereza ) vipo vingi nenda 'Ukanolewe' zaidi uijue ili usiwaonee tena 'Kijicho' wale wanaoijua vyema sawa?

Kwani mfano Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akiongea kwa Lugha ya Kiingereza ambayo Wakenya wengi wanaimudu na Wewe usiyeijua ukatafsiriwa kila Kitu kwa Kiswahili chako 'Kilichokudumaza Fikra' tokea Uhuru mpaka leo utakuwa Umepungukiwa na nini?
 
Kati ya mambo ya kipumbavu yaliyo asisiwa na kuachwa na awamu ya tano ni chuki dhidi ya Kiiingereza na ukitaka kufa kwa cheko Bashite apige ngeli, Ndalichako akiongea kimalkia utazikwa na mzee baba R.I.P akipiga ile "pipo uzed to die in ze ze rake" tunakula matanga.

Lugha huenea kutokana na product zinazozalishwa kutoka kwa wenyeji, sasa mtu amekomaa na Kiswahili na akati product ni udaga, togwa pambaav
 
Analeta mikogo mwishowe anachemka... Alileta mbwembwe kwenye maneno
"reiterate... expeditiously..." akakwama nayo..
Hahahahaaaaa....

Werevu mwingi mbele giza.

Mtu mswahili unajilazimisha vizungu!

Yaani.....
 
Nina uhakika wewe na nduguzo wote mkiunganishwa hamuwezi kunipiku umahiri nilionao wa kutema mayai.
Mkuu jibu comments kwa ung'eng'e jamaa asante akujue wewe ni nani linapokuja suala la kimombo, washangiliaji tupo.
 
chuki dhidi ya Kiiingereza
Wala hakuna chuki yoyote hapo wewe zumbukuku!

Matter of fact, ninazungumza lugha nne za Kimataifa kwa ufasaha ikiwemo hicho kizungu chako.

Ninyi wajinga wajinga mliosoma shule za makuti ndio mnababaika na vizungu vya kusoma kwenye makaratasi.

Mimi nilishavuka hivyo viwango vya kubabaikia vizungu toka kitambo.

Niko viwango vya juu sana.
 
Back
Top Bottom