Acceptable
Senior Member
- Oct 7, 2020
- 153
- 303
Lugha ya kiswahili naona waoitetea wanajikita katika kuipondea lugha ya kingereza lakini ukweli ni kwamba ukitaka lugha ikue lazima uwape sababu watu Kwanin watumie lugha yako na sio lugha nyingineHii lugha ya kiswahili haina soko. Kwasabb ilipaswa kubeba teknolojia/maarifa ambayo ndiyo yangevutia watu kujifunza kiswahili
😀😀😀😀... hata mimi nimelistukia Mkuu! La kukaa nalo mbali.
Tumesikia Rais Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.
Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.
Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.
Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.
Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.
Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?
Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.
Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.
Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.
Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.
Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.
Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Lugha ya taifa mkikuyu baada ya kusema going anasema ngoing.Kenya lugha ya taifa ni English
Unajua maana ya "vita" kweli wewe au unabwatuka tu?Kwanini mtu anaetumia kingereza anapigwa sana vita.
Anamsomea nani hizo vizungu za kwenye makaratasi?Kusoma si shida as long as aliweza kujua right pronounciation ya maneno kwenye hotuba then she is good....aendelee hivohivo.....
kusoma hotuba ya kiingereza kwa ufasaha kuanzia muktadha body language, na utamkaji wa maneno sio rahisi haya kidogo....she deserve praise on that.
Kilichokufanya udhani SASHA ni SSH ni nini?SASHA ni nani? Mie nilidhani unamaanisha SSH
Kama hujui Kiingereza Acha WivuTumesikia Rais Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.
Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.
Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.
Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.
Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.
Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?
Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.
Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.
Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.
Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.
Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.
Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Heheheee......anatakiwa aandikiwe HOTUBA nzuri ya kuwasilisha mbele ya wenyeji wake
Busara gani unayoitaka?unaweza kuwa na wazo zuri lkn unakosa busara ya kuliwasilisha ....toa maoni yako vizuri na ktk kuwasilisha kwako usijaribu kuonesha ww ndio upo sahihi sana na wengine ni hovyo #BUSARATAFADHALI
Nyumbufu!Flexible ndio nini?
Tatizo lako la 'Language Barrier' lisiwe 'Chukizo' kwa wale 'Wordsmiths' wa hiyo ( hii ) Lugha ya Kiingereza. Vituo vya Kufundisha vyema hii Lugha muhimu duniani ( ya Kiingereza ) vipo vingi nenda 'Ukanolewe' zaidi uijue ili usiwaonee tena 'Kijicho' wale wanaoijua vyema sawa?Tumesikia Rais Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.
Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.
Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.
Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.
Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.
Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?
Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.
Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.
Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.
Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.
Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.
Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Analeta mikogo mwishowe anachemka... Alileta mbwembwe kwenye manenolafudhi bandia za kimalkia.
Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Nina uhakika wewe na nduguzo wote mkiunganishwa hamuwezi kunipiku umahiri nilionao wa kutema mayai.Kama hujui Kiingereza Acha Wivu
Hahahahaaaaa....Analeta mikogo mwishowe anachemka... Alileta mbwembwe kwenye maneno
"reiterate... expeditiously..." akakwama nayo..
Mkuu jibu comments kwa ung'eng'e jamaa asante akujue wewe ni nani linapokuja suala la kimombo, washangiliaji tupo.Nina uhakika wewe na nduguzo wote mkiunganishwa hamuwezi kunipiku umahiri nilionao wa kutema mayai.
Wala hakuna chuki yoyote hapo wewe zumbukuku!chuki dhidi ya Kiiingereza