Mwanamkiwi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 2,023
- 2,402
Ukiamini Kiswahili hakiwezi kuibeba habari za sayansi na teknolojia, sijui unatafuta wapi?? Jisomee kuhusu Mlipuko Mkuu, Paralaksi, kasi ya nuru, mwatuko wa nyuklia (mifano michache...)Hii lugha ya kiswahili haina soko. Kwasabb ilipaswa kubeba teknolojia/maarifa ambayo ndiyo yangevutia watu kujifunza kiswahili