Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Hivi wewe, mama yako anajua Kizungu kweli? Eti?

Hata neno "tree" anaweza kulitamka bila kuvuja udenda!?

Hebu mwambie atamke "tree".
Mkuu pambana na huyu huyu...mama yake anaingiaje kwenye mada hii..kuwa na heshima kwa wazazi wa wenzio...
 
kutokujua kiingereza kunawatesa sana watanzania. Sijaona hoja ya maana aliyoitoa Mwa-ambokile, jitahidi uende shule, hujachelewa. Acha chuki na wivu
 
kutokujua kiingereza kunawatesa sana watanzania. Sijaona hoja ya maana aliyoitoa Mwa-ambokile, jitahidi uende shule, hujachelewa. Acha chuki na wivu
We mysterio nina uhakika mama yako hajui kizungu.

Lakini cha ajabu zaidi umejipachika jina la paka wa scandinavia! Eti mysterio!

Hivi mama yako anaweza kutamka "mysterio" kweli?

Kujitia tia uzungu mwingi tu!
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya...
Kweli JF ni kokoro... Hata waropokaji mpo
 
Inawezekana una point ya msingi ila uwasilishaji wako una walakini.
Huyu hana point yoyote, kinachomsumbua ni kuona mama Mother anakimanya kidhungu tofauti na Mwendazake. Anaona kama kidhungu chama ni kama kina muanika Mwendazake
 
Back
Top Bottom