Ambokile Amanzi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 965
- 1,333
- Thread starter
- #161
Oh yes, hakuwa mzungu.Mwendazake kingereza kilikuwa kinamsumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh yes, hakuwa mzungu.Mwendazake kingereza kilikuwa kinamsumbua
Wajuaji huwa hawakosekani humu!Pointi yako ni ya maana Sana ...lakini subiri matusi na kejeli humu
Kumbuka mama anaenda kuhutubia bunge la Kenya ili ujumbe wake uwafikie walengwa nisawa kutumia lugha inayokubalika na wengi huko ambayo ni kiingereza, target audience yake kwa wakati akiwa huko si wewe au Mwanjuma alie Naliendele Lindi. Hivi ina make sense mathalani unataka kudeliver message yako kwa mrusi na unafahamu kirusi halafu unaongea Kiswahili kwasababu unajivunia lugha yako ya asili? Tuache siasa
Itoshe tu kusema kwamba, ufahamu wako ni duni sana.Yana muhusu mkenya
Dunia ni nchi hizo ulizozitaja? Mwendazake kakuharibuHata Kiswahili ni lugha ya kimataifa na ya kibiashara pia.
Kenya, Uganda, Rwanda, Congo... huko kote tunawasiliana nao na kufanya nao biashara kwa lugha ya Kiswahili...
Wewe ni form 4 failure Tena division 0. Unatetea kufeli kwako kuhalalisha kiarabu Kama hujui umujimu wa Kiingereza.Wewe nina uhakika hata Kizungu kikizungumzwa huna uwezo wa kukielewa....
Eti haya, kumbe wewe ni takataka kabisaHaya.
Hujui kituNina uhakika kuwa umahiri wangu wa kuzungumza Kiingereza ni mara mia mbili zaidi yako.
Sibabaiki kwa sababu ninakijua vilivyo.
Kwahiyo usinitishe tishe hapa bwana mdogo.
Imemaliza mjadala, Safi conclusionLugha yenyewe watz wengi siku hizi ni shida, hata afadhali kule Mombasa Kenya wanatushinda,,tumebaki na kiswahili cha mitaani kisicho rasmi...Mama wewe soma hotuba ya kiingereza tu ujiondokee...
Mama yako anaweza kutamka neno "tree" bila kuvuja udenda?Hujui kitu
Imemaliza kaziUkitaka kuendelea kuonekana kituko kwenye nchi za Commonwealth endelea kuongea Kiswahili.
Hivi mnataka kuendelea na UMBUMBUMBU wa Mwendazake ambaye anadai ana PhD ya Chemistry lakini hawezi kutengeneza sentensi ya English yenye correct grammar??
Hapana, Hapana, Hapana. Tutaongea Kiswahili kwenye masuala yetu lakini kwenye jumuiya za kimataifa kuna lugha 7 kubwa; Chinese, English, French, Portuguese, Spanish na Russian
Pumbavu kina mtu kakuandikiaNow i know why you are stupid.
Nimeamua niandike kizungu maana nina uhakika hata nyumbu huwa wanasikia na kuelewa kizungu.
Hahahaaaa...Wewe ni form 4 failure Tena division 0. Unatetea kufeli kwako kuhalalisha kiarabu Kama hujui umujimu wa Kiingereza.
Atatumia kiswahiliTumesikia Rais Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.
Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya...
Hili ni jambo jema sana.Atatumia kiswahili
Muulize mama yako Kama Kiko sawa anakijua fiiaHahahahahahaaa.....
Kamanda vipi, mbona unamwaga povu kama unakata roho?
Huko nyuma kwenye kijambio chako pako sawa kweli?
Au mabedui wamekulawiti?
Wamebomoa kijambio chako bila mafuta?Muulize mama yako Kama Kiko sawa anakijua fiia