Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Heheheee....

Kuwa kiongozi sio swala la kuvaa tu ushungi na kurembua. Uongozi ni kipawa.

Kwa tunaofuatilia siasa za kimataifa, tunaelewa nini maana ya Kiongozi mwenye kipawa cha uongozi.

Nikupe kijikazi kidogo — fuatilia hotuba ya Obama ndani ya bunge la uingereza.

Nina uhakika kwamba, itamchukua Bibi sasha zaidi ya miaka mia kuweza kumudu ile mastery ya oratory skills.

Ndio maana, sisi wenye utambuzi wa mambo, tunashangaa anapotusomea vizungu vya kwenye makaratasi.

Lakini kwa ninyi magoigoi msiojua dunia inaenda wapi, kwa hakika anawakoga sana kwa kile kizungu chake butu.

..sio sahihi kuzungumzia "kurembua macho," na "kuvaa ushungi," halafu ukamtaja Rais Mama Samia Suluhu Hassan.

..kuhusu Barack Obama, yule anajulikana kama mmoja wa wazungumza mahiri kabisa popote duniani.

..pia lazima uelewe kwamba hotuba ya Rais Obama ambayo umetutaka tuiangalie ni hotuba ambayo imeandikwa na alikuwa akisoma kutumia kifaa kinaitwa teleprompter.

..mimi nadhani sio sahihi kumtaka Rais wetu atoe hotuba kwa viwango vya Barack Obama, na haijalishi hotuba hiyo ni ya Kiingereza, au Kiswahili. nadhani tutakuwa hatumtendei haki hata kidogo kunatokana na kipaji cha kipekee alichokuwanacho Barack Obama.

..Rais Samia Suluhu awe na utaratibu wa kuandikiwa hotuba, na ahakikishe anafanya mazoezi ya kusoma hotuba hizo kabla ya kwenda mbele ya hadhira. Na haijalishi hotuba hizo ni za Kiswahili au Kiingereza. Viongozi wote wa mataifa makubwa hu-practice hotuba zao kabla ya kupanda majukwaani.

..Hotuba ya Obama nimeiweka hapo chini.

 
..sio sahihi kuzungumzia "kurembua macho," na "kuvaa ushungi," halafu ukamtaja Rais Mama Samia Suluhu Hassan.

..kuhusu Barack Obama, yule anajulikana kama mmoja wa wazungumza mahiri kabisa popote duniani.

..pia lazima uelewe kwamba hotuba ya Rais Obama ambayo umetutaka tuiangalie ni hotuba ambayo imeandikwa na alikuwa akisoma kutumia kifaa kinaitwa teleprompter.

..mimi nadhani sio sahihi kumtaka Rais wetu atoe hotuba kwa viwango vya Barack Obama, na haijalishi hotuba hiyo ni ya Kiingereza, au Kiswahili. nadhani tutakuwa hatumtendei haki hata kidogo kunatokana na kipaji cha kipekee alichokuwanacho Barack Obama.

..Rais Samia Suluhu awe na utaratibu wa kuandikiwa hotuba, na ahakikishe anafanya mazoezi ya kusoma hotuba hizo kabla ya kwenda mbele ya hadhira. Na haijalishi hotuba hizo ni za Kiswahili au Kiingereza. Viongozi wote wa mataifa makubwa hu-practice hotuba zao kabla ya kupanda majukwaani.

..Hotuba ya Obama nimeiweka hapo chini.

Very Good.

Wakati mwingine mjifunze kuchagua viongozi wenye VIPAWA badala ya kufuga fuga watu waliojichokea!
 
Uganda akiongea Kiingereza, sawa tu manake wale jamaa wana bifu na Kiswahili!!

Kenya, kwa kuwakomoa tu, anapaswa atumie Kiswahili manake Kiswahili wanakijua vizuri lakini kutokana na ulimbukeni wao wa kumsujudia Mzungu, wanajifanya hawakijui!!
Wakenya wote hufikiri kwa Lugha ya kigeni huona ni ufahari kuongea kingereza kuliko hata Lugha zao za Asili
 
Uganda siku ile, pamoja na waganda kukijua kiswahili lakini hadhira ile ilihusisha pia na wawekezaji wa bomba la mafuta ambao hawajui kiswahili bali kiingereza, kuna sababu gani kulazimisha kiswahili kama Magufuli aliyekuwa hajui hiyo lugha nyingine?
Kutojua kingereza siyo dhambi kwani hata wachina kwa idadi kubwa hawajui kingereza lakini wana tekinologia kubwa
 
Japo sikijui vizuri kiingereza ila kiingereza, kina maneno ikiyasema unaonekana yanatoka moyoni kabisa. Mfano mtu akikuambia, Nakupenda, na mwingine akakuambia i love you🤣🤣😁😁 kuna tofauti kubwa sana.

Mwache mama aongee lugha anayoona akiongea atafikisha ujumbe. Maana hata hao wakenya wanatuona hatujui hii lugha ya malkia.
Wakenya licha ya kuwa watumwa wa Lugha za Mkoloni bado ni washamba mbele ya watanzania kwani hata kuvaa vizuri hawajui idadi kubwa ni washamba kupindukia
 
Kati ya mambo ya kipumbavu yaliyo asisiwa na kuachwa na awamu ya tano ni chuki dhidi ya Kiiingereza na ukitaka kufa kwa cheko Bashite apige ngeli, Ndalichako akiongea kimalkia utazikwa na mzee baba R.I.P akipiga ile "pipo uzed to die in ze ze rake" tunakula matanga.

Lugha huenea kutokana na product zinazozalishwa kutoka kwa wenyeji, sasa mtu amekomaa na Kiswahili na akati product ni udaga, togwa pambaav
Wachina German Spain ureno france korea hawajui kingereza wengi lakini wana maendeleo makubwa
 
Moja Kati ya mambo yanayonisikitisha sana ni hii tabia ya baadhi ya WaTanzania kushobokea lugha za kigeni hasa hasa English na kuona kiswahili si mali kitu.

Laiti kama wangejua kuwa kwenye nchi nyingi tu ambazo zinatumia lugha zao wenyewe,ukiongea hiyo English yako watu wanakuona mshamba tu bila kujali kama ni "broken " au "fluent"

Lakini cha ajabu hapa Bongo baadhi ya watu wanawaona viongozi wao washamba kwa kuhutubia kwa kutumia kiswahili,inasikitisha sana.

Sisi kama TAIFA,TUMEKOSA MISINGI,tunafuata tu mkumbo!!
 
Wala hakuna chuki yoyote hapo wewe zumbukuku!

Matter of fact, ninazungumza lugha nne za Kimataifa kwa ufasaha ikiwemo hicho kizungu chako.

Ninyi wajinga wajinga mliosoma shule za makuti ndio mnababaika na vizungu vya kusoma kwenye makaratasi.

Mimi nilishavuka hivyo viwango vya kubabaikia vizungu toka kitambo.

Niko viwango vya juu sana.
Zumbukuku kingeli inaitwaje? Wewe ndugu ni lofa mwenzangu tu acha hizoo!
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba, atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.

Muhimu kuongea lugha ya Kiingereza kuifikia dunia hata kama ni ziara ya Kenya ili kurudisha mguso wa kidiplomasia uliokuwa umepotea kwa Tanzania kimataifa


Video:
17 Apr 2018
Mjukuu wa Malkia Elizabeth wa Uingereza, William Arthur Philip Louis amemuahidi Makamu wa Rais Samia Suluhu kuwa ataisaidia Tanzania katika kuboresha ulinzi wa wanyama pori kwa kutumia teknolojia ya hali juu na kumualika Rais Dkt. Magufuli katika mkutano wa masuala ya wanyapori unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu jijini London. Source : EastAfricaTV
 
Sasa hivi dunia ni kijiji, macho yote kwa kiongozi huyu mpya wa Tanzania, hivyo fursa yoyote na jukwaa lolote ni vizuri kutumia lugha hii rasmi ya pili ya Kiingereza kupata 'matokea makubwa' ktk Geopolitics na diplomasia maana muda ni mchache mambo mengi fursa kama hizi hazitakiwi kuchukuliwa ni za "kikanda" bali ni jukwaa la kuiambia dunia Tanzania kuna fursa gani kibao ktk lugha inayotumika zaidi ulimwenguni
 
Tusijifungie kwa visingizio vya uzalendo na lugha ya kiSwahili.

Tuna bahati sasa viongozi wa juu hawaoni haya kutumia lugha ya Kiingereza kuifikia dunia iwe ni ktk jukwaa la hapa nyumbani au kikanda au kimataifa. Makamu wa Rais Dr. Mpango anatumia lugha ya kiingereza kama Rais Samia S. Hassan ili kuiweka Tanzania mahala pake kimataifa:

Dr. Phillip Mpango, discusses Africa's engagement with both new and traditional donors at a roundtable discussion organised by UONGOZI Institute (Institute of African Leadership for Sustainable Development) on 29 May, 2012.
 
Tumecheleweshwa sana na kiSwahili cha awamu ya tano, sasa tunarudi kimataifa

9 Aug 2019

Panel Discussion | Redefining Success​


Panel Discussion on “ Redefining Success" joined by * H.E Amb Pamella O’Donnell, High Commissionar of Canada in Tanzania, Zambia and Seychelles * Hon. Chansa Kapaya, UNHCR Representative in Tanzania * Dr. Blandina Kimala, Senior Researcher REPOA * Hon Sophia Mjema, Ilala D.C, United Republic of Tanzania. Moderated by Jocelyne Msigwa.
Source: SheFound
 
Hii ni hotuba ya Muheshimiwa Rais akiwa nje ya nchi inafatiliwa na dunia kiswahili tanzania tu kuna watu hawakielewi nadhani umeelewa tofauti ni jukumu ya habari maelezo kutafsiri kwa kiswahili kama kuna umuhimu
 
Back
Top Bottom